Uzalendo ni nini?

Uzalendo ni nini?

Mzalendo kwa Tanzania ni pale unapokuwa na madaraka ya jui kabisa ukawa unafanya maamuzi bila kujali walioko chini yako wala hutaki ushauri n huhitaji kufuata katiba.
Mzalendo ni yule ambaye anafunga mianya yote ya ulaji hata ulio halali ili ale yeye na watu wake tu maana hata ukila halali kama hauko kwenye group la watu wake wewe utakuwa ni fisadi na jizi.
Nimependa quote yako ya william shakespear kwenye playa ya Julius Ceaser
 
Uzalendo ni kuipenda nchi yako na Sio Serikali
.

Kunatofauti kubwa kati ya kuipenda nchi na kuipenda, unaweza ukaipenda nchi ila usiipende Serikali na kuna unaweza ukaipenda Serikali lakini usiipende nchi na kuna wakati ukapenda vyote.


Na pia kuna wakati kuichukia Serikali iliyoko madarakani nako Uzalendo.

Ila sasahivi Uzalendo ni "kuunga mkono juhudi za Magufuli" ukiunga "mguu" wewe sio mzalendo na ni Msaliti.

NENO UZALENDO AWAMU HII LIMETAMKWA MARA NYINGI KULIKO AWAMU ZOTE ZILIZOPITA NA NDIO NENO LINALORUN KWENYE GOOGLE KULIKO AWAMU ZOTE.
 
Uzalendo ni kuipenda nchi yako na Sio Serikali
.

Kunatofauti kubwa kati ya kuipenda nchi na kuipenda, unaweza ukaipenda nchi ila usiipende Serikali na kuna unaweza ukaipenda Serikali lakini usiipende nchi na kuna wakati ukapenda vyote.


Na pia kuna wakati kuichukia Serikali iliyoko madarakani nako Uzalendo.

Ila sasahivi Uzalendo ni "kuunga mkono juhudi za Magufuli" ukiunga "mguu" wewe sio mzalendo na ni Msaliti.

NENO UZALENDO AWAMU HII LIMETAMKWA MARA NYINGI KULIKO AWAMU ZOTE ZILIZOPITA NA NDIO NENO LINALORUN KWENYE GOOGLE KULIKO AWAMU ZOTE.
lazima tufike mahali tukubali kutokubaliana
 
Habari wana JF,

Nimechanganyikiwa hapa na mambo yanayoendelea katika nchi yangu. Naomba nijuzwe maana ya neno uzalendo na yapi ni matendo ya kizalendo.

Asanteni
Uzalendo ni hali ya kukubali kila jambo linalifanywa na watawala wa CCM.
Vitendo vya uzalendo ni pamoja na Ufisadi,Udikteta,Uuaji,utesaji,Kununua wapinzani,kutofauta katiba ya nchi na kuwapigia makofi watawala kwa kila jambo
 
UZALENDO SINCE 2015: "ni hali ya kuhama toka upinzani na kuhamia ccm ili kumuunga mkono mtukufu jiwe. ukiwa upinzani na ukiwa na mawazo tofauti ya kumkosoa mkuu au sirikali wewe si mzalendo"

UZALENDO FROM INDEPENDENCE TO 2014: "ni hali ya mtu kuipenda nchi yake, kuithamini na hata kuwa tayari kufa kwaajili ya kuipigania nchi yake kwa maslahi ya nchi yake"
 
Neno uzalendo linatumika kama neno uchochezi pale awali lilivyokua likitumika na Wananchi wajinga wanalidandia bila kujua maana yake uzalendo nini mi mtu akiwa anaongea akaanza kusema sijui uzalendo namuona waki
 
Habari wana JF,

Nimechanganyikiwa hapa na mambo yanayoendelea katika nchi yangu. Naomba nijuzwe maana ya neno uzalendo na yapi ni matendo ya kizalendo.

Asanteni
Uzalendo nikuwa na dhati ya kupenda inchi yako kupinga uonevu kwa wanyonge na kuisaidia inchi yako kupiga hatua kimaendeleo na kupambana kuuondoa umasikini bila kujali itikadi
 
Uzalendo nikuwa na dhati ya kupenda inchi yako kupinga uonevu kwa wanyonge na kuisaidia inchi yako kupiga hatua kimaendeleo na kupambana kuuondoa umasikini bila kujali itikadi
Hayo ni matendo yanayotaka kufanana na ya kizalendo
 
Neno uzalendo linatumika kama neno uchochezi pale awali lilivyokua likitumika na Wananchi wajinga wanalidandia bila kujua maana yake uzalendo nini mi mtu akiwa anaongea akaanza kusema sijui uzalendo namuona waki
Taratibu Mkuu, uzalendo hautaki hasira
 
Back
Top Bottom