"Atheists wana mtindio wa ubongo" 📌
kwaiyo kila mmoja anakuja na wishes zake personal kwamba Mungu angekwepo lazima angefanya hivi na hivi...
....kwasababu hajafanya kitu flani kwaiyo inamaanishs hayupo.
hii inaonyesha ni jinsi gani mnajifungia kwenye system flani ya mawazo na espectation,
mnataka ku prove hoja zenu humohumo mlipojifungia,
kitu kinachoonyesha dhahiri ukosefu wenu wa maarifa na ufikiri wenu finyu,
the Universe has infinity number of ways to aproach things, to think, to find solutions, answers etc
we've identified one and we want to use it to do everything with it.