Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

Wewe unafaa kabisaa kuwa mume!
 
Me.....
Name : classified
Edu level : Advance Diploma
Age. : 26
Status. : single and serious.
Religion : Muslim(not radical muslim)
Region. :Same Milimani (Mamba myamba)
Consumings: Not alcoholic, i smoke Weed and love to eat...
Hobbies. : Partying , swimming, movies Etc
Financial: Employed but Dying to start my own shit(lets start 2getha, start small is my philosophy,hata iwe biashara ya [emoji534] poa tu)


Her....
Name : i dont care
Edu lvl : At least Certificate
Age. : Below 26 yrs
Status: single and serious...
Religion: Muslim Fear of God...
Region. :Any But Mtz only.
Hobbies: any
Consuming : Any but specific weed
Financially : Employed or self employed is gud but if not we will start 2getha...


Watsup # 0694 263 118
njoo tuyajenge.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umri - 29-34
Elimu -Degree ya mtaani
Dini - Mkristo
Rangi - Mweusi tii
Umbo - Miraba minne
Kazi - Kujiajiri na kuajiriwa

NINAYEMUHITAJI

umri - 22-27
Elimu - ajue kusoma na kuandika
Dini - mkristo atapendeza zaidi
Rangi - nyeusi tii narudia tena nyeusi tii
Umbo - awe mfupi kipotabo
Kazi - asiye na ajira

Kigezo cha muhimu kuliko vyote awe ametokea ukanda wa pwani..mwenye sifa hii atapata kipaumbele cha kuweka ndani mapema..pia aliyeshindikana mtaani yaani wale wanawake wajeuri, watukutu kila aina ya balaa wameshapitia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: amu
Hahahaa.. haiwezekani kiongozi... Huwa napenda kuishi maisha ya uhalisia na si kuigiza
Sasa mkuu ulikuwa wapi siku zote??? Humu kuna uzi mmoja niliandika wa kutaka kumuunganisha bachelor mwenzangu mmoja binti mwenye sifa za kuwa mke wa mtu maana mm sikuwa na uwezo wa kumuoa na kwa nilivyokufuatilia ukimjibu huyo mdau anayekufundisha mbinu haramu za uzinzi nikajikuta nimekupa points za kuwa bachelor mwenye focus na ulichokiandika..

Dah sema basi tena ndo haikiwa rizq yako kuna mdau nilishamuunganisha na ameshafuata taratibu zote soon anaenda kutoa mahari na ana mzuka kuwa hataki funga ndoa ya Corona(kimyakimya)anataka watu wale mpunga so atasikilizia Corona ipoe kisha afunge ndoa..

AnywaY tuendelee na mapambano bachelor mwenzangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…