neo1
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 576
- 840
Hungry ghosts hawana nafasi tena na kama ipo huwachukua kipindi cha KALPA moja kuweza kurudi kuwa binadamu KALPA moja hupimwa kwa kipimo cha jiwe moja la tani tano limegwe kipande kidogo kisochozidi robo kilo kila mwaka maramoja mpaka liishe hiyo ndio KALPA
Tulikuwa tunafanya ibada za kuwalisha kwakuwa wana matumbo makubwa lakini makoromeo yao kila kinachotaka kupita huunguzwa na moto mkali na kuyeyuka hapohapo
Hivyo basi wakati wa chakula tulikuwa tunafanya ibada ya kupoza ule moto ili japo maji na chakula kidogo kipite ndio maana wanaitwa hungry ghost
Kuweza kushuka na kuwa katika kiwango cha mwisho cha u binadamu ni pale mtu anapo fanya matendo ya kinyama na kutisha kabisa kwa viumbe hai ambayo hayasemeki hasa kutoa uhai wa viumbe vingi kwa wakati mmoja
mkuuu sante saaana napata elimu kubwa saaana..
inakuwaje matendo ya mwanadamu adhabu inapewa roho...wakati kwenye maamuzi ni binadamu au mwili ndo hufanya hayo maovu???
roho huzikwa??..kama kuna reincarnation which meanz roho ikitoka kwenye kiumbe kimoja inaenda kwenye kiumbe kingine...je roho wakati wa hukumu viumbe vingapi vitahukumiwa kama soul 1 imepitia kwa viumbe 3??