Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Sayansi haisemi Mungu yupo.wewe mwenyewe umetoka kusema kwamba sayansi ikishindwa ku prove kitu saivi sio kwamba hakipo, inawezekawa ikafanikiwa kuprove baadae,
kwa mantiki hiyo, uta conclude vipi Mungu hayupo kwasababu Sayansi imeshindwa ku prove Yupo ?
nimetoka kumjibu hilo swali InfropreneurUkiuchukua mfano huu, ukasema kwamba kilicho complex hakiwezi kuwapo bila kuumbwa, kimantiki, unaweza kukubali kuwa nyumba haiwezi kuwepo bila kujengwa na mtu.
Na unaweza hata kukubali kuwa mtu hawezi kuwepo bila kuumbwa na Mungu.
Na mantiki hiyo hiyo itakutaka ukubali kwamba Mungu hawezi kuwapo bila kuumbwa na yeye, na aliyemuumba naye kaumbwa, hivyo hivyo, bila mwisho.
Katika ulimwengu huo, hakuna Mungu.
Umeitoa hoja yako kama uthibitisho kuwa Mungu ni lazima awepo.
Lakini, ukiiangalia kwa undani hiyo hoja, kiukweli inaonesha Mungu hayupo na hawezi kuwepo.
Complexity ni lazima iumbwe na complexity nyingine kubwa zaidi, au inaweza kutokea tu kutoka simpler complexity?nimetoka kumjibu hilo swali Infropreneur
nimemuelezea keanini hiyo cycle inajirudia, nikamwambia kama hajaelewa asome kwa hatua
Unathibitishaje kwamba akili ya binadamu ina limit?
Mungu ni nini?
Morality has nothing to do with religion.Ukipinga uwepo wa Mungu au shetani inabidi usiamini katika dhana ya ubaya wa jambo lolote au uzuri wa jambo lolote kwa sababu kama uwepo wa Mungu na shetani ni myth basi kudhani jambo fulani ni baya au zuri ni myth, kudhani kwamba ukiua mtu ni jambo baya hiyo ni upotofu maana sababu inayotufanya tusiuane na kama nikileta sababu zangu za kuua inabidi zikubaliwe na ukipinga hizo ni shida zako sio zangu kwa kuwa siamini kama kuua ni jambo baya regardless sababu au bila sababu
tuna relay kwenye namna moja ya ufikiri, ambapo labda ndo uwezo wa akili yetu unapoishiaComplexity ni lazima iumbwe na complexity nyingine kubwa zaidi, au inaweza kutokea tu kutoka simpler complexity?
Ulimuona wapi huyo Mungu akiumba mbingu na ardhi?Mungu ni muumba wa mbingu na ardhi na vyote vilivyomo.
Sayansi haisemi Mungu yupo.
Ninyi watu wa dini na imani ndio mnasema Mungu yupo.
Sasa unataka sayansi ije iprove kitu ambacho haijakisema?
Yani kitu useme wewe halafu uthibitisho utake mimi nikupe?
Hivi ina make sense kweli?
Umeandika mengi lakini hujajibu swali nililokuuliza.tuna relay kwenye namna moja ya ufikiri, ambapo labda ndo uwezo wa akili yetu unapoishia
nikatoa mfano kuna vitu common ambavyo wewe unaweza ukafikiri na ukavipatia majibu kwa haraka tuu
ila ukimpa labda nyani hawezi kufikia majibu hata umuue kwasababu namna yake ya ufikiri inaishia sehemu flani
kwaiyo atakua anatafuta kulitatua hilo jambo kwenye levey yake ya akili ndo maana anashindwa
na sisi binadamu ndo hivyo tuna jaribu kutatua, ila tunafanikiwa kwa yale yaliyopo ndani ya hiyo level
Ulimuona wapi huyo Mungu akiumba mbingu na ardhi?
Au unafosi imani zako uchwara zisizo na uthibitisho wowote ule?
Kwa sababu Mungu huyo hajawahi kuwepo na hayupo kwa namna yoyote ile ya kuthibitishika yupo.Umejuaje kama Mungu hayupo ?
Hiyo misingi ya Dini ime asisiwa na nani?Kwanza Sayansi haipo katika kutoa FACTS hili kwanza weka akilini. Sababu msingi wake au misingi yake (Scientific Method) imeasisiwa na mwanadamu, kwahiyo ina mapungufu mengi.
Wanasayansi wengi kukiri uwepo wa Mungu, Si uthibitisho wa uwepo wa Mungu bali ni imani zao tu zisizo na uthibitisho wowote ule.Pili, Wanasayansi wengi wanakiri uwepo wa Mungu, ukiona wewe unapinga uwepo wa mungu, ujue hufikirii mambo kwa undani.
Sasa kama akili ya binadamu ina limit utajuaje hicho unachokisema kipo, ni kweli kipo na sio kwamba hakipo na umeshindwa kujua hakipo kwasababu akili yako ina limit?siwezi, na hakuna utafiti unaoweza kuthibitisha mpaka sasa,
ndo maana nilikwambia akili ya binadamu ina limit,
nawe maswali yako yanaishia ndani ya hiyo limit,
unataka wathibitishe kwa kutumia njia za utafiti ?
hizihizi ambazo bado kuna mambo common kabisa na hayana majibu ya kisayansi ?
ndo unataka zitumike kuthibitisha uwepo wa Mungu ?
hizihizi njia ambazo zinaonekana saivi advanced za kufanya utafiti na ugundizi mbali mbali, baada ya muda zitaonekana inefficient kaabisa na zimepitwa na muda, watakapokua na namna nyingine bora zaidi
conclusion: bado kuna mambo mengi hayahesabiki, ambayo hatujayajua, mengine labda tutajua siku za karibuni, mengine labda itachukua maelfu ya miaka
kwahiyo huwezi kutumia common sense na njia za kisayansi kuthibitisha kwamba Mungu hayupo,
hizi njia na tafiti za kisayansi unazoziona advanced sana leo hii ni bado kabisa yaani, zinaonekana advaced kwakua ndo uwezo wa juu zaidi tuliofikia kiakili, ila bado sana sasa.. hata baada ya ma elfu ya miaka bado kuna vitu vitaendelea kujulikana na haviishi ili uone ni jinsi gani akili ya binadamu inaishia, "ni kama unatumia kijiko kuhamisha maji kutoka baharini"
wewe ukichota kijiko kimoja ukakioeleka sehemu nyingine unaona kuna maji umeyahamisha lakini je bahari utaimaliza lini ?
soma bandiko vizuri maana unarudia maswali hayohayo
Kwanini mwisho wa fikra zako kuwe ndio chanzo kingine ambacho hujakithibitisha?Uko sahihi. Hata mimi wakati fulani nimehoji kupitia uzi. Kwa binadamu nini kinafuata baada ya ufahamu? Tumeishia kwenye consciousness. Hiyo next level ndio uungu
Kwa sababu Mungu huyo hajawahi kuwepo na hayupo kwa namna yoyote ile ya kuthibitishika yupo.
Hiyo misingi ya Dini ime asisiwa na nani?
Wanasayansi wengi kukiri uwepo wa Mungu, Si uthibitisho wa uwepo wa Mungu bali ni imani zao tu zisizo na uthibitisho wowote ule.
Unazijua nomino dhahania?Una hoja za kitoto sana. Wewe babu yako wa sita ulimuona wapi ? Au akili unakiri unayo ? Umewahi kuiona au njaa umewahi kuiona ?
Thibitisha njaa unayo kwa kuishika au kuionyesha.Bali uwepo wa hivyo niivyo vitaja vina ishara zake anuai kwazo vinathibitisha uwepo wake.
Twende kwa hoja za kiakili, maana huwa unadai ninatumia Qur'an tu na sina hoja zaidi ya hizo. Sasa leo nataka nipite mapito unayopita uone kama hutakimbia huu uzi.
Tuendelee ....
Acha kuanza hoja mfuKwanini mwisho wa fikra zako kuwe ndio chanzo kingine ambacho hujakithibitisha?