Tangu lini mnaimba hiyo ngonjera kujitanua kiuchumi. Lakini tunawaona mnatanua matumbo yenu tu. Uchumi ukiendelea kushuka?. Wananchi wakiendelea kuwa na hali mbaya?Mshamba yule,
Hakujua alipashwa kutumia ziara ile kujitanua pia kiuchumi
Umejibu vyema sana.Akili ndogo Sana! Siku nyingine utapinga Joe Biden kusafiri na Airforce One! Nyau we!
Hebu angalia stats hizi:
Angola: population 38 million; GDP USD 89bn, GDP per Capita: USD 2900
Tanzania: population: 58 million, GDP USD 63 bn; GDP per Capita: USD 1090
Angola haitegemei korosho mazee ambazo mwendaakhera aliziua!
Hebu nioneshe kipengele katika katiba ya sasa kinacho kuruhusu kuendeleza mikutano ya majukwaa ya kisiasa baada ya uchaguzi.
Yaan ni sawa na chuo tu baada ya kuchagua rais wa chuo wote mnarud class kupambana na GPA hakuna tena magenge zaid ya hapo ni kampeni ya kumkwamisha aliyepo.
Mikutano yenu ya ndani fanyeni lakin majukwaani subirini mda ufike
Viva Samia VivaClick to expand...
Comment Of The dayUzalendo wa Rais Samia ni wa moyoni,
Duuh, kama hii ni kweli basi Samia ni jembe sana,
Asante Rais wangu Samia kwa kuwajali Watanzania
Acha kusingizia watu kuwa na hali mbaya jizungumziee wewe na chadema yako,Tangu lini mnaimba hiyo ngonjera kujitanua kiuchumi. Lakini tunawaona mnatanua matumbo yenu tu. Uchumi ukiendelea kushuka?. Wananchi wakiendelea kuwa na hali mbaya?
Ccm mijitu milafi kabisa. Huoni kabisa hali mbaya za wengine. Mnavyojiona nyie mlivyoiba na kushibiana matumbo,mnaona wote wako sawa. Ndio hapo alieshiba hamjui mwenye njaa.Acha kusingizia watu kuwa na hali mbaya jizungumziee wewe na chadema yako,
Unajua Rais Samia amejenga madarasa elfu 18?Wakati Rais Samia anakwepa gharama ya mafuta ya TZS 270M kwa kupanda usafiri wa Umma | Rais Joao wa Angola ametumia TZS 9.5B kwenye Safari hiyo hiyo ya UN Gen Assembly, Wonders shall never end in Africa hongera sana Rais wangu Samia,
" Hakuna kama Samia "
Tunapoambiwa Tanzania imempata Rais Mzalendo wa Vitendo Mhe Samia Suluhu Hassan kuna watu bado wanasitasita kuelewa hata sasa kwani wanadhani Uzalendo ni kufokafoka wakati wote no!! Sasa tukio hili liwafunze maana halisi ya Uzalendo,
Tarehe 25|09|2021 pale JKNIA sote tumeshuhudia Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan akishuka kwenye ndege ya abiria pamoja na Tanzania kuwa na zaidi ya ndege 11 mpya zinazoweza kuruka moja kwa moja toka Dar -New York bila kutua popote lakini Rais alifanya vile ili kupunguza gharama za Safari yake ili chenji ya safari iende kuhudumia watoto wa masikini na hii ndio maana halisi ya Uzalendo wa vitendo.
Rais wa Angola H. E. Joao LourenΓ§o katika kuhudhuria mkutano mkuu wa 76 wa UN Gen Assembly ( UNGA) jijini New York Marekani alijiidhinishia kiasi cha 2.5bl Angolan Kwanza ambayo ni sawa na $4.12M au sawa na shilingi milioni elfu tisa na miatano yaani 9.5bl,Lakini umbali kutoka Angola hadi New York ni kilometa 10,967 wakati umbali kutoka Tanzania hadi New York ni kilometa 12,050,Rais Joao amekuwa akisafiri kwa ndege binafsi wakati wote tofauti kabisa na Rais wetu.
Uzalendo ni imani lakini unasukumwa zaidi na hofu ya Mungu iliyoko ndani ya kiongozi husika,Rais mmoja anatumia Tshs 9.5bl kwa mkutano mmoja, kwa msiofahamu thamani halisi ya Tshs 9.5bl ni kwamba pesa hii inaweza kujenga hospitai kubwa tano za rufaa mnazozijua.
Rais Samia anakwepa kutumia 270M za Watanzania || Joao anatumia Tshs 9.5bl za wanaangola kwa mkutano mmoja, Viva Samia Viva huyu Mungu unayemuheshimu akuheshimishe zaidi na zaidi.
.........Kazi iendelee .........
Alarm over Angola Presidentβs Sh9.5 billion UN travel budget
SUNDAY SEPTEMBER 26 2021
===================================
Angola President
Angola's President Joao Lourenco (C) reviews the guard of honour as he arrives at the Angola Nation Assembly on October 16, 2017.
Summary
On September 8, President LourenΓ§o approved, in a presidential decree, the sum of US$4,119,036.75 (TSh9.5 billion) for operating expenses in preparations for the 76th session of the General Assembly of the United Nations, which closed Friday.
Civil society members and political party representatives in Angola are criticising President JoΓ£o LoureΓ§oβs budget for UN travel.
On September 8, President LourenΓ§o approved, in a presidential decree, the sum of US$4,119,036.75 (2,500,000,000 Angolan Kwanza or TSh9.5 billion) for operating expenses in preparations for the 76th session of the General Assembly of the United Nations, which closed Friday.
President JoΓ£o LourenΓ§o took over in September 2017, at the end of JosΓ© Eduardo dos Santos's 38-year reign, and pledged to fight corruption.
Mihaela Webba, an MP in the main opposition party, Unita, asked what Angola would do with such a budget, describing the $4 million of additional credit for almost one week in the US as βnot fairβ.
βIt is too much abuse of our money,β she said.
TchizΓ© dos Santos, a former MP of the ruling MPLA party, asked: βWere the State coffers not as empty as the President said he found them when he took over?β
Santos added: β$4 million on a trip and the President travels almost every month [sic]. Whenever he goes by plane he leaves in private jets.β
Mr JoΓ£o Pinto, a ruling MPLA MP, however, said whoever damages his image should be held responsible.
βIt is outrageous to damage a poster or the image of the President and leader of the MPLA, that in December organises its ordinary congress. Being a democrat requires respect for others, even if you don't agree with them, so those involved in acts of outrage, injury or damage must be held responsible," he wrote on his Facebook page.
The controversies are arising as Angola plans to hold a general election in 2022, with President LourenΓ§o and his ruling MPLA party seeking retain power.
Alarm over Angola Presidentβs Sh9.5 billion UN travel budget
Civil society members and political party representatives in Angola are criticising President JoΓ£o LoureΓ§oβs budget for UN travel.www.thecitizen.co.tz
VIVA TANZANIA || VIVA SAMIA
View attachment 1969119
View attachment 1969120
Wakati Rais Samia anakwepa gharama ya mafuta ya TZS 270M kwa kupanda usafiri wa Umma | Rais Joao wa Angola ametumia TZS 9.5B kwenye Safari hiyo hiyo ya UN Gen Assembly, Wonders shall never end in Africa hongera sana Rais wangu Samia,
" Hakuna kama Samia "
Tunapoambiwa Tanzania imempata Rais Mzalendo wa Vitendo Mhe Samia Suluhu Hassan kuna watu bado wanasitasita kuelewa hata sasa kwani wanadhani Uzalendo ni kufokafoka wakati wote no!! Sasa tukio hili liwafunze maana halisi ya Uzalendo,
Tarehe 25|09|2021 pale JKNIA sote tumeshuhudia Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan akishuka kwenye ndege ya abiria pamoja na Tanzania kuwa na zaidi ya ndege 11 mpya zinazoweza kuruka moja kwa moja toka Dar -New York bila kutua popote lakini Rais alifanya vile ili kupunguza gharama za Safari yake ili chenji ya safari iende kuhudumia watoto wa masikini na hii ndio maana halisi ya Uzalendo wa vitendo.
Rais wa Angola H. E. Joao LourenΓ§o katika kuhudhuria mkutano mkuu wa 76 wa UN Gen Assembly ( UNGA) jijini New York Marekani alijiidhinishia kiasi cha 2.5bl Angolan Kwanza ambayo ni sawa na $4.12M au sawa na shilingi milioni elfu tisa na miatano yaani 9.5bl,Lakini umbali kutoka Angola hadi New York ni kilometa 10,967 wakati umbali kutoka Tanzania hadi New York ni kilometa 12,050,Rais Joao amekuwa akisafiri kwa ndege binafsi wakati wote tofauti kabisa na Rais wetu.
Uzalendo ni imani lakini unasukumwa zaidi na hofu ya Mungu iliyoko ndani ya kiongozi husika,Rais mmoja anatumia Tshs 9.5bl kwa mkutano mmoja, kwa msiofahamu thamani halisi ya Tshs 9.5bl ni kwamba pesa hii inaweza kujenga hospitai kubwa tano za rufaa mnazozijua.
Rais Samia anakwepa kutumia 270M za Watanzania || Joao anatumia Tshs 9.5bl za wanaangola kwa mkutano mmoja, Viva Samia Viva huyu Mungu unayemuheshimu akuheshimishe zaidi na zaidi.
.........Kazi iendelee .........
Alarm over Angola Presidentβs Sh9.5 billion UN travel budget
SUNDAY SEPTEMBER 26 2021
===================================
Angola President
Angola's President Joao Lourenco (C) reviews the guard of honour as he arrives at the Angola Nation Assembly on October 16, 2017.
Summary
On September 8, President LourenΓ§o approved, in a presidential decree, the sum of US$4,119,036.75 (TSh9.5 billion) for operating expenses in preparations for the 76th session of the General Assembly of the United Nations, which closed Friday.
Civil society members and political party representatives in Angola are criticising President JoΓ£o LoureΓ§oβs budget for UN travel.
On September 8, President LourenΓ§o approved, in a presidential decree, the sum of US$4,119,036.75 (2,500,000,000 Angolan Kwanza or TSh9.5 billion) for operating expenses in preparations for the 76th session of the General Assembly of the United Nations, which closed Friday.
President JoΓ£o LourenΓ§o took over in September 2017, at the end of JosΓ© Eduardo dos Santos's 38-year reign, and pledged to fight corruption.
Mihaela Webba, an MP in the main opposition party, Unita, asked what Angola would do with such a budget, describing the $4 million of additional credit for almost one week in the US as βnot fairβ.
βIt is too much abuse of our money,β she said.
TchizΓ© dos Santos, a former MP of the ruling MPLA party, asked: βWere the State coffers not as empty as the President said he found them when he took over?β
Santos added: β$4 million on a trip and the President travels almost every month [sic]. Whenever he goes by plane he leaves in private jets.β
Mr JoΓ£o Pinto, a ruling MPLA MP, however, said whoever damages his image should be held responsible.
βIt is outrageous to damage a poster or the image of the President and leader of the MPLA, that in December organises its ordinary congress. Being a democrat requires respect for others, even if you don't agree with them, so those involved in acts of outrage, injury or damage must be held responsible," he wrote on his Facebook page.
The controversies are arising as Angola plans to hold a general election in 2022, with President LourenΓ§o and his ruling MPLA party seeking retain power.
Alarm over Angola Presidentβs Sh9.5 billion UN travel budget
Civil society members and political party representatives in Angola are criticising President JoΓ£o LoureΓ§oβs budget for UN travel.www.thecitizen.co.tz
VIVA TANZANIA || VIVA SAMIA
View attachment 1969119
View attachment 1969120
Rais Samia atoa wastani wa madarasa manne na madawati 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima | Hakika awamu ya Sita Tanzania lazima iwe Tanzania.
" Hakuna kama Samaia "
Baada ya janga la Covid-19 kuvuruga Uchumi wa dunia na sisi tukiwemo, Shirika la fedha duniani ( IMF) pamoja na benki ya dunia ( WB) wameanza kuzisaidia nchi mbalimbali duniani ikiwemo Tanzania mikopo yenye masharti nafuu ili pesa hizo zitumike kama Economic Stimulus & Relief Fund na hapa muelewe vizuri Tanzania tunapokea mikopo na misaada ila "HATUITEGEMEI " ndio maana hata kwenye bajeti yetu hii ya FY2021|22 katia ya Tshs 36.33trl zilizotengwa pesa zetu ni 91.9% huku misaada na mikopo ikiwa ni 8.1% tu,
IMF tayari imeisaidia Tanzania mkopo wenye masharti nafuu kiasi cha Tshs 1.3trl kwaajili ya kusisimua Uchumi wake uliodorora kwasababu ya covod-19 kwani niukweli usiopingika Tanzania tumeumizwa zaidi kwenye Sekta za Utalii,biashara na Usafirishaji,
Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutumia pesa hizo na baada ya kutoa madarasa ya kisasa elfu 15 sawa na wastani wa madarasa manne kwenye kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima huku kipaumbele kikiwa ni shule zenye upungufu wa madarasa lakini furaha iliyoje Rais wetu ametoa tena jumla ya madawati 462,795 ambayo ni sawa na Wastani wa madawati 120 kwenye kila Shule ya Sekondari nchi nzima ambazo jumla ya shule hizo ni 3,863.
Sababu za Rais Samia Suluhu Hassan kutoa madarasa mapya manne ya kisasa na madawati mapya 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima ni kuhakikisha wazazi wa watoto watakaojiunga na kidato cha kwanza mwakani katika mwaka wa masomo 2021|2025 hawalipi hata Shilingia mia moja kwani Rais wetu mnyenyekevu ameshalipa pia ada za watoto wote 1M wanaotakiwa kuanza shule siku moja nchi nzima yaani trh 06|01|2022,hii haijawahi kutokea katika historia ya nchi yetu,
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
View attachment 1971181
Walikurupuka sana na hivyo ndivyo walivyo,Haters si walisema ametumia Boeing??
Kaziindelee kwa kasi & wekedi zaidiSwala sio utajiri au umasikini,
Kwaakili Tanzania tunashindwa kugharamia safari ya UNGA kwa kiwango cha kifisadi?
Hoja hapa ni UZALENDO wa Mzalendo namba moja Samia Suluhu Hassan,
Ukisoma hiyo Source Watu wa Angola wanalalamika kama uchumi ni huo Why walalamike,
Tukubaliane kwa Sasa Africa, Mzalendo namba Moja ni SAMIA SULUHU HASSAN TU.
Hakuna kama Samia kabisaHongera mama Samia,wala hapendi sifa wala hapendi umimi.
Kama hawajui kusoma hata macho hawaoni?Haters si walisema ametumia Boeing??
Kwahiyo hizo milioni elfu 9 ni gharama ya kurusha hiyo ndege moja?
Huenda sijaelewa vizuri kwakuwa sijamaliza kusoma uzi wote
Kuna wapumbavu wanpend sana kueneza uvumi wa kijinga waliponsa sana kumbe mama kabana matizi sana tuHaters si walisema ametumia Boeing??
Rais Samia ameongeza wanafunzi 29,000 kwenye mikopo ya elimu ya juu HESLB kwa miezi sita tu,Kwahiyo hizo milioni elfu 9 ni gharama ya kurusha hiyo ndege moja?
Huenda sijaelewa vizuri kwakuwa sijamaliza kusoma uzi wote
Rais Samia ameongeza wanafunzi 29,000 kwenye mikopo ya elimu ya juu HESLB kwa miezi sita tu,Uzalendo wa Rais Samia ni wa moyoni,
Duuh, kama hii ni kweli basi Samia ni jembe sana,
Asante Rais wangu Samia kwa kuwajali Watanzania
Gharama za Safari ya Rais wa Angola,
Soma kwa utulivu is very interesting