Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

Nchi za watu wadada kuwafungukia wakaka wawapendao ishakuwa kawaida, bado huku kwetu Afrika.

Idadi ya wanawake ni kubwa kuliko ya wanaume, kwahiyo usipoteze fursa. Jaribu bahati yako kwa kumfungukia.

Nimemaliza. Kama hutaki acha!
nshafunguka kule ,subiri nikupe id yake ukanipigie debe dada ako [emoji18]
 
Name :Jenny
Age: 28
Education: Diploma holder in pharmaceutical science
Ethnicity : Refugee
Dissability : hearing impared but i can speak [emoji19] I can be a good mother too and good wife
Kids : no kids [emoji19] But i want to have two
Religion: am christian but anyone religions doesnt matter to me in love
My apperance : fat weight 78 [emoji853] Yes i love food but am trying to control my binge eating
Height 165 , am chocolate in color with very kind heart .


Kind of man i want
Just a lovely man who knows and understand the meaning of love and am gonna give u All of me sweetheart u will be the happiest man in the entire earth .
Lugha ya alama ya Tanzania unaiweza?
 
Name :Jenny
Age: 28
Education: Diploma holder in pharmaceutical science
Ethnicity : Refugee
Dissability : hearing impared but i can speak [emoji19] I can be a good mother too and good wife
Kids : no kids [emoji19] But i want to have two
Religion: am christian but anyone religions doesnt matter to me in love
My apperance : fat weight 78 [emoji853] Yes i love food but am trying to control my binge eating
Height 165 , am chocolate in color with very kind heart .


Kind of man i want
Just a lovely man who knows and understand the meaning of love and am gonna give u All of me sweetheart u will be the happiest man in the entire earth .
Jenny ushapata au bado??!
 
Muwe makini pia guys, matapeli ni wengi sana, Kuna mkaka aliwahi andika bandiko kwa mtandao fulani kua anatafuta mke, wadada wakatuma maombi kama yote, kumbe yule kaka mi mume wa mtu na tena hana hata kazi,

Aliwatafuna wadada uwiiii, yaani walikua wanasafiri tena kwa nauli zao kumfata bonge la bwana, wengine walikwea hadi pipa , nyie wanawake tuko desperate na ndoa, kaka aliwala hadi huruma, na wengine akawa anawaambia niko na ratiba ngumu, nitumie nauli nipande ndege nikufate, wajinga walituma, aseeee

Guys msicheze na hisia za wadada, kama hauko na uhitaji waachie wenzio wenye nia, wadada usimtumie mtu pesa eti atakuja kunioa, watu wanalizwa sana, wengine wanaoa hadi ndoa feki aseee...

Mtu ana mke na watoto yuko bize amekomaza shingo mtandaoni anatafuta mke, matapeli ni wengi, trust no one, usitume picha zako ovyo, take time kumjua mtu, usiende meetings kiholela mtaishia kuliwa na ndoa mtaiskia kwa bomba, tena mtaliwa bureeee,

Be carefully and all the best....
 
Hello

Mimi ni kijana wa kiume nahitaji mke

Umri wangu ni miaka 32

Rangi yangu maji ya kunde

Ni mwembamba na mrefu wa wastani mwenye mwili wa kawaida

Elimu yangu kidato cha nne

Shughuri yangu ni Mjasiriamali ambaye pia nna taasisi yangu ya mafunzo ya kujenga biashara mtandaoni nnayo iendesha online

Mke nnaye muhitaji

Awe maji ya kunde au mweupe

Awe na elimu yoyote

Awe na kazi au hata bila kazi

Kama hauna kazi uwe tayari kujifunza biashara nnazo fanya online kwasababu ntakupatia device yako ya kufanyia kazi

Kazi zetu zetu tutafanyia online

Lengo ni kuongeza kipato chetu ili tufikie malengo kwa haraka

Kama uko interested namimi tuwasiliane kwa email hii travoradriano@gmail.com
 
Name :Jenny
Age: 28
Education: Diploma holder in pharmaceutical science
Ethnicity : Refugee
Dissability : hearing impared but i can speak 😒 I can be a good mother too and good wife
Kids : no kids 😒 But i want to have two
Religion: am christian but anyone religions doesnt matter to me in love
My apperance : fat weight 78 🙁 Yes i love food but am trying to control my binge eating
Height 165 , am chocolate in color with very kind heart .


Kind of man i want
Just a lovely man who knows and understand the meaning of love and am gonna give u All of me sweetheart u will be the happiest man in the entire earth .
Guys am trying to open my pm but holla its not opening 😭 I feel bad to put here my no 😏 .
Anyway text me through 0622078689
 
Muwe makini pia guys, matapeli ni wengi sana, Kuna mkaka aliwahi andika bandiko kwa mtandao fulani kua anatafuta mke, wadada wakatuma maombi kama yote, kumbe yule kaka mi mume wa mtu na tena hana hata kazi,

Aliwatafuna wadada uwiiii, yaani walikua wanasafiri tena kwa nauli zao kumfata bonge la bwana, wengine walikwea hadi pipa , nyie wanawake tuko desperate na ndoa, kaka aliwala hadi huruma, na wengine akawa anawaambia niko na ratiba ngumu, nitumie nauli nipande ndege nikufate, wajinga walituma, aseeee

Guys msicheze na hisia za wadada, kama hauko na uhitaji waachie wenzio wenye nia, wadada usimtumie mtu pesa eti atakuja kunioa, watu wanalizwa sana, wengine wanaoa hadi ndoa feki aseee...

Mtu ana mke na watoto yuko bize amekomaza shingo mtandaoni anatafuta mke, matapeli ni wengi, trust no one, usitume picha zako ovyo, take time kumjua mtu, usiende meetings kiholela mtaishia kuliwa na ndoa mtaiskia kwa bomba, tena mtaliwa bureeee,

Be carefully and all the best....

Kheeee
 
Muwe makini pia guys, matapeli ni wengi sana, Kuna mkaka aliwahi andika bandiko kwa mtandao fulani kua anatafuta mke, wadada wakatuma maombi kama yote, kumbe yule kaka mi mume wa mtu na tena hana hata kazi,

Aliwatafuna wadada uwiiii, yaani walikua wanasafiri tena kwa nauli zao kumfata bonge la bwana, wengine walikwea hadi pipa , nyie wanawake tuko desperate na ndoa, kaka aliwala hadi huruma, na wengine akawa anawaambia niko na ratiba ngumu, nitumie nauli nipande ndege nikufate, wajinga walituma, aseeee

Guys msicheze na hisia za wadada, kama hauko na uhitaji waachie wenzio wenye nia, wadada usimtumie mtu pesa eti atakuja kunioa, watu wanalizwa sana, wengine wanaoa hadi ndoa feki aseee...

Mtu ana mke na watoto yuko bize amekomaza shingo mtandaoni anatafuta mke, matapeli ni wengi, trust no one, usitume picha zako ovyo, take time kumjua mtu, usiende meetings kiholela mtaishia kuliwa na ndoa mtaiskia kwa bomba, tena mtaliwa bureeee,

Be carefully and all the best....
Yani mdada kabisa nae anatuma hela kwa someone hamjui hiyo nayo ni tatizo
 
Back
Top Bottom