1. Kwanni utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini
2. Uzi wa kupeana likes
3. Uzi wa vyakula: Mwanzisha uzi alipost mkate una panya ndani yake. Hiyo picha ilinifanya niuchukie uzi mzima.
[emoji28][emoji28][emoji28] uko kama Mimi tu hizo ndio thread's zisizozielewa haswaUzi wa kula tunda kimasihara.
Uzi wa jamiiforum usiku wa manane.
Uzi wa kupeana likes sijui na comments.
Uzi wa kutupia picha yeyote ya mdada mrembo.
Inshort nyuzi nyingi tu ambazo ziko on trending sijawahi zielewa [emoji16]
[emoji28] halafu kibaya zaidi kila niki-login, threads ninazokutana nazo on trending lazima ziwepo tatu au nne tajwa hapo juu daah [emoji16][emoji28][emoji28][emoji28] uko kama Mimi tu hizo ndio thread's zisizozielewa haswa
Moja ya uzi ambao nakutana nao kila mdaUzi wa dar vs nairobi, kahama vs njombe. Miaka yote naziona zipo ontrendng ila sijawahi kuzifungua
Mshana Jr kuna uzi unahusu vituko vya pombe, huo uzi ulinifanya nicheke kiasi cha kuishiwa nguvuπππwa vyakula: Mwanzisha uzi alipost mkate una panya ndani yake. Hiyo picha ilinifanya niuchukie uzi mzima.
wa walevi by jr.mshana
Nilijua tu sitasalimika hapa[emoji23]
Hunaga mambo mengi bintiπ
Ndio maana niliomba JF wawe na option ya mtu ku block mada asizozitaka maana sikuhizi mada za kijinga Kwa vile Zina commentiwa sana ndio zinakuwa Zina trend sana na unakuta hazina jambo la maana la ku feed ubongo. Wangeboresha app au website vile mtu anacho comments zaidi ndio awe analetewa vitu design hyo ka walivofanya Instagram page unazopenda ku visit unaletewa vitu vya aina hyo hyo.[emoji28] halafu kibaya zaidi kila niki-login, threads ninazokutana nazo on trending lazima ziwepo tatu au nne tajwa hapo juu daah [emoji16]
ππππ Hii Uzi sijawahi kuuelewa Mara kwa Mara nauona juu"Hatima ya maisha yangu iko mikononi mwa kijana wa Buguruni" π€ Huu uzi una trend kweli! Ila sijawahi kuulewa unahusu kitu gani hasa.
Kuna siku nilijaribu kuufungua, nikakuta watu wanatukanana! Nikabakia tu mdomo wazi.
Huo Uzi no mtamu Sana, sema haujausoma tuUzi wa fedha za rafiki yangu zilivyofanya nimuamini shetani..
[emoji38][emoji38][emoji38]wa vyakula: Mwanzisha uzi alipost mkate una panya ndani yake. Hiyo picha ilinifanya niuchukie uzi mzima.
wa walevi by jr.mshana
Nilijua tu sitasalimika hapa[emoji23]