Uzi gani wa JF ulikuvutia na unatamani kila mtu apate nafasi ya kuusoma

Kifo cha Abu Ubaydan Al Banshiri katika MV Bukoba


Michelangelo; Genius aliemchallenge vikali Leonardo Da Vinci kwenye kazi za Sanaa

Mjue Mungu wa Freemasonry

Hivi Mungu aliwaza nini mpaka akaamua kututupia Ibilisi duniani!

Huyu ndiye FIRAUNI/FARAO na maajabu ya maiti yake kutokuoza
Geranimo E.K.I.A: Kutoka Makao Makuu ya CIA Langley, Oparesheni Ya Kukamatwa Osama Bin Laden

Ukumbi wa Papa: Ndiyo Utambulisho wa yule Nyoka wa Eden?

Utofauti kati ya kumbukumbu zinazohifadhiwa kwenye ubongo(Brain) na kumbukumbu zinazohifadhiwa na akili (Mind)

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Nyuzi ni nyingi sana atuweze kuweka zote kuna ile Dark days kuna uzi upo pia kwanin moyo upo upande wa kushuto na sio kulia ni uzi mfupi sana ila mle Ndani kuna watu wamejibu Nondo kweli
 
Kama hutojali share huo wa UTT mkuu
 
Katika nyuzi zilizo weka hapa na wadau huu wako ndio ninao ujua kwa 1000% hata ukiniamusha kitandani.Taasisi nyingi hapo uliyoandika it either alikuwa bado junior kwenye Utumishi wa umma ama alikuwa anafanya nadharia.
 
Daahh bonge moja la knowledge umetupa hapa nipo kijijin kwa miez miwili sasa ila sikufikilia kwa undani km hv wacha nijiongeze..
 
Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Huu hapa nao unanikoshaga sanaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…