Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
- Thread starter
- #1,181
Tatizo wanaringa hivi nani tumfikishie?ITV wangeweka hii Mambo YouTube ingekuwa poa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo wanaringa hivi nani tumfikishie?ITV wangeweka hii Mambo YouTube ingekuwa poa sana
Soap hii itachukua miaka mingapi ndio ifike Tamati?Isidingo ilichukua miaka 21!Hii soap sijawahi kuiangalia tangu imeanza ITV ila naijua vizuri tu,baada ya xulu itakuja chafu nyingine inaitwa Nkunzi kama mume wa gangster lady lindiwe,mxo atakuja kumuuwa mama yake 'mzazi' MaNzuza (huyu ndie salafina kwenye movie ileee) pamoja na Sma,hawa wote watafia kanisani baada ya wahuni kwenda kupiga heist huko huko church,MaMlambo atakuja kuolewa kama mke wa pili wa Nkunzi,hii itasababisha balaaa kubwa na Mangcobo,Nosi atakuja kuwa demu wa mondi
Soap hii itachukua miaka mingapi ndio ifike Tamati?Isidingo ilichukua miaka 21!
Yarushwa channel Gani ?Isindingo ilikuwa SABC3Mpaka sasa ina miaka kama sita tangu imeanza na bado inaendelea!!!
Yarushwa channel Gani ?Isindingo ilikuwa SABC3
Hii soap sijawahi kuiangalia tangu imeanza ITV ila naijua vizuri tu,baada ya xulu itakuja chafu nyingine inaitwa Nkunzi kama mume wa gangster lady lindiwe,mxo atakuja kumuuwa mama yake 'mzazi' MaNzuza (huyu ndie salafina kwenye movie ileee) pamoja na Sma,hawa wote watafia kanisani baada ya wahuni kwenda kupiga heist huko huko church,MaMlambo atakuja kuolewa kama mke wa pili wa Nkunzi,hii itasababisha balaaa kubwa na Mangcobo,Nosi atakuja kuwa demu wa mondi
ITV wamefika episode ya ngapi na series Gani so far?hii pia inarushwa SABC3
Yarushwa channel Gani ?Isindingo ilikuwa SABC3
Weee hatari sanaHii soap sijawahi kuiangalia tangu imeanza ITV ila naijua vizuri tu,baada ya xulu itakuja chafu nyingine inaitwa Nkunzi kama mume wa gangster lady lindiwe,mxo atakuja kumuuwa mama yake 'mzazi' MaNzuza (huyu ndie salafina kwenye movie ileee) pamoja na Sma,hawa wote watafia kanisani baada ya wahuni kwenda kupiga heist huko huko church,MaMlambo atakuja kuolewa kama mke wa pili wa Nkunzi,hii itasababisha balaaa kubwa na Mangcobo,Nosi atakuja kuwa demu wa mondi
Isidingo haikuwa tamati bali ilikatishwa kwa kukosa wafadhiliSoap hii itachukua miaka mingapi ndio ifike Tamati?Isidingo ilichukua miaka 21!
Weee hatari sana
Sma atakufa daah
Ooh okAtafia kanisani yeye pamoja na MaNzuza,inasemekana walishindwa kukubaliana na waandaji kwenye suala la mkataba mpya especially malipo ndio maana akaamua kusepa!!
Pole sma wako ataondoka dunia ya uzaloMimi nimeona niache mbwembwe nasubiri marudio kesho yoteee
Uzushi tu afe si nakufa nae kwani dunia yetu hii?😁😁Pole sma wako ataondoka dunia ya uzalo