Uwezo wa kuongea na wafu: Elimu Iliyoshindikana duniani

Uwezo wa kuongea na wafu: Elimu Iliyoshindikana duniani

Kwa mfano ulishai kuona vile saa za sigara aina ya sm au spot? Ambazo kwenye maduka mengi wanazo

Ambazo uwekwa ukutani. Kwa ufupi kabla ya mishale c kunakuwaga na namba za kuonyesha muda 1-12 nyingine zinakua za kirumi. Sasa kwenye zile namba kunakua na picha ya kitu flan au nembo ua kitu flan
 
Kwa mfano ulishai kuona vile saa za sigara aina ya sm au spot? Ambazo kwenye maduka mengi wanazo

Ambazo uwekwa ukutani. Kwa ufupi kabla ya mishale c kunakuwaga na namba za kuonyesha muda 1-12 nyingine zinakua za kirumi. Sasa kwenye zile namba kunakua na picha ya kitu flan au nembo ua kitu flan

Hebu ngoja nitafanya utafiti kwani kuna nini ndani yake?
 
Ninachotaka kama kuna sehemu wanayo hiyo huduma kwa dsm niwatafute. Ninafunga ndoa hivi muda c mref so nataka kutengeneza hiyo kitu ya picha zetu

Tembelea pale vinyago mwenge nimeona kitu kama hiyo wk iliyopita
 
Asprin pitia huku post yenyewe ndio hii
 
Last edited by a moderator:
Mshana jr.
Umetoa wapi mawazo haya leo? Au babu yako kakutembelea? Siku ya arusi yangu, bibi mzaa baba aliyekuwa amefariki miaka kama 12 hivi iliyokuwa imepita alinijia usiku. Sisemi ilikuwa ndoto kwani nilikuwa sija lala na kibatari kilikuwa kinawaka. Akasimama karibu na kitanda changu akanikumbusha alivyokuwa ananipenda mjukuu wake.
Akasema; Nasikia unaoa, ninataka nitoe mchango wangu. Nitakupa weye mchango wangu kesho. Aka[otea, nilifadhaika kidogo ila kwa kuwa hakuna mtu mwingine aliyesikia sauti ya bibi nkaogopa kusema wasinicheke.
Keshoye, tulipotoka tu kanisani, tukapitia sehemu tupate chakula kidogo kwani mambo ya harusi wayajua. Ghafula pale chini sakafuni nikaona noti ya shs 10. Enzi hizo za '70 hiyo ilikuwa hela kubwa sana. Kama laki+ leo.
Je huo haukuwa mchango wa bibi yangu? Nafsi bado zipo hapa ila roho imerudi kwa mwenyewe ka mwili ulivyo rudi kuwa mavumbi

Mkuu kamba nyinngine sio kabisa... noti ya elfu kumi miaka ya sabini???

Fix nyingine sio kabisa.
 
Ni tendo la kuzaliwa tena katika umbo tofauti baada ya kufa kulingana na matendo uliyofanya ukiwa hai

Tofautisha rebirth na reincarnation. Rebirth hutumika zaidi kwa imani za Mungu mmoja ikimaanisha kuzaliwa upya/mara ya pili kiroho huku mwili ukiwa ni uleule

Reicarnation ni kuzaliwa mara ya pili na kuendelea huku roho ikiwa ileile lakini mwili tofauti

Hii ntamwomba Ishmael anifungue akili kwa upande wa pili...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom