UWT yalaani vikali BAWACHA kuchoma vitenge vyenye picha ya Rais Samia, yasema ni upuuzi na utoto mkubwa

UWT yalaani vikali BAWACHA kuchoma vitenge vyenye picha ya Rais Samia, yasema ni upuuzi na utoto mkubwa

..RAISI kasema wapinzani wameota MIKIA, na wanataka kuharibu AMANI. Watu wa hovyo kiasi hicho hawastahili hisani ya kuwa ktk mabango yenye picha ya Raisi. Mabango yachomwe moto.
Ujinga na utoto ndio vinawasumbua
 
Ndugu zangu Watanzania,

Jumuiya Ya umoja wa Wanawake wa chama cha Mapinduzi Tanzania,.ambayo ndio jumuiya kubwa, yenye nguvu na ushawishi mkubwa sana hapa Nchini na ambayo inapigiwa mfano Barani Afrika na ambayo imekuwa ikiigwa na vyama mbalimbali barani Afrika.

Imelaani vikali sana na kwa nguvu zote hatua za Baraza la wanawake wa CHADEMA ambalo kiuhalisia halina ushawishi wa aina yoyote ile hapa Nchini wala kujulikana majukumu yake wala kazi yake wala msimamo wake wala shughuli yake kuu wala mchango wake kwa wanawake wa Tanzania. Hatua yake ya kuchoma Vitenge Vyenye picha ya Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Tamko hilo lililotolewa na Mwenyekiti wake Mama Marry Chatanda limekiita kitendo hicho cha kipuuzi na kitoto sana . Lakini pia jumuiya hiyo ya wanawake wa CCM yenye wanachama zaidi ya Millioni Sita imesema madai yote ya Bawacha ni ya uongo,hayana ukweli wala uhalisia wa aina yoyote ile.kwa kuwa kila mtu anafahamu kazi kubwa iliyofanywa na Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan ndani ya muda mfupi wa uongozi wake.

Ikiwepo ujenzi wa vituo vya afya zaidi ya mia tatu ambavyo hata Bawacha wanakwenda kupata huduma, kupandisha Bejeti ya kilimo na mambo mengine mbalimbali yakiwepo ya ajira kwa vijana, miundombinu ,Elimu, Umeme n.k.Imesema pia kuwa vitenge hivyo walinunua wenyewe BAWACHA kutokana na imani yao kubwa kwa Rais Samia. Amevitaka vyombo vya dola kuwaacha na kutowakamata na badala yake watapambana nao kisiasa.maana wanajuwa kuwa wanataka wapate promo kwa kukamatwa.

Amegusia pia mbinu za CHADEMA ambazo zimekuwa zikifanywa za vitendo vya kihalifu ,vurugu na utekaji kama ambavyo zilielezwa na dkt Slaa katika kile kinachoitwa Nyuma ya Pazia. Mwenyekiti huyo shupavu na ambaye amekuwa mwimba Mkali kwa Bawacha hii Dhaifu amesema kwa sasa wanakwenda site kwa kishindoo.ikumbukwe ya kuwa UWT ndio huamua hata ushindi wa Mgombea Urais kutokana na uwingi wake wa wanachama ,ushawishi wake pamoja na kujitokeza kwake kwa wingi katika kupiga kura katika kila uchaguzi.

Lakini pia amesema BAWACHA wasiishie tu kuchoma Vitenge bali waeleze ni vipi mkutano huo ulifanikiwa kufanyika
View attachment 3112387

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kama kuna vitu walikosea hao bawacha ni kupokea vitenge vya huyo laghai mtekaji. Wachome haraka hivyo vitenge vya huyo muuaji.
 
Kama kuna vitu walikosea hao bawacha ni kupokea vitenge vya huyo laghai mtekaji. Wachome haraka hivyo vitenge vya huyo muuaji.
Huna lolote lile wewe. Ulipiga makelele yako humu kuwa utaandamana lakini mwisho wa siku ukajificha uvunguni mwako na kumuacha Mbowe na mke wake pamoja na mwanae tena wa kike.
 
Kawasikitikie BAWACHA hao ndio wanapaswa kupewa Elimu na kufundwa vizuri.
Hapana ndugu hatuwezi kukaa hapa watu wazima tunajadili kitenge cha kuvaa mwilini hapana hapana we are not serious at all tusiende huko tujadili mambo ya Akili na sio hao.
 
Huna lolote lile wewe. Ulipiga makelele yako humu kuwa utaandamana lakini mwisho wa siku ukajificha uvunguni mwako na kumuacha Mbowe na mke wake pamoja na mwanae tena wa kike.
Naandamana kisiasa, sio kwa hao watekaji waliomua kutumia jeshi la polisi kulinda wauaji wenzao. Mbowe ni haki yake kuandamana na mkewe, kwani hata alipokuwa anaenda bungeni nilikuwa naenda naye? Ungekuja ww na mumeo mnizuie ndio ungeweza kujisifia.
 
Naandamana kisiasa, sio kwa hao watekaji waliomua kutumia jeshi la polisi kulinda wauaji wenzao. Mbowe ni haki yake kuandamana na mkewe, kwani hata alipokuwa anaenda bungeni nilikuwa naenda naye? Ungekuja ww na mumeo mnizuie ndio ungeweza kujisifia.
Nilitaka nikuone barabarani ili ufundishwe adabu
 
Siku uchaguzi ukiwa huru na haki kwa 100% zote, kuna chama kita PASUKA vibaya,niko paleee 🫵
 
Siku uchaguzi ukiwa huru na haki kwa 100% zote, kuna chama kita PASUKA vibaya,niko paleee 🫵
Hata ije Tume ya uchaguzi kutoka Marekani bado CCM itapita na kushinda kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima.kinachoibeba CCM ni ubora wa sera na ajenda zake zenye kugusa maisha ya watanzania
 
Ndugu zangu Watanzania,

Jumuiya Ya umoja wa Wanawake wa chama cha Mapinduzi Tanzania,.ambayo ndio jumuiya kubwa, yenye nguvu na ushawishi mkubwa sana hapa Nchini na ambayo inapigiwa mfano Barani Afrika na ambayo imekuwa ikiigwa na vyama mbalimbali barani Afrika.

Imelaani vikali sana na kwa nguvu zote hatua za Baraza la wanawake wa CHADEMA ambalo kiuhalisia halina ushawishi wa aina yoyote ile hapa Nchini wala kujulikana majukumu yake wala kazi yake wala msimamo wake wala shughuli yake kuu wala mchango wake kwa wanawake wa Tanzania. Hatua yake ya kuchoma Vitenge Vyenye picha ya Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Tamko hilo lililotolewa na Mwenyekiti wake Mama Marry Chatanda limekiita kitendo hicho cha kipuuzi na kitoto sana . Lakini pia jumuiya hiyo ya wanawake wa CCM yenye wanachama zaidi ya Millioni Sita imesema madai yote ya Bawacha ni ya uongo,hayana ukweli wala uhalisia wa aina yoyote ile.kwa kuwa kila mtu anafahamu kazi kubwa iliyofanywa na Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan ndani ya muda mfupi wa uongozi wake.

Ikiwepo ujenzi wa vituo vya afya zaidi ya mia tatu ambavyo hata Bawacha wanakwenda kupata huduma, kupandisha Bejeti ya kilimo na mambo mengine mbalimbali yakiwepo ya ajira kwa vijana, miundombinu ,Elimu, Umeme n.k.Imesema pia kuwa vitenge hivyo walinunua wenyewe BAWACHA kutokana na imani yao kubwa kwa Rais Samia. Amevitaka vyombo vya dola kuwaacha na kutowakamata na badala yake watapambana nao kisiasa.maana wanajuwa kuwa wanataka wapate promo kwa kukamatwa.

Amegusia pia mbinu za CHADEMA ambazo zimekuwa zikifanywa za vitendo vya kihalifu ,vurugu na utekaji kama ambavyo zilielezwa na dkt Slaa katika kile kinachoitwa Nyuma ya Pazia. Mwenyekiti huyo shupavu na ambaye amekuwa mwimba Mkali kwa Bawacha hii Dhaifu amesema kwa sasa wanakwenda site kwa kishindoo.ikumbukwe ya kuwa UWT ndio huamua hata ushindi wa Mgombea Urais kutokana na uwingi wake wa wanachama ,ushawishi wake pamoja na kujitokeza kwake kwa wingi katika kupiga kura katika kila uchaguzi.

Lakini pia amesema BAWACHA wasiishie tu kuchoma Vitenge bali waeleze ni vipi mkutano huo ulifanikiwa kufanyika
View attachment 3112387

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Vipi UWT wameshindwa kulaani wakazi wa Mbeya waliomtimua mkuku mkuku Zuchu pale jukwaani mara baada ya kusema mitano tena kwa Samia na Tulia?
 
Acha ujinga wako.pambaneni kuokoa chama chenu kinachoendelea kuzama shimoni.
Utazima wewe, CHADEMA is there till the end of this world...

Kama muhuni mkuu John P. Magufuli aliyekujaga na makombora na missiles zote za kuipoteza CHADEMA alishindwa na mwisho akapotea kwa kufa kifo cha kawaida, sembuse huyu Jezebel - Chura Kiziwi asiye na akili....?

Wewe Lucas Mwashambwa na chawa wenzio mko hapa kwa sababu tu ya huyu Jezebel, mwanachama wa LGBQT Community....

Lakini tunawaambia hivi, sooner and very sooner atafutika kwenye ramani ya uongozi wa Tanganyika kama mtangulizi wake alivyofutika. Na wewe na ID yako haitakuwepo tena hapa Jukwaani. Sisi tutakuwepo, na CHADEMA itakuwepo ikistawi na kustawi...

Tulikuwa na chawa wenye midomo na wapiga propaganda kwelikweli wakati wa U - Magufuli kuliko wewe Lucas Mwashambwa...

Walikuwa wanatamba na kumpigia chapuo za uovu kwelikweli kuwa "awe Rais wa maisha" na wangebadili katiba ya nchi kuwezesha agenda yao ya umilele wake...

Tuliwaambia, wajinga nyie. Hamjui mtakalo wala mlijualo. Haikuchukua muda, Mungu aliwaadhibu kwa uovu wao na mtu wao hakuna ajuaye yuko wapi...
 
Utazima wewe, CHADEMA is there till the end of this world...

Kama muhuni mkuu John P. Magufuli aliyekujaga na makombora na missiles zote za kuipoteza CHADEMA alishindwa na mwisho akapotea kwa kufa kifo cha kawaida, sembuse huyu Jezebel - Chura Kiziwi asiye na akili....?

Wewe Lucas Mwashambwa na chawa wenzio mko hapa kwa sababu tu ya huyu Jezebel, mwanachama wa LGBQT Community....

Lakini tunawaambia hivi, sooner and very sooner atafutika kwenye ramani ya uongozi wa Tanganyika kama mtangulizi wake alivyofutika. Na wewe na ID yako haitakuwepo tena hapa Jukwaani. Sisi tutakuwepo, na CHADEMA itakuwepo ikistawi na kustawi...

Tulikuwa na chawa wenye midomo na wapiga propaganda kwelikweli wakati wa U - Magufuli kuliko wewe Lucas Mwashambwa...

Walikuwa wanatamba na kumpigia chapuo za uovu kwelikweli kuwa "awe Rais wa maisha" na wangebadili katiba ya nchi kuwezesha agenda yao ya umilele wake...

Tuliwaambia, wajinga nyie. Hamjui mtakalo wala mlijualo. Haikuchukua muda, Mungu aliwaadhibu kwa uovu wao na mtu wao hakuna ajuaye yuko wapi...
Utaweweseka sana mwaka huu mpaka upasuke kwa presha ya wivu na chuki binafsi
 
Basi ndiyo wamechoma sasa, mtawafanya nini?
 
Wanawake wa kuoa ni hawa wanatuzidi wanaume..hawaogopi ni ubaya ubwela..
 
Back
Top Bottom