Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

Vigezo vyote ninavyo, shida nina watoto wanne kama upo tayari karibu
 
Ntakua mwanza kwa siku za mwezi huu zilizobaki

I was just wondering if naweza pata rafiki wa Ku hangout nae

Asiwe mbahili
Awe smart and good looking/ attractive maana mm wa kawaida sana[emoji23] at least tubalance muonekano.
Jinsia Me 1 na ke 1

Thanks [emoji4]
 
[emoji2032]
 
Gentleman Pirate
Umri: 28
Dini: muislamu,mkristo
Sifa: mcheshi
Kazi: askari
Elimu: mhandisi
Mkoa: Arusha,Manyara

Mwanamke
Anayejielewa na kujua anachofanya
Umri wowote
Dini yeyote
 
Mkuu bado uko mwanza?
 
Mkuu Mambo!
 
natafuta mwanamke wa kuoa
sifa:
awe bonge mwenye matako makubwa malaini, mwenye umri wowote.
kama upo nicheki pm tuyajenge mrembo.
 
Umri miaka 40
Kazi: Afisa Usalama
Dini :Islam
Utaifa : Mzanzibar
Marital status : Nina mke mmoja ila nataka kuongeza mke wa pili
Naishi Mkoa wa DSM Tegeta
Nahitaji mwanamke ambae mstaarabu , mchangamfu, mpole , mnene, mwembamba..
Hivi kweli Usalama wa Taifa huwa wanajitambulisha hadi JF???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…