Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

Kwenda gym n kuigiza[emoji23][emoji23]

Kuwa smart ni kuigiza[emoji23][emoji23]

Aisee..

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa smart... Nipo smart ni tabia yangu... Lakini si kwa kuvaa macheni ama bangili mkononi... Ama t-shirt za kubana... Na gym sijawahi kwenda na sina huo mpango... Si miongoni mwa mwenendo wa maisha yangu... Na ndio maana nikasema siwezi kuishi maisha ya hivyo... Ni sawa na kuigiza maisha kwangu
 
Dogo nani kakwambia uvae macheni na mabangili..

Af ukifanya mazoezi automatically tshirt ztabana..

Sasa nmelewa kwa nn unapishana na watoto wa ndalichako.

Kaa hivyo hivyo na ujinga wako.

Unaambiwa hivi, we unajib vilee..
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwamba kanena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dadek, kweli binadamu tunatofautiana
 
Umri:kijana saafi
Jinsia:me
Kazi:huwa inategemea Na tenda/soko la dunia/kazi zitakavyotoka maana Nina ujuzi,uwezo Na maarifa
Dini:mungu yupo tupambane ila njia ninayopambana nayo Ni ukristo
mahali niishipo sasa:mwanga KLM
Cont 0717391502
 
Ahahah vyte ninavyo, urefu tu ndy tatizo loooh!!!. tushks nfs.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…