Uzi maalum kwa wale wanaopinga uwepo wa Mungu

Uzi maalum kwa wale wanaopinga uwepo wa Mungu

Mwambie huyo Allah aje hapa ajidhihirishe mwenyewe na kujiongelea mwenyewe..

Mbona mnahangaika sana kumwelezea na kumuongelea huyo Mungu..😄

Huoni kwamba mnajitahidi kumwongelea Allah Mdhaifu ambaye hayupo kujiongelea mwenyewe????

Jibu maswali niliyo kuuliza kwanza.

Kisha tuje kuhitimisha katika hilo.
 
Jibu rahisi hapo ni kwamba, mtu yeyote atayeleta madai anakuwa na jukumu la kuthibitisha burden of proof

Lakini hii imekuwa trend naiona sana inafanywa kimazoea na Theists halafu wanatugeuzia sisi kibao tuthibitishe kuwa hayupo.

Kwa kukujuza tu ni kwamba jukumu la kuthibitisha lipo kwa yule aliyekuja na madaia ambayo yana contradict default position.

Ikiwa kama hakuna uthibitisho wa jambo kuwepo, basi default position hapo ni hicho kitu hakipo.

Kama kuna mtu akaja na madai kuwa kuwa hicho kitu kipo basi burden of proof inakuwa upande wake kuthibitisha ushahidi uliokosekana.

Kwa mfano hakuna ushahidi kuwa Kwenye Flyover ya Mfugale kuna Dragon mwekundu anayeonekana majira ya saa 8 usiku.

Katika default position ni kwamba hakuna Dragon mwekundu kwenye Flyover ya Mfugale na hao wanaodai kuwa yupo Dragon basi wanahujumu la kuthibitisha.

Sasa nyinyi mnaodai Mungu yupo, katika mazingira ambayo default position inapinga madaia yenu, mnao wajibu wa kuthibitisha kwa kutoa ushahidi ni kivipi huyo Mungu yupo
Default position inaonyesha yupo, Dunia na kila kitu mawe na milima, Balance of nature

nani ana control ? thibitisha kia hakuna anae control, kwamba vipo tuu thibitisha inakuajekuaje kwamba vipo tuu
 
Default position inaonyesha yupo, Dunia na kila kitu mawe na milima, Balance of nature

nani ana control ? thibitisha kia hakuna anae control, kwamba vipo tuu thibitisha inakuajekuaje kwamba vipo tuu
Kwa nini unauliza "nani" ana control?

Unajuaje jibu sahihi lipo kwenye "nani"?

Huoni kuwa swali lako lenyewe lina kasumba, umejiwekea swali linalolenga jibu inalolitaka wewe?
 
Kwa nini unauliza "nani" ana control?

Unajuaje jibu sahihi lipo kwenye "nani"?

Huoni kuwa swali lako lenyewe lina kasumba, umejiwekea swali linalolenga jibu inalolitaka wewe?
sawa tulifanye liwe open, kuna mechanisim gani nyuma yake ?
 
sawa tulifanye liwe open, kuna mechanisim gani nyuma yake ?
Kwanza unaposema nature ina balance una maana gani?

Balance unaipimaje?

Umepima nature tangu ulimwwngu uanze mpaka leo ukaona ina balance?

Kuna kimbunga kimepiga West Indies huko wiki hii, kimeua watu na kuharibu mali Granada mpaka Jamaica mpaka Mexico.

Hapo balance ya nature iko wapi? Mbona kimbunga cha Beryl kimeua watu na kuharibu mali, balance iko wapi?

Everything decays with time, the universe tends to instability, from order to disorder, this is the second law of tgermodynamics that causws time to be preceived.

Balance iko wapi hapo?
 
Mkuu umeelezea vizuri Sanaa, Ila ngoja ni-quote quran kdog ku-summary maelezo yako.

"66.Na mwanadamu husema: je nitakapo kufa ,Ni kweli nitafufuliwa niwe hai tena?

67.Je hakumbuki mwanadamu ya kwamba tulimuumba hapo kabla na Hali hakuwa chochote?

68.Basi naapa na mola wako mlezi! Kwa yakini tutawakusanya wao pamoja na mashe'twani Kisha tutawahudhurisha kuizunguka jahannam Hali ya kuwa wamepiga magoti mpaka aliposema Allah عز وجل .
77.Je? umemwona Yule aliyezikufuru(pinga) ishara zetu na akasema:kwa Hakika Mimi nitapewa Mali na wana!.

78.KWANI YEYE AMEPATA KHABARI Za GHAIBU(MAMBO YALIYO JIFICHA KWA MACHO/MASKIO ),AU AMECHUKUA AHADI KWA ARRAHMANI MWINGI WA REHEMA?" Quran(98:66-78).
Acha kuweka mataka taka ya Quran... Hizo 66 ni kitabu gani? maana quote kama hiyo aliyeongea anamuuliza nani?
67 Je hukumbuki mwanadamu tulimuumba? wakina nani hao walimuumba mwanadamu na walikuwa wangapi?kama umequte Quran bila kuelezea Aya ipi hapo tushaelewa Allah hayupo peke yake ana wenzake..

68 Basi naapa kwa Mola wako Mlezi? Quran mnasema 100% ni Allah anayeongea so Allah anaapa kwa Mungu mlezi wa Mohamad au? Wakina Allah watawakusanya Masheitan kuwapigisha magoti kuizunguka Jehanam hadi aliposema Allah hahahahaha.. Quran ni book of jokes hebu naona kufahamu hiyo sura nicheke zaidi.

77 anathibitisha wingi wa kina alaah

Umeandika Quran 99:66-78 Aya 98 Al-Bayyinah ina sura nane tu wewe hizo namba umetoa wapi?

Muslim mko kweye mashindano ya uongo kumpita Allah kwa Uongo best of Deciver?
 
1. Mpaka sasa hakuna aliyethibitisha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote yupo.

2. Mpaka sasa hakuna mtu aliye tatua the problem of evil.

3. Yote 1 na 2 hayo ni kwa sababu Mungu huyo mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

4. Ukibishia 3 hapo juu, thibitisha Mungu huyo yupo, kisha tatua the problem of evil.

5. Ukishindwa 4, tumuondoe huyu Mungu kwenye mazungumzo by elimination method tuendeleze mazungumzo mengine.
 
Kwa sababu mimi sidai kwamba Mungu yupo.

Mnaodai Mungu yupo ni ninyi na inabidi mthibitishe madai yenu.

Sayansi haisemi Mungu yupo.

Sayansi ina kanusha madai yenu ninyi mnaosema Mungu yupo halafu hamna uthibitisho.

Sayansi inasema Mungu hayupo kwa vile hakuna uthibitisho wowote ule wa uwepo wa Mungu huyo.

Hivyo ukiweza kuthibitisha Mungu yupo utai prove wrong sayansi kwa kusema Mungu hayupo.

Na sayansi ita conclude Mungu yupo kutokana na uthibitisho wako.

Lakini cha ajabu ni kwamba mpaka sasa mmeshindwa kuithibitishia sayansi kwamba Mungu yupo.

Ila mnafosi imani zenu uchwara ziwe ukweli bila kuleta uthibitisho.
Mbona unajichanganya sana.
 
Jibu maswali niliyo kuuliza kwanza.

Kisha tuje kuhitimisha katika hilo.
Nakwambia hivi, Mwambie huyo Mungu wako aje hapa mwenyewe kujizungumzia yeye kama yeye.

Unahangaika sana kumuongelea huyo Mungu kwa vile hajawahi kuwepo na hayupo kujiongelea mwenyewe.
 
Mimi naamini sayansi na sio Mungu, sayansi inafanya tafiti na inatupatia majibu.. lakini dini tangu zianzishwe zenyewe zimebobea kwenye kutoa sababu, kiongozi wa dini atakwambia, "Hatukucheza vizuri mziki wa mvua kama Mungu anavyotaka, Ili atupatie mvua, ndo maana mvua haijanyesha". Badala ya kukubali tu kuwa huyo Mungu hayupo, na Biblia na Quran ni vitabu vilivyotungwa na wanadamu, wenye imagination tu, lakini sio vya kweli.
 
Na kingine, Hata wanaoamini uwepo wa Mungu, wanaamin mafundisho ya dini nyingine ni ya uongo, mchukue mkristo kwa mfano, anaamin kabisa kwamba uislam sio dini ya ukweli, na mafundisho yake ni hadithi tu za kutungwa, kwa muislam pia anaona, dini ya kihindu ni uongo mtupu. Ko sio Atheists tu wanadhani kuwa dini ni hadithi tu za kutungwa, hata wanaoamini wanajua dini ni hadithi tu za kutungwa.
 
Kwa hivo kiuhalisia hakuna Mungu uko juu Wala popote pale, Wala hayuko na yesu uko, na Wala hakuna mbiguni, Wala kuzimu.. Hizi ni hadithi tu zilizotungwa zisizo na ukweli wowote.
 
Kwanza unaposema nature ina balance una maana gani?

Balance unaipimaje?

Umepima nature tangu ulimwwngu uanze mpaka leo ukaona ina balance?

Kuna kimbunga kimepiga West Indies huko wiki hii, kimeua watu na kuharibu mali Granada mpaka Jamaica mpaka Mexico.

Hapo balance ya nature iko wapi? Mbona kimbunga cha Beryl kimeua watu na kuharibu mali, balance iko wapi?

Everything decays with time, the universe tends to instability, from order to disorder, this is the second law of tgermodynamics that causws time to be preceived.

Balance iko wapi hapo?
tuanze kwanza kwenye existance ya dunia na kilakitu, ?

maana wewe umehamia tu kwenye kubalance nature na hiyo instability unayoongelea,

unaongelea hicho kimbunga kwasababu unakiona haki make sense na hakiendani na ulicho espect

usiongelee tuu kimbunga kwamba kina leta threat kwa binadamu, nature ina fanya mambo mengi yenyewe kabisa ambayo hayasababishwi na mtu,

mfano wildfire moto unaanza msituni bila kuwashwa na binadamu, kwa kusababishwa tu na natural causes, na ule moto una faida nyingi tu katika balance of nature na kuavoid instability,

kwa zaidi ya ma milioni ya miaka, dunia imeendelea kuwa sehemu salama inayo support uhai, mbali na kwamba njia nyingine zinazotumiwa na nature zinaonekana hatari na hazi make sense,

tangu dunia ianze kiasi cha maji kimeendelea kua relatively the same

pollunation inaendelea kwa ma million ya miaka, na mimea mingine inahitaji isaidiwe na wadudu kufanya pollination, na wadudu hawaachi na mimea inazidi kuexist,

mambo ni mengi yanaendelea na kuna mechanism nyingi kuhakikisha kilakitu kina enda sawa kwa ma milioni ya miaka

nini kipo nyuma ya mechanism zote hizi ?
 
1. Mpaka sasa hakuna aliyethibitisha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote yupo.

2. Mpaka sasa hakuna mtu aliye tatua the problem of evil.

3. Yote 1 na 2 hayo ni kwa sababu Mungu huyo mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

4. Ukibishia 3 hapo juu, thibitisha Mungu huyo yupo, kisha tatua the problem of evil.

5. Ukishindwa 4, tumuondoe huyu Mungu kwenye mazungumzo by elimination method tuendeleze mazungumzo mengine.
1. factor zote zinazo tajwa kuthibitisha uwepo wa Mungu haujaweza kuzi prove wrong kisayansi ili kuonyesha kweli hayupo,

2. una maana gani kusema problem of evil ?

4. Factor zote ambazo zinaonyesha Mungu yupo na ambazo mechanisim zake hazielezeki ki sayansi kuna ifanya sayansi kua weak kwenye kufikia jibu lolote, Je wewe ulifikiaje jibu kua Hayupo ?

5. Thibitisha kua Hayupo
 
1. Mpaka sasa hakuna aliyethibitisha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote yupo.

2. Mpaka sasa hakuna mtu aliye tatua the problem of evil.

3. Yote 1 na 2 hayo ni kwa sababu Mungu huyo mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

4. Ukibishia 3 hapo juu, thibitisha Mungu huyo yupo, kisha tatua the problem of evil.

5. Ukishindwa 4, tumuondoe huyu Mungu kwenye mazungumzo by elimination method tuendeleze mazungumzo mengine.
1. factor zote zinazo tajwa kuthibitisha uwepo wa Mungu haujaweza kuzi prove wrong kisayansi ili kuonyesha kweli hayupo,

2. una maana gani kusema problem of evil ?

4. Factor zote ambazo zinaonyesha Mungu yupo na ambazo mechanisim zake hazielezeki ki sayansi kuna ifanya sayansi kua weak kwenye kufikia jibu lolote, Je wewe ulifikiaje jibu kua Hayupo ?

5. Thibitisha kua Hayu
 
Sasa kama huna definition Utahakikishaje Mungu huyo yupo?

Huoni kwamba unafosi mawazo na mafikirio yako tu yasiyo na uthibitisho wowote ule wala uhalisia?
To the beginning of 20 century, hakuna aliyejuwa definition ya molecules ila haimaanishi kama hazikuwepo. Kabla ya karne ya 19 Hakuna aliyejuwa kuhusiana na electrons ila haimaanishi kama hazikuwepo,
Simply put, huezi kusema kitu hakipo eti tu hujuwi maana yake. Mungu alipoumba binadam alitupa Intelligence na free will, Ni jukumu lako kumtafuta sio kukaa tu kuwaza hayupo
 
tuanze kwanza kwenye existance ya dunia na kilakitu, ?

maana wewe umehamia tu kwenye kubalance nature na hiyo instability unayoongelea,

unaongelea hicho kimbunga kwasababu unakiona haki make sense na hakiendani na ulicho espect

usiongelee tuu kimbunga kwamba kina leta threat kwa binadamu, nature ina fanya mambo mengi yenyewe kabisa ambayo hayasababishwi na mtu,

mfano wildfire moto unaanza msituni bila kuwashwa na binadamu, kwa kusababishwa tu na natural causes, na ule moto una faida nyingi tu katika balance of nature na kuavoid instability,

kwa zaidi ya ma milioni ya miaka, dunia imeendelea kuwa sehemu salama inayo support uhai, mbali na kwamba njia nyingine zinazotumiwa na nature zinaonekana hatari na hazi make sense,

tangu dunia ianze kiasi cha maji kimeendelea kua relatively the same

pollunation inaendelea kwa ma million ya miaka, na mimea mingine inahitaji isaidiwe na wadudu kufanya pollination, na wadudu hawaachi na mimea inazidi kuexist,

mambo ni mengi yanaendelea na kuna mechanism nyingi kuhakikisha kilakitu kina enda sawa kwa ma milioni ya miaka

nini kipo nyuma ya mechanism zote hizi ?
Ukishaandika "existance" naona najibizana na mtu illiterate.

Yani kabla sijasoma mada yako nakuona ngumbaru hujui kuandika.
 
Back
Top Bottom