Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
- Thread starter
- #1,201
Nina miezi 10 sijaangalia sijui nitaelewa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi elewa😜😂Nina miezi 10 sijaangalia sijui nitaelewa?
Kudadeki zulu anataka talakaUzushi tu afe si nakufa nae kwani dunia yetu hii?[emoji16][emoji16]
Nahisi kuna mtu kampelekea taarifa kuwa Zakhes keshamla MangbocoKudadeki zulu anataka talaka
Kuna chawa kampenyezea kuwa zakes anatafuna utelezi wake nini?Kudadeki zulu anataka talaka
nisimulie 😁😁Huwezi elewa😜😂
Yeh itakuwa hivyoNahisi kuna mtu kampelekea taarifa kuwa Zakhes keshamla Mangboco
Shukran,na kwako pia mpendwaHappy new year anonymous friends [emoji3590][emoji1635]
me enyewe sielewi kinachopanda wala kushukanisimulie 😁😁
KumbeeMie sikua nafuatilia. Mara moja moja naangalia ila naelewa. Kuhusu Gxbashe aliyepo jela Pretoria, alimuagiza mwanasheria wake ampeleke mkewe wakaonane. Ila gia imebadilika angani baada ya jamaa huyu mpya (sijui jina lake) anayetoka na MacNgobo mke wa Gxbashe, kufanya njama na mwanasheria ionekane Gxbashe anataka divorce na kwamba amesha sign divorce papers. Zote njama za huyu sponsor mpya wa MacNgobo.
Jamaa inajua kubembeleza sana ile.Kumbee
Huyu zakes mxo alisema kuwa xulu amekuwa akimtaja mara kwa mara kuwa ni adui yake mkubwa na anataka kuichukua biashara.
Kumbe mwanasheria shown sijui kaingia tamaa namna hii?
Daah mangcobo nae hasikii wala haoni, vijizawadi navyo anavyoletewa basi mbishi sana.
Huyu zakes ana kisauti kilaini sana lakini amejaa umafia mwingi sana yaani hata dhlomo anataka kumrudisha jela huko
Acha tuone japo jana sijafuatilia.
😁😁😁😁wamama wanakuja wenyewe hata manzuza atamsaliti yesu aende kwa bro zakes.Jamaa inajua kubembeleza sana ile.
Mara utasikia inaita; Ooh, Lili...
Sasa mimi nitaielewa kweli ndo nataka kuanza kufatilia dah .yani hii uzalo usipoangalia tu wiki ukirudi huelewi kitu
Mimi.kuna ambae ajaangalia humu wiki hii..?
Hizi ndiyo zinaitwa spoilersAtafia kanisani yeye pamoja na MaNzuza,inasemekana walishindwa kukubaliana na waandaji kwenye suala la mkataba mpya especially malipo ndio maana akaamua kusepa!!