Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

Natafuta Mke na niko serious. Kama unajijua ni binti mrembo na sio slay queen chap tuma CV Pm.

Kipaumbele kitakua kwa binti anaejielewa na Atakae kidhi vigezo. Zingatia tuma CV.
 
Umri .......25
Makaz ....iringa
Kazi... .....mfanyakazi wa uma+biashara ndogo
Elimu....... level three ya electrical installation
Dini mkristo(tena mlokole)
Mcheshi,mpole,mkali,[emoji41]


kelphin kepph
Mlokole wa mchongo[emoji1787]
 
Hii chai☕☕☕ya moto sana. ungeipooza hata kidogo bac.

wapi uko mdada anatuma nauli?

au unafurahisha genge?
 
Sijui niweke wasifu au basi ila nataka tu kuchepuka lakini sio na mke wa mtu
 
Naitaji mchumba ( Mwanamke) aliye serious.

Me Mwanamme.
Miaka 30
Naishi Dar Gongo la mboto
Dini yangu Mkristo.
Akipatikana wa mitaa ya karibu na Gongo la mboto na mitaa ya jirani itapendeza zaidi.

Namba yangu 0672882686.
Karibu tuyajenge.
Rick boy anataka kufanya kazii
 
Naitaji mchumba ( Mwanamke) aliye serious.

Me Mwanamme.
Miaka 30
Naishi Dar Gongo la mboto
Dini yangu Mkristo.
Akipatikana wa mitaa ya karibu na Gongo la mboto na mitaa ya jirani itapendeza zaidi.

Namba yangu 0672882686.
Karibu tuyajenge.
We sema tu unatafuta Mwanamke wa kumgonga au kugongana nae fika Banana hapo wamejaa kibao jichagulie unaemtaka mpige sound mshikishe kidogo nenda kamgonge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…