lizyliciouz
Member
- Oct 25, 2019
- 26
- 24
Umri:30
Elimu:stashahada
Makazi:dar
Kazi:mtumishi wa umma
Nimejenga Nyumba kubwa ina kila kitu tatizo upweke nipo naishi na mfanyakazi tu
Karibu.
Ukiangalia asilimia kubwa ya wanaotafuta wachumba humu ni 'waajiriwa ' maana yake waliojiajiri wengi wanapata wenzi kirahisi kuliko Hawa wa 'mishahara '
Lakini mimi sijapataKabisaa[emoji847][emoji847]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ujaamua tu mkuu ,,comments zote hz au vigezo vigumu,,,,Lakini mimi sijapata
Sijaina popote unapohitaji mrembo, kwani ukija chemba/pm kuna tatizo jmn?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ujaamua tu mkuu ,,comments zote hz au vigezo vigumu,,,,
Ila humu wasomi wengi,!!! Afu wasomi wanahitaji wasomi wezao[emoji847][emoji847]
Wanasahau kwamba hata ambo hatujasoma tuna akili ya kupambana na maisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijaina popote unapohitaji mrembo, kwani ukija chemba/pm kuna tatizo jmn?
Kuja bhana
Njoo mrembo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nipoo nimesha ku-pmMi natafuta handsome mwenye tango tu kaka upo njoo inbox
Single tukutaneView attachment 1395771
Watu wengi wapo tayari kuanzia maisha na wenza wao Ila kuna mmoja bado anasuasua; ili kuwezesha kukutana Kwa watu ambao wapo tayari kuvutana muanze maisha muendele Kula mema ya nchi pamoja Kwa kuishi pamoja, kwani kuishi peke yako Kwa vijana kuna changamoto nyingi na wengi wetu hatupendi Ila wenza wetu hawapo tayari Kwa sababu zisizokuwa na maana
Hapa tunatoa wasifu mfupi na wapi tunaweza kupata Mambo mengine mnamalizia pm.
Naanza mwenyewe Mimi ni mwanamme mfanyabiashara umri 26 elimu degree, naishi dar, Kwa aliyetari kuyajenga karibu Niko tayari tuanze maisha naishi peke yangu.
Mliopata tupeni japo motivations jamani [emoji848]
Huyo mke yukoapi?Jamani nani anahitaji mke mwenye 32 yrs na kuendelea?
Yupo kama unamtaka nambie mkuu, umri wake kama nilivosema hapo 32+Huyo mke yukoapi?
Watu wanavutana kimya kimya aisee,hakuna hata motivation speaker 😀We ni mchokozi[emoji38]
Niunganishe nae chap kwa haraka!Jamani nani anahitaji mke mwenye 32 yrs na kuendelea?