Uzalo Special Thread

Uzalo Special Thread

GC baada ya kukimbia kuoa na kuja mjini alikuwa disowned na wazazi wake na amekuwa mlevi Sana.Rafiki zake kila wanapojaribu kumrekebisha anawaropokea maovu yao akiwa amelewa.Aliingia mpaka kanisani akiwa amelewa na kuanza kutaja maovu ya kila mmoja.Mamlambo katembea na mchungaji na pia alishakuwa na mwanamme muhuni.n.k Rafiki yake ni yule msichana mwizi wa magari pamoja na Zweli.
SBU analipua ATM na kuiba mamilioni ya rand Nkuzi anaingilia kati na kumfuata SBU na bastola,kurudisha pesa zote Polisi.Sasa Nkuzi imekuwa habari ya mjini kila mtu anamsifia kwamba kabadilika jambo ambalo,linamfurahisha Pastor na mkewe,kumshangaza Mangoba na kumchukiza Mxo.Hii inampelekea mkuu wa kituo kumshurutisha sergeant Khumalo kwenda kumuomba Nkuzi msamaha na kumshukuru kwa kuzuia uhalifu.
Zweli anakwenda kanisani kuimba wimbo katika harakati Za kumdate mtoto Wa pastor.kila mtu anamsifia.Hii inampa ukaribu na huyo binti wa pastor na inavyoelekea mtoto kaanza kumuelewa Zwele.
Safi sana mkuu
Nkunzi anapika kitu hapo jamaa
 
GC Tabia ya ulevi inampelekea kushindwa kulipa kodi ya ofisi yake.Mwenye nyumba ana mpa notisi na yeye anaipuuza huku akiongea maneno ya hovyo.Hii inampelekea kupelekwa korokoni.Anajaribu kumuhonga askari kwamba angemsaidia kumrudisha mpenzi wake(Nasipho),kama angemuachia huru askari anampuuza.
Kule mahabusu anakutana na wababe ambao wanamwita Beyonce wakimlazimisha acheze muziki huku wakimgombania.
Nasipho anamwambia mama yake Mangoba kwamba ,Nkuzi amkuwa bora Zaidi na asipofanya jitihada atachukuliwa na wanawake wengine.Maneno ya Nasipho yanamuingia Mangoba na anaamua kuyafanyia kazi.Anaamua kwenda Kwa Nkuzi.
Kule anakuta Mamlambo akiwa zero distance akipigiwa story za uongo na kweli na Nkuzi.Mangoba anaamua kuondoka huku akiwachungulia wanavyofurahi pamoja(Nkuzi na Mamlambo).
Baadae Mamlambo anaamua kwenda Kwa Mangoba,na anamkuta amepagawa kabisa mkali kama pilipili,akimtuhumu,kwanini anataka kumchukua Nkuzi wakati akijua Nkuzi ni mpenzi wake?Mamlambo anamwambia Mangoba amewaza vibaya.Ni kwamba Nkuzi anampenda yeye(Mangoba).
Mangoba anaamua kumfuata Nkuzi na kumtakia live kwamba anampenda na anaomba msamaha Kwa kumpuuza pale Nkuzi alipomuhitaji Zaidi(kipindi yupo gerezani)
Zweli anapewa habari kwamba yule binti wa mchungaji akiwa Swaziland alimuibia rand elfu 50,boy friend wake aliyeitwa Terror na kutoroka.Huyu Terror ni jambazi sugu,Kwa hiyo maisha ya Zweli yapo hatarini.Zweli anamwambia binti wa mchungaji atoke kwenye maisha yake.Binti wa mchungaji ana mng'ang'ania ili ampatie ulinzi yeye na familia yake(Familia ya mchungaji)dhidi ya Terror.Huku akisafisha bastola yake,Zweli anakataa lakini anajiandae Kwa lolote linaloweza kumtokea.
 
GC Tabia ya ulevi inampelekea kushindwa kulipa kodi ya ofisi yake.Mwenye nyumba ana mpa notisi na yeye anaipuuza huku akiongea maneno ya hovyo.Hii inampelekea kupelekwa korokoni.Anajaribu kumuhonga askari kwamba angemsaidia kumrudisha mpenzi wake(Nasipho),kama angemuachia huru askari anampuuza.
Kule mahabusu anakutana na wababe ambao wanamwita Beyonce wakimlazimisha acheze muziki huku wakimgombania.
Nasipho anamwambia mama yake Mangoba kwamba ,Nkuzi amkuwa bora Zaidi na asipofanya jitihada atachukuliwa na wanawake wengine.Maneno ya Nasipho yanamuingia Mangoba na anaamua kuyafanyia kazi.Anaamua kwenda Kwa Nkuzi.
Kule anakuta Mamlambo akiwa zero distance akipigiwa story za uongo na kweli na Nkuzi.Mangoba anaamua kuondoka huku akiwachungulia wanavyofurahi pamoja(Nkuzi na Mamlambo).
Baadae Mamlambo anaamua kwenda Kwa Mangoba,na anamkuta amepagawa kabisa mkali kama pilipili,akimtuhumu,kwanini anataka kumchukua Nkuzi wakati akijua Nkuzi ni mpenzi wake?Mamlambo anamwambia Mangoba amewaza vibaya.Ni kwamba Nkuzi anampenda yeye(Mangoba).
Mangoba anaamua kumfuata Nkuzi na kumtakia live kwamba anampenda na anaomba msamaha Kwa kumpuuza pale Nkuzi alipomuhitaji Zaidi(kipindi yupo gerezani)
Zweli anapewa habari kwamba yule binti wa mchungaji akiwa Swaziland alimuibia rand elfu 50,boy friend wake aliyeitwa Terror na kutoroka.Huyu Terror ni jambazi sugu,Kwa hiyo maisha ya Zweli yapo hatarini.Zweli anamwambia binti wa mchungaji atoke kwenye maisha yake.Binti wa mchungaji ana mng'ang'ania ili ampatie ulinzi yeye na familia yake(Familia ya mchungaji)dhidi ya Terror.Huku akisafisha bastola yake,Zweli anakataa lakini anajiandae Kwa lolote linaloweza kumtokea.
Shukran Jackal.... mambo yamekua mambo... Nkunzi sio wa kuaminiwa hata kidogo ni mtu anayeficha mawazo yake sanaa... Mangcobo amekutana nacho....🤣 Lazima roho imuume sana tena kwa shoga yake Mamlambo mmmh...Zweli kaz anayo atakoma kurukia rukia kila pisi anayoiona😁
 
GC Tabia ya ulevi inampelekea kushindwa kulipa kodi ya ofisi yake.Mwenye nyumba ana mpa notisi na yeye anaipuuza huku akiongea maneno ya hovyo.Hii inampelekea kupelekwa korokoni.Anajaribu kumuhonga askari kwamba angemsaidia kumrudisha mpenzi wake(Nasipho),kama angemuachia huru askari anampuuza.
Kule mahabusu anakutana na wababe ambao wanamwita Beyonce wakimlazimisha acheze muziki huku wakimgombania.
Nasipho anamwambia mama yake Mangoba kwamba ,Nkuzi amkuwa bora Zaidi na asipofanya jitihada atachukuliwa na wanawake wengine.Maneno ya Nasipho yanamuingia Mangoba na anaamua kuyafanyia kazi.Anaamua kwenda Kwa Nkuzi.
Kule anakuta Mamlambo akiwa zero distance akipigiwa story za uongo na kweli na Nkuzi.Mangoba anaamua kuondoka huku akiwachungulia wanavyofurahi pamoja(Nkuzi na Mamlambo).
Baadae Mamlambo anaamua kwenda Kwa Mangoba,na anamkuta amepagawa kabisa mkali kama pilipili,akimtuhumu,kwanini anataka kumchukua Nkuzi wakati akijua Nkuzi ni mpenzi wake?Mamlambo anamwambia Mangoba amewaza vibaya.Ni kwamba Nkuzi anampenda yeye(Mangoba).
Mangoba anaamua kumfuata Nkuzi na kumtakia live kwamba anampenda na anaomba msamaha Kwa kumpuuza pale Nkuzi alipomuhitaji Zaidi(kipindi yupo gerezani)
Zweli anapewa habari kwamba yule binti wa mchungaji akiwa Swaziland alimuibia rand elfu 50,boy friend wake aliyeitwa Terror na kutoroka.Huyu Terror ni jambazi sugu,Kwa hiyo maisha ya Zweli yapo hatarini.Zweli anamwambia binti wa mchungaji atoke kwenye maisha yake.Binti wa mchungaji ana mng'ang'ania ili ampatie ulinzi yeye na familia yake(Familia ya mchungaji)dhidi ya Terror.Huku akisafisha bastola yake,Zweli anakataa lakini anajiandae Kwa lolote linaloweza kumtokea.
Mkuu mimi nitarudi tena kuangalia soon ila kupitia ww hapa nafatilia sana
Nkunzi naona wazi kuna bomu anapika .

Zweli nae kayavaa hapo japo muhuni hashindwi kitu.
Hapo kwa gc nimecheka sana yeye si anajifanya jike kakutana na wahuni wenyewe.

Asante sana Jagiya nosi wangu yuko wapi
 
GC kosa lililompeleka mahabusu ni pamoja na kukutwa na bastola wakati akisachiwa kwenye saloon yake,Askari walipokwenda kumuondoa baada ya kutokulipa Kodi.Kule mahabusu mambo yameendelea kuwa magumu kwake.alitolewa kuhojiwa anakataa kwamba hajui chochote kuhusu hiyo bastola.kurudishwa mahabusu mmoja wa wale wababe anampatia GC juice,baada Ya kunywa anambaka.kwa kichapo hicho GC anapiga yowe la kufa mtu.
Penzi Kati ya Nkuzi na Mangcoba limeshika kasi,Mxo pamoja na binti wa Nkuzi hawaafiki..Mangcoba anamwambia Mxo kama haafiki yeye kuwa na Nkuzi ,basi aondoke zake aende kwa mama yake Manzuza.Nkuzi anamwambia binti yake kwamba amerudiana na Mangcoba na anaomba amuelewe.Mangcoba anakwenda kuomba msamaha kwa binti wa Nkuzi.
Binti wa mchungaji anaamua kutoa fedha zote alizozificha na kutoroka mji,anafumwa na baba yake(mchungaji).Anasingizia mama yake ni mgonjwa kwa hiyo anataka kurudi Swaziland.Mchungaji anamkatalia na kumwambia atampigia mama yake.binti pose linamuisha.Baadae anaingia Mxo, binti anamsimulia kwamba alitoroka Swaziland sababu ya manyanyaso ya boyfriend wake(Terror),na hata Sasa huyo terror yupo hapo mjini anamsaka.Mxo anamhakikishia usalama, kwamba hakuna baya lolote litakalo mkuta.
 
He wekeni picha ya mtoto wa pastor labda nitaghairi kwa nosi
Jagiya
images.jpeg
 
Mkuu mimi nitarudi tena kuangalia soon ila kupitia ww hapa nafatilia sana
Nkunzi naona wazi kuna bomu anapika .

Zweli nae kayavaa hapo japo muhuni hashindwi kitu.
Hapo kwa gc nimecheka sana yeye si anajifanya jike kakutana na wahuni wenyewe.

Asante sana Jagiya nosi wangu yuko wapi
itakua bado yupo na ndugu wa nkunzi...
 
GC kosa lililompeleka mahabusu ni pamoja na kukutwa na bastola wakati akisachiwa kwenye saloon yake,Askari walipokwenda kumuondoa baada ya kutokulipa Kodi.Kule mahabusu mambo yameendelea kuwa magumu kwake.alitolewa kuhojiwa anakataa kwamba hajui chochote kuhusu hiyo bastola.kurudishwa mahabusu mmoja wa wale wababe anampatia GC juice,baada Ya kunywa anambaka.kwa kichapo hicho GC anapiga yowe la kufa mtu.
Penzi Kati ya Nkuzi na Mangcoba limeshika kasi,Mxo pamoja na binti wa Nkuzi hawaafiki..Mangcoba anamwambia Mxo kama haafiki yeye kuwa na Nkuzi ,basi aondoke zake aende kwa mama yake Manzuza.Nkuzi anamwambia binti yake kwamba amerudiana na Mangcoba na anaomba amuelewe.Mangcoba anakwenda kuomba msamaha kwa binti wa Nkuzi.
Binti wa mchungaji anaamua kutoa fedha zote alizozificha na kutoroka mji,anafumwa na baba yake(mchungaji).Anasingizia mama yake ni mgonjwa kwa hiyo anataka kurudi Swaziland.Mchungaji anamkatalia na kumwambia atampigia mama yake.binti pose linamuisha.Baadae anaingia Mxo, binti anamsimulia kwamba alitoroka Swaziland sababu ya manyanyaso ya boyfriend wake(Terror),na hata Sasa huyo terror yupo hapo mjini anamsaka.Mxo anamhakikishia usalama, kwamba hakuna baya lolote litakalo mkuta.
Safi sana comrade
Huyu GC kakutana na wababe sasa
Mxo mwamba sana anilindie demu wangu
 
Hatimaye GC anatolewa mahabusu akiwa na mangeu kama yote baada ya DK (Dada jambazi )kujulikana ni mmmiliki haramu wa zile bastola zilizokuwa kwenye saloon ya GC.Baada ya kutoka mahabusu GC anakuta vitu vyake zikiwemo nguo zimetupwa nje na mwenye nyumba na watu wanajiokotea.Anakusanya nguo zake kwenye mfuko na kwenda kwenye saloon iliyokuwa yake na kujaribu kufungua na kukuta vitasa vimebadilishwa.Njiani anakutana na DK akitegemea angepokelewa.Matokeo yake anajikuta akitishiwa bastola na kuambiwa na DK,yeye , GC ndiye aliyesababisha bastola zake ziishie mikononi mwa polisi.Kwa usalama azirudishe bastola AU apotee mazima na asirudi tena.GC anaamua kwenda nyumbani Kwa Smangele na kujutia mambo maovu aliyofanya dhidi ya marafiki zake kipindi yupo karibu na DK.Wakati Smangele akimuonea huruma wengine wanamdhihaki wakimwambia"amevuna alichopanda".
Mtoto wa mchungaji anajaribu kumrudia Zweli na kumkumbusha penzi lao lililodumu kwa muda mfupi na kwamba anaomba waendelee,Zweli/master mind anaendelea kutia ngumu.Anaamua kwenda kanisani kuficha pesa zake alizomuibia Terror toka kule Swaziland.
Penzi la Nkuzi na Mangcoba linazidi kushika kasi.Nkuzi pamoja na binti wanahamia kwa Mangcoba.Mxo anapofika Nyumbani Nkuzi anachukia kiaina lakini mwisho anakubali Nkuzi awe na Mangcoba ila kwa sharti kwamba asijefanya jambo lolote la kijinga aidha kwa Mangcoba AU Nasipho.Akifanya jambo lolote baya yeye,Mxo,hatamsamehe.Nkuzi anakwenda kwa mchungaji na mke wake kuelezea hatua walizochukua za kufunga ndoa.Anapata Baraka zote toka Kwa mchungaji na mkewe na anaahidiwa kwamba watahudhuria kwenye hizo sherehe.
 
Hatimaye GC anatolewa mahabusu akiwa na mangeu kama yote baada ya DK (Dada jambazi )kujulikana ni mmmiliki haramu wa zile bastola zilizokuwa kwenye saloon ya GC.Baada ya kutoka mahabusu GC anakuta vitu vyake zikiwemo nguo zimetupwa nje na mwenye nyumba na watu wanajiokotea.Anakusanya nguo zake kwenye mfuko na kwenda kwenye saloon iliyokuwa yake na kujaribu kufungua na kukuta vitasa vimebadilishwa.Njiani anakutana na DK akitegemea angepokelewa.Matokeo yake anajikuta akitishiwa bastola na kuambiwa na DK,yeye , GC ndiye aliyesababisha bastola zake ziishie mikononi mwa polisi.Kwa usalama azirudishe bastola AU apotee mazima na asirudi tena.GC anaamua kwenda nyumbani Kwa Smangele na kujutia mambo maovu aliyofanya dhidi ya marafiki zake kipindi yupo karibu na DK.Wakati Smangele akimuonea huruma wengine wanamdhihaki wakimwambia"amevuna alichopanda".
Mtoto wa mchungaji anajaribu kumrudia Zweli na kumkumbusha penzi lao lililodumu kwa muda mfupi na kwamba anaomba waendelee,Zweli/master mind anaendelea kutia ngumu.Anaamua kwenda kanisani kuficha pesa zake alizomuibia Terror toka kule Swaziland.
Penzi la Nkuzi na Mangcoba linazidi kushika kasi.Nkuzi pamoja na binti wanahamia kwa Mangcoba.Mxo anapofika Nyumbani Nkuzi anachukia kiaina lakini mwisho anakubali Nkuzi awe na Mangcoba ila kwa sharti kwamba asijefanya jambo lolote la kijinga aidha kwa Mangcoba AU Nasipho.Akifanya jambo lolote baya yeye,Mxo,hatamsamehe.Nkuzi anakwenda kwa mchungaji na mke wake kuelezea hatua walizochukua za kufunga ndoa.Anapata Baraka zote toka Kwa mchungaji na mkewe na anaahidiwa kwamba watahudhuria kwenye hizo sherehe.
Shukran mkuu. Nimefatilia vipengele vyote hapa 🙏🏾🙏🏾 👊👊
 
Hatimaye GC anatolewa mahabusu akiwa na mangeu kama yote baada ya DK (Dada jambazi )kujulikana ni mmmiliki haramu wa zile bastola zilizokuwa kwenye saloon ya GC.Baada ya kutoka mahabusu GC anakuta vitu vyake zikiwemo nguo zimetupwa nje na mwenye nyumba na watu wanajiokotea.Anakusanya nguo zake kwenye mfuko na kwenda kwenye saloon iliyokuwa yake na kujaribu kufungua na kukuta vitasa vimebadilishwa.Njiani anakutana na DK akitegemea angepokelewa.Matokeo yake anajikuta akitishiwa bastola na kuambiwa na DK,yeye , GC ndiye aliyesababisha bastola zake ziishie mikononi mwa polisi.Kwa usalama azirudishe bastola AU apotee mazima na asirudi tena.GC anaamua kwenda nyumbani Kwa Smangele na kujutia mambo maovu aliyofanya dhidi ya marafiki zake kipindi yupo karibu na DK.Wakati Smangele akimuonea huruma wengine wanamdhihaki wakimwambia"amevuna alichopanda".
Mtoto wa mchungaji anajaribu kumrudia Zweli na kumkumbusha penzi lao lililodumu kwa muda mfupi na kwamba anaomba waendelee,Zweli/master mind anaendelea kutia ngumu.Anaamua kwenda kanisani kuficha pesa zake alizomuibia Terror toka kule Swaziland.
Penzi la Nkuzi na Mangcoba linazidi kushika kasi.Nkuzi pamoja na binti wanahamia kwa Mangcoba.Mxo anapofika Nyumbani Nkuzi anachukia kiaina lakini mwisho anakubali Nkuzi awe na Mangcoba ila kwa sharti kwamba asijefanya jambo lolote la kijinga aidha kwa Mangcoba AU Nasipho.Akifanya jambo lolote baya yeye,Mxo,hatamsamehe.Nkuzi anakwenda kwa mchungaji na mke wake kuelezea hatua walizochukua za kufunga ndoa.Anapata Baraka zote toka Kwa mchungaji na mkewe na anaahidiwa kwamba watahudhuria kwenye hizo sherehe.
Ninafurahi kinachompata GC
Safi mkuu
Zweli mbna ananiingilia demu wangu?
 
Tabia ya GC imebadilika baada ya kutoka Jela,amekuwa mwizi na tapeli.Alimuibia Zweli,mastermind wallet na kuenda kuweka heshima bar.Alinywesha watu bia na kufanya vibe la kufa mtu na kuwamwagia watu pesa.Alifumwa bar na DK na habari kufikishwa kwa Master mind,alifukuzwa usiku ,utetezi wa Smangele haukufua dafu.
Thobile ndiye mmiliki mpya wa Saloon iliyokuwa ya GC.Baada ya kufukuzwa nyumbani kwa kina Zweli/Sma, GC alikwenda kujihifadhi maeneo ya Kanisa.Asubuhi wakati anajisafisha washroom walikutana na Mamlambo.GC alidanganya yupo maeneo ya choo cha kanisa akifanya maombi.Mamlambo alimwambia amalizane na maombi yake, yeye,Mamlambo yupo nje anamsubiri ana maongezi naye.Mamlambo alitaka kujua kilichompeleka lockup ni kisa gani, GC akaishia kumdanganya.Mwisho wa siku Mamlambo aliishia kutapeliwa na GC.
Terror yupo mjini akijitaja kama ni binamu wa Mumsy(mtoto wa mchungaji)toka Swaziland ,huku akimtafuta.Anakutana na Smangele na anaelekezwa nyumbani kwa mchungaji, sehemu ambayo anaishi Mumsy.Anafika mahali hapo na kumkuta Manzunza(mke wa mchungaji),Baada ya kuulizia kama hapo anaishi binamu yake,Terror anakaribishwa na Manzunza.Mumsy bila kujua anatoka chumbani na kumkuta Terror sitting room,anajikuta ana dondosha chombo alichoshika na kuvunjika.Terror anamchangamkia Mumsy akimwita binamu,Manzunza bila kujua mchezo unaoendelea, anakwenda kuchukua vifaa vya usafi kuondoa chombo kilichovunjika.Huku nyuma Terror anamchimba biti Mumsy kwamba amekuja kuchukua roho yake kumpeleka kuzimu,huku anamwambia ataua familia moja baada ya mwingine mbele yake.Anaulizi wapi pesa zake zilipo.Mummsy anajaribu kuBuy time akimwambia aje kesho,atakuta mzigo.Terror anagoma akidai anataka kumchoma kwa polisi.Manzunza anaporudi anakuwa haelewi chochote kinachoendelea kati ya wawili Hao.Baadae mchungaji anajumuika nao akitoka kwenye mizunguko yake bila na yeye kuelewa kinachojiri.Nyumbani kwa Zweli,Sma anamwambia Zweli amekutana na binamu wa Mumsy, Zweli anashtuka kwamba Mumsy yupo hatarini.
Mangcoba akiwa katika kilele cha furaha ya kuchumbiwa na Nkuzi,anatumiwa ujumbe wa ajabu ambayo haueleweki.Hamjui mtumaji,hii inapelekea kupoteza furaha kabisa,Nkuzi anajaribu kumuuliza lakini anamficha.Baadae anamwita Mxo ajaribu kumshauri kuhusu hilo jambo lakini anakuwa hajapata jibu na kumjua mtumaji wa hizo jumbe.
 
Back
Top Bottom