Vigezo vyote ninavyo, shida nina watoto wanne kama upo tayari karibuKwa mdada aliye serious miaka 22 - 32 , dini awe mkistro asiwe na mtoto
Kuhusu mimi jinsia : ME, umri miaka: 30, urefu :ft 6+, rangi:Mweusi, kazi :mtumishi wa umma , makazi: mbeya town
Haiba yangu ni mimi ni mpole, sio mtu wa kujichanganya kisana, nina marafiki wachache na pia sio muongeaji sana
Mdada aliye interested karibu DM..
[emoji2032]Kwa mdada aliye serious miaka 22 - 32 , dini awe mkistro asiwe na mtoto
Kuhusu mimi jinsia : ME, umri miaka: 30, urefu :ft 6+, rangi:Mweusi, kazi :mtumishi wa umma , makazi: mbeya town
Haiba yangu ni mimi ni mpole, sio mtu wa kujichanganya kisana, nina marafiki wachache na pia sio muongeaji sana
Mdada aliye interested karibu DM..
Kuna matatizo ya kiufundi kidogo[emoji23]Mliosema mtaoa/kuolewa before mwaka uishe changamkeni..kipindi Cha lala salama hiki
Tukutane bima week end hii tujadilo hiloMwaka unaisha hivoo, nani tuvutane ndani kabla ya new year?
Asiwe mbahili lol lolNtakua mwanza kwa siku za mwezi huu zilizobaki
I was just wondering if naweza pata rafiki wa Ku hangout nae
Asiwe mbahili
Awe smart and good looking/ attractive maana mm wa kawaida sana[emoji23] at least tubalance muonekano.
Jinsia Me 1 na ke 1
Thanks [emoji4]
Kama ni bahili mkuu tusionane huko bima😄Asiwe mbahili lol lol
Mkuu bado uko mwanza?Ntakua mwanza kwa siku za mwezi huu zilizobaki
I was just wondering if naweza pata rafiki wa Ku hangout nae
Asiwe mbahili
Awe smart and good looking/ attractive maana mm wa kawaida sana[emoji23] at least tubalance muonekano.
Jinsia Me 1 na ke 1
Thanks [emoji4]
Mkuu Mambo!Natafuta boyfriend awe na miaka kuanzia 28 mpk 34 awe mkristo anaejua kwenda kanisani sio kusubiri mpaka sikukuu awe anajali kwa mawasiliano ajue umuhimu wa kuwasiliana kila siku kama hujui kuwasiliana unakaa kimya siku nzima sitakueza upite kushoto ahsante
Hivi kweli Usalama wa Taifa huwa wanajitambulisha hadi JF???Umri miaka 40
Kazi: Afisa Usalama
Dini :Islam
Utaifa : Mzanzibar
Marital status : Nina mke mmoja ila nataka kuongeza mke wa pili
Naishi Mkoa wa DSM Tegeta
Nahitaji mwanamke ambae mstaarabu , mchangamfu, mpole , mnene, mwembamba..
NdioMkuu bado uko mwanza?
Ulipata kampani?Ndio
BadoUlipata kampani?
Hamna shida Joshua mayai bado yapo mengi tu, karibunamie ntaitaji watoto wa5, kama utakuwa tayari PM me
🚶🚶🚶
Mshamba weweHivi kweli Usalama wa Taifa huwa wanajitambulisha hadi JF???
Kabla hujaja pm una sh ngap kwanza kwenye akaunti yako?OK I'm on de way
🚶🚶🚶
Kabla cjaja PM, naomba nijue unapatkana mkoa gan
[emoji383][emoji383]nnamkeka wa million 45 namngoja Chelsea atoe goal 2
[emoji124][emoji124][emoji124]
[emoji124][emoji124][emoji124]
8Kabla hujaja pm una sh ngap kwanza kwenye akaunti yako?