Uzalishaji wa Cement Tanzania ni takriban mara mbili zaidi ya Kenya

Uzalishaji wa Cement Tanzania ni takriban mara mbili zaidi ya Kenya

Soma kwanza alichoandika joto la jiwe wacha kuvamia vamia comment, soma na uelewe alichomaanisha co kukosoa tu.
Anamatatizo huyo ya akili, yeye anajibu comments za watu wote hapa JF, matokeo yake hapati muda wa kuelewa kazi yake ni kukurupuka hovyo hovyo, jinga sana hilo
 
Na bado kuna kiwanda kingine hapi Tanga cha wachina....yani hawa wache na kelele zao plus ujinga ulio kidhiri ....watajua Tz ni nani kwa ukanda huu[emoji706]
Kumbe vya Wachina.
Nilifikiri vya Mangi au Ngosha
 
Ngoja nikujibu ili kukuonyesha kwamba wewe huna akili, sisi tumesema nchi tunazoziuzia cement ni DRC, Zambia, Rwanda, Burundi, Malawi, South Africa, Zimbabwe, Comoro, na hizo nchi zingine. Nani aliyekuambia kwamba, kwamba Kenya sio miongoni mwa nchi tunazoziuzia cement kwahiyo hatutegemei soko la Kenya, sasa wewe unasema tunategemea soko la nchi masikini, hivi marekani ikiuza bidhaa zake Kenya ndio kwamba inategemea soko la Kanya?, uwe unasoma na kuelewa kabla hujajibu, pimbi wewe.
Marekani haitegemei soko la kenya cz hata tusippnunua bado wanawashirika wengi sana na wenye kutuzidi na mbali..

Kw mfano ukiangalia matumizi ya saruji kenya huenda ikawa ni nusu hta zaidi ya nchi km tatu katika hzo ulizozitaja..
 
Tatizo sio kusoma tu, je umeelewa alichokiandika au na we umekuja ili uonekane unajua
Hebu soma tena wacha ujinga[emoji116][emoji116][emoji116]
Tony254, wewe ndio hujui biashara kabisaa, Uchumi wa Djibouti unaingia mara 50 kwa Kenya, uchumi wa Msumbiji unaingia mara tatu kwa Kenya, unasema hizi nchi ni masikini sana kufanya nazo biashara haina faida, lakini uchumi wa Kenya unaingia zaidi ya mara Elfu ishirini kwa Marekani, lakini bado Marekani anataka kufanya biashara na Kenya, kamwe Marekani au China hawasemi Kenya ni masikini sana hawawezi kununua bidhaa zetu.
 
Kwa zarau hizo basi mchina angelidharau nchi nyingi wala asingelipeleka bidhaa zake na ndicho haswa alichomaanisha joto la jiwe usiwe mjinga.
Aaaa wee!!mchina kuuza bidhaa tanzania haimaanishi km tz ndio tegemeo kwake..

Na kwanza vitu vingi vya kutoka uchina sana sana haleti mchina, huaga ni wafanyibishara wa kutola pande zote ndio wanatafuta soko..
Lkn ni ngumu sana upate kampuni kubwa kubwa za ughainuni kufungua matawi yao katika nchi za dunia ya tatu na basi wakifungua itakua wanauza zile products zao za chini au hta zile ambazo zinaendana na eneo husika..

Thats why unakuta dubai kuna vitu vingi ambavyo vinafanyia marketing tena na kampuni husika wala sio wafanyibiashara
 
LOL Kenya ni 700 before transportation, inaenda 720 kwa retailers wakati Tanzania ni 680 kwa retailers na hii ndio bei ghali
Acha kudanganya watu wewe, mikoani saruji ni 700 na unapelekewa mpka kw site, au nyinyi hko mikoani hakuna free delivery
 
Anamatatizo huyo ya akili, yeye anajibu comments za watu wote hapa JF, matokeo yake hapati muda wa kuelewa kazi yake ni kukurupuka hovyo hovyo, jinga sana hilo
Punguza jazaba, mimi ukiandika pumba mbona lazima nikwambie tu
 
Hebu soma tena wacha ujinga[emoji116][emoji116][emoji116]
Ndio nikakuuliza katika akili zao hawajui kabisa km kenya sio nchi maskini kwao na wala haina impact yyte hta wasipofanya nao biashara..

Hyo comment haina tofauti na vile tony alivyomwambia km hzo ni nchi maskini, lkn hakumaanisha km kenya haifanyi biashara na burundi hko tunaita kupanua matawi lln ukwel unajulikana
 
Tutapiga marufuku saruji kutoka Tanzania. Mbona tununue saruji kutoka kwa jirani mwenye roho mbaya?
Huwezi kupiga marufuku maana utajiumiza mwenyewe maana kuchukua TANZANIA inasababisha mlaji wa mwisho kupata Kwa bei nafuu kuliko popote pale utakapochukua
 
Kwani lazima ujilinganishe na kenya? Siku moja moja uwe unajilinganisha hata south Africa
 
Back
Top Bottom