Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

Umri : 34
Kazi: Mfamasia
Kimo: Mrefu
Elimu: Uzamili
Dini : Kristu
Chama: BAVICHA
Mke anyetfutwa : Umri 18-30 dini yoyote
 
Tarehe 22 leo..zimebaki siku chache tuumalize mwaka...fanyeni mchakato wa kuvutana Basi..😊
 
Nahitaji mpenzi wa kusogeza naye siku.
Umri kuanzia 26 hadi 35
Asiwe na commitment nyingine ya mahusiano. Au kama anayo basi iwe mbali na yeye
Mie niko Dar. Na yeye awe Dar
Awe mrefu/wastani, mrembo
Awe ana kazi yake inayo muingizia kipato, asiwe tegemezi
Mie ni mwajiriwa.
Nahitaji mpenzi/Friend with benefit. Tupeane mapenzi kama yote.
NB: Nina Familia mkoani
 
Back
Top Bottom