Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naam
Warlocks wamenitembelea sana na kunifungulia Milango na kutembea ndani ya Nyumba na kupanda juu ya Dari mara kadhaa.je ushawah kumuona mchawi, hapana hujawah kumuona
Jibu swali, ushawah kuwaona, au ni uoga wako tu.. ko waje kwako, kwann wasije na kwangu na mm niwaone?Warlocks wamenitembelea sana na kunifungulia Milango na kutembea ndani ya Nyumba na kupanda juu ya Dari mara kadhaa.
Fanya research ukue kiakili.
Nimekua kiakili, ndo maana siamini nonsenseWarlocks wamenitembelea sana na kunifungulia Milango na kutembea ndani ya Nyumba na kupanda juu ya Dari mara kadhaa.
Fanya research ukue kiakili.
Afu ao walozi hta serikali Yako haiamini kama wapo, kwa sababu uwezi kuthibitisha uchawi ni nadharia tu, Sasa serikali na intelligensia yote wanasema uchawi haupo, we unatoa wapi ujuzi wa kusema uchawi upo?Warlocks wamenitembelea sana na kunifungulia Milango na kutembea ndani ya Nyumba na kupanda juu ya Dari mara kadhaa.
Fanya research ukue kiakili.
Huwezi kumuona Mwanga kwasababu anatumia mbinu ya out of body projection anakuja katika form ya spirit ila utasikia kukuru kakara zake.Nimekua kiakili, ndo maana siamini nonsense
Kijana nitake Radhi tafadhali hapa tunafundishana sio kutuhumiana.Nyie ndo mnaoua maalbino kwa nadharia izi
Naomba radhi mkuu, nimefuta kauliKijana nitake Radhi tafadhali hapa tunafundishana sio kutuhumiana.
Ndo nimekuuliza, spirit unaweza kuithibitisha, ukimpasua mtu unaweza kuona spirit?Huwezi kumuona Mwanga kwasababu anatumia mbinu ya out of body projection anakuja katika form ya spirit ila utasikia kukuru kakara zake.
Baada ya hapo ujibu, kwann serikali haiamini uchawiHuwezi kumuona Mwanga kwasababu anatumia mbinu ya out of body projection anakuja katika form ya spirit ila utasikia kukuru kakara zake.
Huwezi kuuona Upepo.Ndo nimekuuliza, spirit unaweza kuithibitisha, ukimpasua mtu unaweza kuona spirit?
Ila unaweza kuupima kwa kutumia kifaa kama barometer na kadhalika, Mungu, uchawi, Shetani, malaika, na roho, unavithibitisha vipi?Huwezi kuuona Upepo.
It's not about dini hebu elewa, the nature itself respect unknown power ndo maana kuna hizo empathy and consolation theories ambazo kwetu sisi modern people zinatafsiriwa katika imaniKwanza unatakiwa utambue kuwa mtu ndio aliyeanzisha dini.
Ukishajua hilo unaweza kujiuliza way back kabla ya dini aliwezaje kutofautisha baya na zuri.
Kwamba kabla ya dini watu walikuwa wanaona sawa kuuana?
Hata wewe sidhani kama kitu pekee kinachokuzuia kubaka watoto ni makatazao yaliyopo kwenye vitabu vya dini.
Kitu kama Empathy and Consolation ni sehemu tu ya uchache katika vingi, vinavyomfanya mtu afanye mazuri na kuepuka mabaya
Huwezi kupima Dark Energy au Dark Matter lakini zipo.Ila unaweza kuupima kwa kutumia kifaa kama barometer na kadhalika, Mungu, uchawi, Shetani, malaika, na roho, unavithibitisha vipi?
Dark matter Ina interact na gravitational force, na ndo maana Wana sayansi wameweza kuithibisha kuwa ipoHuwezi kupima Dark Energy au Dark Matter lakini zipo.
Unaweza kuiona Gravity au kuishika?!Dark matter Ina interact na gravitational force, na ndo maana Wana sayansi wameweza kuithibisha kuwa ipo
Kumbe tunabishana vitu ambavyo wewe mwenyewe huelewi sasa.Anaitwa Fritz Zwicky, mfatilie, sku iz elimu yote Ipo kiganjani mwako
Hakuna aliyethibitisha uwepo wa dark matter, labda wewe uwe wa kwanzaDark matter imethibitishwa Ipo, na kama Mungu aliumba ulimwengu kwa siku saba akamaliza, y unaendelea kutanuka? Iyo inadhiirisha uyo Mungu hayupo.
Umeishiwa hoja unaanza ad hominem attacks"Atheists wana mtindio wa ubongo" 📌
Mungu ni nini?kwaiyo kila mmoja anakuja na wishes zake personal kwamba Mungu angekwepo lazima angefanya hivi na hivi...
Wewe mwenye maarifa makubwa na ufikiri pevu, Mthibitishe huyo Mungu yupo!....kwasababu hajafanya kitu flani kwaiyo inamaanishs hayupo.
hii inaonyesha ni jinsi gani mnajifungia kwenye system flani ya mawazo na espectation,
mnataka ku prove hoja zenu humohumo mlipojifungia,
kitu kinachoonyesha dhahiri ukosefu wenu wa maarifa na ufikiri wenu finyu,
Tutahakikishaje hiyo one way uliyo identify niya ukweli?the Universe has infinity number of ways to aproach things, to think, to find solutions, answers etc
we've identified one and we want to use it to do everything with it.