Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,585
- 15,468
Ulichopaswa kufanya ni kuongea tu na kumwambia kila kitu, asingeweza kukujibu kwakuwa tayari alishaachana na nafsi lakini amini usiamini ungeyapata majibu kwa namna ya ajabu kabisa
inaelekea wiki ya nne sasa natamani hata anitokee japo nimwambie jambo ambalo sikumwambia one day before hajaenda.duh
We were so close.Kaa two weeks ago nimemwota nipo naye kama kawaida yetu tunapiga story na kucheka.This time tulikua tunamcheka baba yake mdogo alivokua analia msibani.
R.I.P dear.