Uzi maalum: Share chochote kuhusu hobbies

Uzi maalum: Share chochote kuhusu hobbies

Kwenye uandishi wa Resume/CV huwa kuna part ya Hobbies na interests, hobbies zina umuhimu gani kwenye CV na kazi kiujumla?
 
Kiufupi my hobbies are kula,kukaa peke yangu,singing,writing Nina Kama diary nne hivi zimejaa 😀,,kupika,movies hasa horror movies na action and reading books!!!
 
Kiufupi my hobbies are kula,kukaa peke yangu,singing,writing Nina Kama diary nne hivi zimejaa ,,kupika,movies hasa horror movies na action and reading books!!!
Nzuri hizi [emoji7] horror movies ipi unaipenda zaidi
 
Kiufupi my hobbies are kula,kukaa peke yangu,singing,writing Nina Kama diary nne hivi zimejaa
Diaries nne!!! hongera moja tu kuijaza napata tabu, nazojaza kwa wepesi ni journal nazochora na kuandika maandishi pembeni (Sketchbook)
 
Kiufupi my hobbies are kula,kukaa peke yangu,singing,writing Nina Kama diary nne hivi zimejaa 😀,,kupika,movies hasa horror movies na action and reading books!!!
Mule mule njoo nikuoe wew dada
 
Diaries nne!!! hongera moja tu kuijaza napata tabu, nazojaza kwa wepesi ni journal nazochora na kuandika maandishi pembeni (Sketchbook)
Yeah nilikua napenda kuandika tangu nasoma aiseee hizo diaries zangu za shule ya msingi na sec ninazo japo zimechakaa😅😅!!kuchora its a good hobbie ivi unaweza kujifunza kuchora kama mtu hujui??
 
Napenda wakati nikiangalia mpira ni nifanye kama anavofanya mtangazaji, yani nafanya utangazaji. Pili,tangu nijiunge na jf,nimekuwa addicted sana,naweza kushinda ndani tu nasoma nyuzi za humu.
 
Napenda wakati nikiangalia mpira ni nifanye kama anavofanya mtangazaji, yani nafanya utangazaji. Pili,tangu nijiunge na jf,nimekuwa addicted sana,naweza kushinda ndani tu nasoma nyuzi za humu.
commentating! Nzuri hii kama una kipaji zama redioni kiongozi.
 
Back
Top Bottom