The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 7,574
- 10,598
Kwa miaka mitano ijayo mtaongezeka sana!Mie Wiser1, nahitaji mkaka wa kuburudika tu..story sana, akiwa na muda twende club, yan sitak nifikishe miaka 40 ndo nianze kuhangaika....aliyetayari aje PM.
Awe mrefu mweusi, mmasai atanifaa! Umri wake wowote tu ..ha ha ha haaa
Huyo girlfriend wa aje? Miaka
Huyo girlfriend wa aje? Miaka mingapi? Siangalii umri mengine tutaongea akisha kuja
[emoji38][emoji38]Natafuta mume.
Sifa awe anapumua tu nshachoka mie
SafiiiiiNATAFUTA MKE
SIFA
1.
Akubali kuoelewa mitara
2.
Awe na uzazi wenye afya maana nitahitaji anizalie watoto saba 7 Nina mashamba mengi kijijini kwetu igowile hivo nahitaji nguvu kazi pamoja na kutii agizo la muheshimiwa rahisi la kufyetua
3.
Asiwe na ajira .na akubali kufanya kazi yeyote mfano kulima kwa kutumia ng'ombe,kuchunga mifugo yetu, kuuza maziwa ,kufeytua matofali pale mbaralali nina kamachine kangu.
4.
Elimu yeyote
5.
Kabila lolote
6.
Dini lolote
7.
Umri asiwe chini ya miaka 18 Mimi sio pedophile naomba ileweke iyo na asiwe cougar ,Milf , nakadhalika
8.
Na awe na chura
..na hichi ndo kigezo cha muhimu
Ni hayo tu
Bora yakoUmri : 30
Kazi: nimejiajiri
Elimu: chuo
Makazi : Dar
Dini: mkristo
Nyumba : ipo
Gari : lipo la maana tu!
Mahusiano: sijaoa
Nimtakae
Umri 18- 25
Umbo awe mfupi na asiwe mnene
Dini: mkristo
Elimu angalau: chuo
Awe ana kazi za kufanya
Yaani weweanaitajika mwanamke Mwenye 35 nakuend elea kijana ana 28
TupoUmri 25
Jinsia : ke
Elimu:University degree
Kazi: private lawyer
Location: Dar es Salaam
Natafuta friends preferably wa kiume, elimu kuanzia form 6, positive minded na mchangamfu.
Natafuta mwanaume yoyote awe anapumua tu basi
Kwani watu hawapumui ??Huyo labda umtengeneze mwenyewe mkuu.
Kwani watu hawapumui ??
Uhuhuuu aya bnaKupumua Tu?
Hamna mwanaume anae pumua tu!
Wasifu wa hicho chumba?Umri bado kijana
Makazi dar
Naishi home kwa baba kwa yyte alie tayari aje tumkodishie chumba
yess BiShoo haswaaAaa