Unaharibu sasa, hapa tunaweka viwango vya juu tu[emoji23]
Wewe mbona una 24 ya kweli ila huku una 42[emoji23]
Muhimu nafasi nimepata
Lishangazi gani under 30?[emoji23][emoji23][emoji23]
Ushindwe me lishangazi la kwendea km wizo ake coca na babe wako
Lishangazi gani under 30?
queen of zamunda mimi ndo prince hakim nataka kukuoa[emoji1787][emoji1787]
Kaza fuvu hivo hivo
queen of zamunda mimi ndo prince hakim nataka kukuoa
hautaki kuolewa na prince?Mhmm!! Sio Semmi wewe? [emoji23][emoji23][emoji23]
hautaki kuolewa na prince?
Mkuu karibuNipo mbeya mjini (Mgeni)
Nahitaji marafiki wa kubadilishana mawazo
wanakuja pm itajaaπRasmi nmeamua kutangaza nia
Jinsia: Ke
Umri :23+
Elimu yangu ni kidato cha nne, ila nmesoma short couse ya computer application na hotel management
Dini: ni mkristo
Rangi yangu ya ngoz ni ya kawaida sio mweusi wala sio mweupe nipo katikat hapoo na ni mrefu pia mwembamba mwenye tu nyama
Nb: kwa alieko serious tuchekiane Pm na maelekez zaidi,, natanguliza shukran
wanakuja pm itajaa[emoji23]
Rasmi nmeamua kutangaza nia
Jinsia: Ke
Umri :23+
Elimu yangu ni kidato cha nne, ila nmesoma short couse ya computer application na hotel management
Dini: ni mkristo
Rangi yangu ya ngoz ni ya kawaida sio mweusi wala sio mweupe nipo katikat hapoo na ni mrefu pia mwembamba mwenye tu nyama
Nb: kwa alieko serious tuchekiane Pm na maelekez zaidi,, natanguliza shukran
Alooooo nakuja
Mkaka fulani maji ya kunde mwembamba mnyarwanda kasingiziwa .
Elimu: Darasa la saba ila mwenye degree mbili anasubiri.
Kazi : kuzurura kwenye nchi kila kona ya nchi ila napata hela ya kula
Kimo: 5.7ft.
Uvaaji: surual za vitambaa kwa sana shati nyeupe au rangi yeyote ila plain, kaunda suit kwa sana tai kama kawa, kadet kwa mbaali na simple shoes.
Chakula: napenda ugali dagaa wa kukaanga , Samaki, matembele, ugali dona, maziwa mgando na matunda na makande ya mahindi na njugu mawe.
Kipato: kwa mwezi Tsh.3.5m
Usafiri:Sina gari
Nyumba nimejenga:
Urafiki wa kijinga sina
Ulevi wangu: kusoma sana habari za siasa, Technolojia, na mengineyo.
Mawasiliano: simu natumia ya mkopo kutoka Tigo
Umri miaka 30
Dini : Mkristo aliemwamini Yesu na Kuzaliwa mara pili.
Sifa za mke nimtakae
Kimo: 5ft
Rangi: yeyote
Umbo: sio mnene na asiwe mwembamba akiwa anapenda kunyoa simple fulani huyo kipaumbele.
Anaefuga kucha mirefu atanisamehe,
Dini: mkristo aliezaliwa mara pili kama wewe ni wa jumapili tu utanisamehe,
Uvaaji: Vitenge fulani vigauni virefu na vifupi ila sio sana, viatu mchuchumio mrefu na mfupi nitakununulia na raba na simple fulani og [emoji1] mda mwingine kisket fulani na t-shirt [emoji1] na raba au blouse fulani na hiv na scafu au kikoti juu hivi daah, suruali nzuri tukiwa out na mazingira mengine utavaa sana tu ila mazingira tunayoishi utanisamehe .
Karibuni jamani khaaa jf hawapo kwel
Mhhhh hayo maelezo ya nguo sasaaa anyway kila la heri mkuuMkaka fulani maji ya kunde mwembamba mnyarwanda kasingiziwa .
Elimu: Darasa la saba ila mwenye degree mbili anasubiri.
Kazi : kuzurura kwenye nchi kila kona ya nchi ila napata hela ya kula
Kimo: 5.7ft.
Uvaaji: surual za vitambaa kwa sana shati nyeupe au rangi yeyote ila plain, kaunda suit kwa sana tai kama kawa, kadet kwa mbaali na simple shoes.
Chakula: napenda ugali dagaa wa kukaanga , Samaki, matembele, ugali dona, maziwa mgando na matunda na makande ya mahindi na njugu mawe.
Kipato: kwa mwezi Tsh.3.5m
Usafiri:Sina gari
Nyumba nimejenga:
Urafiki wa kijinga sina
Ulevi wangu: kusoma sana habari za siasa, Technolojia, na mengineyo.
Mawasiliano: simu natumia ya mkopo kutoka Tigo
Umri miaka 30
Dini : Mkristo aliemwamini Yesu na Kuzaliwa mara pili.
Sifa za mke nimtakae
Kimo: 5ft
Rangi: yeyote
Umbo: sio mnene na asiwe mwembamba akiwa anapenda kunyoa simple fulani huyo kipaumbele.
Anaefuga kucha mirefu atanisamehe,
Dini: mkristo aliezaliwa mara pili kama wewe ni wa jumapili tu utanisamehe,
Uvaaji: Vitenge fulani vigauni virefu na vifupi ila sio sana, viatu mchuchumio mrefu na mfupi nitakununulia na raba na simple fulani og π mda mwingine kisket fulani na t-shirt π na raba au blouse fulani na hiv na scafu au kikoti juu hivi daah, suruali nzuri tukiwa out na mazingira mengine utavaa sana tu ila mazingira tunayoishi utanisamehe .
Karibuni jamani khaaa jf hawapo kwel
Tengee mamaa.... [emoji1787]Mhhhh hayo maelezo ya nguo sasaaa anyway kila la heri mkuu
Kitenge si mchezo nmesikia Kuna offer ya raba pia πTengee mamaa.... [emoji1787]