Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

Mkioana naomba hata mwana jf1 apate mwaliko
 
Umri 29
Makazi Katavi
Elimu standard 2
Kazi kibaka/mpiga nondo
Gari sina
Carrier- Ninambio sana ninakimbia umbali
pindi raia wakinikimbiza
Natafuta mchumba awe na umri wa miaka 19-24, awe bikra, mwembamba kiasi, mweupe sio kama papai.
Elim yake awe na degree of Nursing.
Dini- Christian
NB:Awe mchamungu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani.
Nilikuwa nasubiri uje ndo basi tena umewahiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…