Uwezo wa raia kununua/kufanya manunuzi umeshuka

Uwezo wa raia kununua/kufanya manunuzi umeshuka

Uko sawa kabisa. Nichukue mfano wa hapa Mwanza. Hapa Mwanza siku ya Jumatatu, Jumanne na Jumatano mitaa ya Nyerere, Rwegasore, Liberty mitaa hiyo inajaa wafanyabiashara wanaotoka vijijini kuja kununua bidhaa na kurudi vijijini na mtu hupati hata mahali pa kutia mguu kutokana na utitiri wa watu. Leo hii tembelea mitaa hiyo, hakuna wafanyabiashara kama zamani ni wachache sana na maduka mengi yanafungua na kufunga jioni bila hata kuuza bidhaa. Hii inaonyesha dhahiri kuwa uwezo wa wananchi kununua bidhaa kwa ajili ya matumizi yao umepungua hata kwa asilimia 70. Wachumi tunao na hili hawalioni.
Wachumi wenyewe kina singida united ndio think tank ya maza unategemea nn hapo.
 
Ukitaka kumtawala mtza mfanye kuwa masikini,mpige kodi,tozo
 
Uko sawa kabisa. Nichukue mfano wa hapa Mwanza. Hapa Mwanza siku ya Jumatatu, Jumanne na Jumatano mitaa ya Nyerere, Rwegasore, Liberty mitaa hiyo inajaa wafanyabiashara wanaotoka vijijini kuja kununua bidhaa na kurudi vijijini na mtu hupati hata mahali pa kutia mguu kutokana na utitiri wa watu. Leo hii tembelea mitaa hiyo, hakuna wafanyabiashara kama zamani ni wachache sana na maduka mengi yanafungua na kufunga jioni bila hata kuuza bidhaa. Hii inaonyesha dhahiri kuwa uwezo wa wananchi kununua bidhaa kwa ajili ya matumizi yao umepungua hata kwa asilimia 70. Wachumi tunao na hili hawalioni.
Walituaminisha kuwa tatizo lilikuwa ni wapinzani, wakavurugu uchaguzi, wakajiapisha wamebaki wenyewe lakini Hali inazidi kuwa tete.
Sasa wanatapatapa

Siku hizi waziri wa fedha anaitisha press kila wiki kutetea tozo, anazinguka nchi mzima kufanya mikutano ya hadhara utadhani ni katibu mkuu wa chama
 
Walituaminisha kuwa tatizo lilikuwa ni wapinzani, wakavurugu uchaguzi, wakajiapisha wamebaki wenyewe lakini Hali inazidi kuwa tete.
Sasa wanatapatapa

Siku hizi waziri wa fedha anaitisha press kila wiki kutetea tozo, anazinguka nchi mzima kufanya mikutano ya hadhara utadhani ni katibu mkuu wa chama
Hatari sana
 
Yaani ni kwamba, unafika ofisini, una subiri wateja, wateja hawaji, unajiinamia kwa kiti, using izi unakupitia, una amka mwenyew bila kuamshwa labda na mteja, yaani njaa inakuuma, unakopa kwa mama ntilie, ukidhani labda atakuja ata mteja mmoja ijapo upate cha Kimlipa mama ntilie lkn wapi NG yangu?
Jaman kama vyuma kukaza Basi vimekaza zaidi yaani,
Maduka ya Akina mangi kitaa hawauzi mafuta ya kupikia sasa hivi, wanasema bei ipo juu, hamna faida
Inaumiza Sana kwa kweli.

Nimeamini sisi hatuwezi simamia uchumi mkubwa utatuchanganya Sana. Tumezoea mambo madogo madogo.
 
Ni wakati mgumu sana kwa wafanya biashara; purchasing power ya wananchi imeshuka mno.

Pesa inaenda moja moja serikalini bila kupitia kwa wafanya biashara

Tozo ni laana kali Sana. Wachumi fanyani kazi yenu la sivyo kila kitu itasimama. Hakuna tena kuzungusha hela ni kulipa Tozo tu.

Wenye vibanda vya mpesa wengi wamefunga. Wamachinga Hari ni ngumu. Mitaji inakufa. Kila mtu analia..N.k
Bibi Tozo ndio ametufikisha hapa.
 
Ni wakati mgumu sana kwa wafanya biashara; purchasing power ya wananchi imeshuka mno.

Pesa inaenda moja moja serikalini bila kupitia kwa wafanya biashara

Tozo ni laana kali Sana. Wachumi fanyani kazi yenu la sivyo kila kitu itasimama. Hakuna tena kuzungusha hela ni kulipa Tozo tu.

Wenye vibanda vya mpesa wengi wamefunga. Wamachinga Hari ni ngumu. Mitaji inakufa. Kila mtu analia..N.k
Acha kulia lia,fanyakazi,upate pesa,ukamilishe mahitaji yako.
 
CCM hawawezi kukubali kwamba purchasing power imeshuka.

Wao leo watakwbia uchaguzi ulikuwa free and fair na uchumi unapanda...tozo zitaendelea sababu wananchi wamezipenda kutokana na mqnufaa yake.
 
Ni wakati mgumu sana kwa wafanya biashara; purchasing power ya wananchi imeshuka mno.

Pesa inaenda moja moja serikalini bila kupitia kwa wafanya biashara

Tozo ni laana kali Sana. Wachumi fanyani kazi yenu la sivyo kila kitu itasimama. Hakuna tena kuzungusha hela ni kulipa Tozo tu.

Wenye vibanda vya mpesa wengi wamefunga. Wamachinga Hari ni ngumu. Mitaji inakufa. Kila mtu analia..N.k
Sema wewe ndio huna hela unashinda na mipasho ya kiccm fanua kazi. Pesa mtaani ipo ni wewe na matatizo yako.
 
CCM hawawezi kukubali kwamba purchasing power imeshuka.

Wao leo watakwbia uchaguzi ulikuwa free and fair na uchumi unapanda...tozo zitaendelea sababu wananchi wamezipenda kutokana na mqnufaa yake.
🤣🤣🤣
 
Hii hali ilianza tangu kipindi cha jiwe, kwa sasa ni mwendelezo wa hali mbovu ya uchumi wa mtu mmoja mmoja tokea jiwe aingie madarakani na ku implement austerity policies....
Udikiteta unagharama zake. Ndio hizi
 
Ni wakati mgumu sana kwa wafanya biashara; purchasing power ya wananchi imeshuka mno.

Pesa inaenda moja moja serikalini bila kupitia kwa wafanya biashara

Tozo ni laana kali Sana. Wachumi fanyani kazi yenu la sivyo kila kitu itasimama. Hakuna tena kuzungusha hela ni kulipa Tozo tu.

Wenye vibanda vya mpesa wengi wamefunga. Wamachinga Hari ni ngumu. Mitaji inakufa. Kila mtu analia..N.k
Mbona mimi niliko sijaona kibanda cha m pesa hata kimoja kimefunga? Hoja yako Inge make sense kama Serikalini ingeahindwa kukusanya pesa Kwa maana ya kwamba watu wametafuta mbinu zingine.

Kinyume na hapo unaongea hekaya tuu.
 
Kama taifa tuliamua kunyamazia dhuluma subiri tudhulumiwe mifukoni
 
Back
Top Bottom