Uzalo Special Thread

Uzalo Special Thread

Nimeumia Sana huyu dogo bandile alivyogeuzwa scapegoat
ukizingatia ndio kaenda jela mara nyingi..
Dah sio wewe tu mkuu... inauma sanaa alafu ukicheki inakua ngumu kuaminika kutokana na madhambi aliyotenda huko nyuma😔
 
Dah sio wewe tu mkuu... inauma sanaa alafu ukicheki inakua ngumu kuaminika kutokana na madhambi aliyotenda huko nyuma😔
Naamini lakini bado mxo atalipa haya, dhlomo sio mkurupukaji Sana.
dogo alikuja kuanza maisha safi hakutaka uhalifu mwengine ila ndo hivi tena. nina imani mangcobo atamchoma mxo tu.

hata nkosinathi mwenyewe hamjui halafu eti kamuua..! mxo muhuni Sana
 
Naamini lakini bado mxo atalipa haya, dhlomo sio mkurupukaji Sana.
dogo alikuja kuanza maisha safi hakutaka uhalifu mwengine ila ndo hivi tena. nina imani mangcobo atamchoma mxo tu.

hata nkosinathi mwenyewe hamjui halafu eti kamuua..! mxo muhuni Sana
Yaani.. sai mxo ndio kageuka mnyama kuliko mangcobo yaani ungekuta ni mimi ningeokoa chakwangu binafsi
 
Yaani.. sai mxo ndio kageuka mnyama kuliko mangcobo yaani ungekuta ni mimi ningeokoa chakwangu binafsi
Lakini wao ndio walimfundisha pia alitakaga mwenyewe hana wa kumlaumu, mangcobo na mxo wabebe dhambi zao dogo bandile anaonewa tu huku zakes nae anafukuzia empire ya xulu yaani vurugu.
Huku sma na mambo yake ya kwaya yanaboa kinoma.
 
Lakini wao ndio walimfundisha pia alitakaga mwenyewe hana wa kumlaumu, mangcobo na mxo wabebe dhambi zao dogo bandile anaonewa tu huku zakes nae anafukuzia empire ya xulu yaani vurugu.
Huku sma na mambo yake ya kwaya yanaboa kinoma.
sanaa yaani wabebe misalaba yao tu wanachosha na roho zao mbaya izoo.... yaan sai kwa xulu ni vurugu mechi... hapaeleweki
 
Ayanda na huyo dogo kuna kila dalili watanasa kwenye penz
 
Maskini Bandile aliingizwa cha kike na mwanasheria mhuni aliyepewa mlungura na Mxo kuwa akikiri kuua atafungwa miaka 7, lakini kapigwa miaka 20. Mama yake baada ya kusikia hukumu ya mwanawe redion kapatwa na mshtuko wa moyo.
Mastermind naye karudi nyumbani.
 
Maskini Bandile aliingizwa cha kike na mwanasheria mhuni aliyepewa mlungura na Mxo kuwa akikiri kuua atafungwa miaka 7, lakini kapigwa miaka 20. Mama yake baada ya kusikia hukumu ya mwanawe redion kapatwa na mshtuko wa moyo.
Mastermind naye karudi nyumbani.
Nimeumia Sana yaani bandile kijana mdogo hata hahusiki kabisa na kashaenda jela Sana dah yule shaun muhuni Sana yaani.

Mondil naona bado kuna kitu anafuatilia mxo ataenda kwenye nondo hakyanani..

Zweli nae karudi kufanyeje sasa huyu
 
Ila Bandile nae fala,
Hivi hadi anafungwa sijamsikia hata scene moja akitamka maneno "nimesingiziwa" ama "ninabambikiziwa hii kesi",
Hajatumia hata nguvu kidogo kwenye wazo la kuwa anatumika kubeba kesi ya mtu mwengine

Halafu muandishi wa series katupiga hapa na kitu kizito, Bandile kashawahi kwenda jela, hivi kweli mtu aliye wahi kwenda jela si anajua kitu kinaitwa 'alibi' yani alibi ni kuwa kama ukituhumiwa jambo ukawa na ushahidi kuwa ulikuwa na watu fulani mahala fulani kuwa muda wa tukio ulikuwa nao basi unaachiwa, yeye Bandile Kakubali kiurahisi mno kesi ya mauaji, wakati kina dhlomo wangeweza kufika huko kwao kuhoji watu na kuthibitisha kuwa muda nkosinathi alipopotea yeye hakuwapo kwamashu, yani hata mtu hata aliye iba sufuria akifika mahakamani lazima atahaha kutaka kujinasua na suala lake, ila sio Bandile.

Kingine, Bandile hakutaka kesi yake mama ake ajue hivi hakukuwa na ndugu wengine wa kuwasiliana nao pengine ndugu wengine wangekuwa na mchango mkubwa kudadisi mambo na asingefungwa
 
Ila Bandile nae fala,
Hivi hadi anafungwa sijamsikia hata scene moja akitamka maneno "nimesingiziwa" ama "ninabambikiziwa hii kesi",
Hajatumia hata nguvu kidogo kwenye wazo la kuwa anatumika kubeba kesi ya mtu mwengine

Halafu muandishi wa series katupiga hapa na kitu kizito, Bandile kashawahi kwenda jela, hivi kweli mtu aliye wahi kwenda jela si anajua kitu kinaitwa 'alibi' yani alibi ni kuwa kama ukituhumiwa jambo ukawa na ushahidi kuwa ulikuwa na watu fulani mahala fulani kuwa muda wa tukio ulikuwa nao basi unaachiwa, yeye Bandile Kakubali kiurahisi mno kesi ya mauaji, wakati kina dhlomo wangeweza kufika huko kwao kuhoji watu na kuthibitisha kuwa muda nkosinathi alipopotea yeye hakuwapo kwamashu, yani hata mtu hata aliye iba sufuria akifika mahakamani lazima atahaha kutaka kujinasua na suala lake, ila sio Bandile.

Kingine, Bandile hakutaka kesi yake mama ake ajue hivi hakukuwa na ndugu wengine wa kuwasiliana nao pengine ndugu wengine wangekuwa na mchango mkubwa kudadisi mambo na asingefungwa
Ukimchunguza Sana bata huwezi kumla
Tuishie hapa tu cha msingi tuangalie tuburudike ila ukifuatilia kwa makini unagundua vingi tu kama wewe.

Tuangalie tu.
 
Ayanda na huyo dogo kuna kila dalili watanasa kwenye penz
Wazee wa kanisa wanamshawishi mchungaji atafute mke nasio kukaa bachelor haipendezi 😁 jamaa naona kama hili swala limegusa lazima hajiiingize kwa hyo dogo
 
Ila Bandile nae fala,
Hivi hadi anafungwa sijamsikia hata scene moja akitamka maneno "nimesingiziwa" ama "ninabambikiziwa hii kesi",
Hajatumia hata nguvu kidogo kwenye wazo la kuwa anatumika kubeba kesi ya mtu mwengine

Halafu muandishi wa series katupiga hapa na kitu kizito, Bandile kashawahi kwenda jela, hivi kweli mtu aliye wahi kwenda jela si anajua kitu kinaitwa 'alibi' yani alibi ni kuwa kama ukituhumiwa jambo ukawa na ushahidi kuwa ulikuwa na watu fulani mahala fulani kuwa muda wa tukio ulikuwa nao basi unaachiwa, yeye Bandile Kakubali kiurahisi mno kesi ya mauaji, wakati kina dhlomo wangeweza kufika huko kwao kuhoji watu na kuthibitisha kuwa muda nkosinathi alipopotea yeye hakuwapo kwamashu, yani hata mtu hata aliye iba sufuria akifika mahakamani lazima atahaha kutaka kujinasua na suala lake, ila sio Bandile.

Kingine, Bandile hakutaka kesi yake mama ake ajue hivi hakukuwa na ndugu wengine wa kuwasiliana nao pengine ndugu wengine wangekuwa na mchango mkubwa kudadisi mambo na asingefungwa
hii sio mara kuwa out of reality
 
Hawa watanyanduana siku sio nyingi
IMG_20220116_012718.jpg
 
Back
Top Bottom