Uzi maalum kwa wale wanaopinga uwepo wa Mungu

Uzi maalum kwa wale wanaopinga uwepo wa Mungu

Warlocks wamenitembelea sana na kunifungulia Milango na kutembea ndani ya Nyumba na kupanda juu ya Dari mara kadhaa.

Fanya research ukue kiakili.
Jibu swali, ushawah kuwaona, au ni uoga wako tu.. ko waje kwako, kwann wasije na kwangu na mm niwaone?
 
Warlocks wamenitembelea sana na kunifungulia Milango na kutembea ndani ya Nyumba na kupanda juu ya Dari mara kadhaa.

Fanya research ukue kiakili.
Nimekua kiakili, ndo maana siamini nonsense
 
Warlocks wamenitembelea sana na kunifungulia Milango na kutembea ndani ya Nyumba na kupanda juu ya Dari mara kadhaa.

Fanya research ukue kiakili.
Afu ao walozi hta serikali Yako haiamini kama wapo, kwa sababu uwezi kuthibitisha uchawi ni nadharia tu, Sasa serikali na intelligensia yote wanasema uchawi haupo, we unatoa wapi ujuzi wa kusema uchawi upo?
 
Nyie ndo mnaoua maalbino kwa nadharia izi
Kijana nitake Radhi tafadhali hapa tunafundishana sio kutuhumiana.

Ujana maji ya moto nilikuwa Mbishi zaidi yako.

Naona niishie hapa tafadhali.
 
Huwezi kumuona Mwanga kwasababu anatumia mbinu ya out of body projection anakuja katika form ya spirit ila utasikia kukuru kakara zake.
Ndo nimekuuliza, spirit unaweza kuithibitisha, ukimpasua mtu unaweza kuona spirit?
 
Huwezi kumuona Mwanga kwasababu anatumia mbinu ya out of body projection anakuja katika form ya spirit ila utasikia kukuru kakara zake.
Baada ya hapo ujibu, kwann serikali haiamini uchawi
 
Kwanza unatakiwa utambue kuwa mtu ndio aliyeanzisha dini.

Ukishajua hilo unaweza kujiuliza way back kabla ya dini aliwezaje kutofautisha baya na zuri.

Kwamba kabla ya dini watu walikuwa wanaona sawa kuuana?

Hata wewe sidhani kama kitu pekee kinachokuzuia kubaka watoto ni makatazao yaliyopo kwenye vitabu vya dini.

Kitu kama Empathy and Consolation ni sehemu tu ya uchache katika vingi, vinavyomfanya mtu afanye mazuri na kuepuka mabaya
It's not about dini hebu elewa, the nature itself respect unknown power ndo maana kuna hizo empathy and consolation theories ambazo kwetu sisi modern people zinatafsiriwa katika imani
 
Ila unaweza kuupima kwa kutumia kifaa kama barometer na kadhalika, Mungu, uchawi, Shetani, malaika, na roho, unavithibitisha vipi?
Huwezi kupima Dark Energy au Dark Matter lakini zipo.
 
Anaitwa Fritz Zwicky, mfatilie, sku iz elimu yote Ipo kiganjani mwako
Kumbe tunabishana vitu ambavyo wewe mwenyewe huelewi sasa.
Fritz zwicky hajathibitisha uwepo wa dark matter, he was the first person to point kuwa mass iliyokuwepo haitoshi kuprovide sufficient gravity for holding galaxies,
Argument ilianza kwenye calculations za Einstein (cosmological constant/ hakuna aliyeichukulia kama dark energy) japokuwa mwenyewe aliidiscard until fritz zwicky alivyokuja kumake logic on the existence of this invisible form of matter that covers the rest of the universe.
Kasome vizuri, wacha kuweka vitu huvijuwi
Narudia tena, hakuna aliyeprove uwepo wa dark energy or dark matter, sisi tunasema kama ipo only kwasababu galaxies haziwi pushed away and there's no normal matter enough to provide such gravity
 
Dark matter imethibitishwa Ipo, na kama Mungu aliumba ulimwengu kwa siku saba akamaliza, y unaendelea kutanuka? Iyo inadhiirisha uyo Mungu hayupo.
Hakuna aliyethibitisha uwepo wa dark matter, labda wewe uwe wa kwanza
Do your research usiweke vitu huvijuwi, point yako ni sawa na kusema Albert Einstein amethibitisha tunaweza ku travel across different timelines
 
"Atheists wana mtindio wa ubongo" 📌
Umeishiwa hoja unaanza ad hominem attacks

Hujibu hoja ila unashambulia waleta hoja.
kwaiyo kila mmoja anakuja na wishes zake personal kwamba Mungu angekwepo lazima angefanya hivi na hivi...
Mungu ni nini?

Hakuna Atheist anayesema Mungu angekuwepo, Atheists hatudai Mungu yupo.

Ninyi Theists waamini Mungu ndio mnamzungumzia huyo Mungu na mnadai yupo, ila mpaka sasa mmeshindwa kumthibitisha yupo.

Huoni kwamba unafosi mawazo yako uchwara yasiyo na uthibitisho wowote ule?

Unataka kufosi Mungu uliyeshindwa kumthibitisha yupo, ila unabaki kusema na kusisitiza tu yupo! yupo! Yupo! Yupo!

Kuna msemo wa vijana wa mjini umeibuka,

Kudai na Kusema Mungu yupo ila kumthibitisha Aaaaahhh!!!😄
....kwasababu hajafanya kitu flani kwaiyo inamaanishs hayupo.

hii inaonyesha ni jinsi gani mnajifungia kwenye system flani ya mawazo na espectation,
mnataka ku prove hoja zenu humohumo mlipojifungia,
kitu kinachoonyesha dhahiri ukosefu wenu wa maarifa na ufikiri wenu finyu,
Wewe mwenye maarifa makubwa na ufikiri pevu, Mthibitishe huyo Mungu yupo!

Wewe si una maarifa makubwa?

Mbona mpaka sasa hujathibitisha uwepo wa huyo Mungu??
the Universe has infinity number of ways to aproach things, to think, to find solutions, answers etc

we've identified one and we want to use it to do everything with it.
Tutahakikishaje hiyo one way uliyo identify niya ukweli?

Kwanza ithibitishe hiyo one way ambayo unadai iko identified?

Na eleza nani aliye identify hiyo one way?
 
Back
Top Bottom