Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
People ziko desperate 🤣🤣Yani mdada kabisa nae anatuma hela kwa someone hamjui hiyo nayo ni tatizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
People ziko desperate 🤣🤣Yani mdada kabisa nae anatuma hela kwa someone hamjui hiyo nayo ni tatizo
Mlokole wa mchongo[emoji1787]Umri .......25
Makaz ....iringa
Kazi... .....mfanyakazi wa uma+biashara ndogo
Elimu....... level three ya electrical installation
Dini mkristo(tena mlokole)
Mcheshi,mpole,mkali,[emoji41]
kelphin kepph
Hii chai☕☕☕ya moto sana. ungeipooza hata kidogo bac.Muwe makini pia guys, matapeli ni wengi sana, Kuna mkaka aliwahi andika bandiko kwa mtandao fulani kua anatafuta mke, wadada wakatuma maombi kama yote, kumbe yule kaka mi mume wa mtu na tena hana hata kazi,
Aliwatafuna wadada uwiiii, yaani walikua wanasafiri tena kwa nauli zao kumfata bonge la bwana, wengine walikwea hadi pipa , nyie wanawake tuko desperate na ndoa, kaka aliwala hadi huruma, na wengine akawa anawaambia niko na ratiba ngumu, nitumie nauli nipande ndege nikufate, wajinga walituma, aseeee
Guys msicheze na hisia za wadada, kama hauko na uhitaji waachie wenzio wenye nia, wadada usimtumie mtu pesa eti atakuja kunioa, watu wanalizwa sana, wengine wanaoa hadi ndoa feki aseee...
Mtu ana mke na watoto yuko bize amekomaza shingo mtandaoni anatafuta mke, matapeli ni wengi, trust no one, usitume picha zako ovyo, take time kumjua mtu, usiende meetings kiholela mtaishia kuliwa na ndoa mtaiskia kwa bomba, tena mtaliwa bureeee,
Be carefully and all the best....
Rick boy anataka kufanya kaziiNaitaji mchumba ( Mwanamke) aliye serious.
Me Mwanamme.
Miaka 30
Naishi Dar Gongo la mboto
Dini yangu Mkristo.
Akipatikana wa mitaa ya karibu na Gongo la mboto na mitaa ya jirani itapendeza zaidi.
Namba yangu 0672882686.
Karibu tuyajenge.
Ooooh jamani rafiki yanguRafiki Jane Msowoya nimejikwaa na kujikuta nimeangukia huku,njoo kwanza uje kunipa pole ya ajali hii
Umeumia moyo.Moyo ni mpweke sana na sina pa kukimbilia ila kwako Jane wangu mpendwaOoooh jamani rafiki yangu
Pole!!!! Umeumia wapi my wangu?
Waoooo jamani karibu sana My wangu,you are in safe handsUmeumia moyo.Moyo ni mpweke sana na sina pa kukimbilia ila kwako Jane wangu mpendwa
Jane wangu all my life I prayed for someone like you and I thank God that I finally found youWaoooo jamani karibu sana My wangu,you are in safe hands
Jane wako nipo wapeke yako hapa
Same here darling,have been waiting for someone like youJane wangu all my life I prayed for someone like you and I thank God that I finally found you
We sema tu unatafuta Mwanamke wa kumgonga au kugongana nae fika Banana hapo wamejaa kibao jichagulie unaemtaka mpige sound mshikishe kidogo nenda kamgongeNaitaji mchumba ( Mwanamke) aliye serious.
Me Mwanamme.
Miaka 30
Naishi Dar Gongo la mboto
Dini yangu Mkristo.
Akipatikana wa mitaa ya karibu na Gongo la mboto na mitaa ya jirani itapendeza zaidi.
Namba yangu 0672882686.
Karibu tuyajenge.
I promise to never fall in love with a stranger.You're my everything babySame here darling,have been waiting for someone like you
Natakami ningekujua mapema,