lizyliciouz
Member
- Oct 25, 2019
- 26
- 24
Kabisaa[emoji847][emoji847]
Umri:30
Elimu:stashahada
Makazi:dar
Kazi:mtumishi wa umma
Nimejenga Nyumba kubwa ina kila kitu tatizo upweke nipo naishi na mfanyakazi tu
Karibu.
Ukiangalia asilimia kubwa ya wanaotafuta wachumba humu ni 'waajiriwa ' maana yake waliojiajiri wengi wanapata wenzi kirahisi kuliko Hawa wa 'mishahara '