Mamserenger
JF-Expert Member
- Oct 14, 2019
- 1,156
- 2,092
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2] akuoneshe tuu usije angaika na kojo la mtuNionyeshe kwanza makaburi ya baba zao kama hautajali nitakua tayar ila kama baba zao wapo hai hapana
Hata uporaji au siyo?!!Sina mpango wa kuoa kwa sasa,
Ndoa zenyewe za milele hapana kwa kweli...
Mimi nataka mapenzi ya kudumu,siyo ya kugandana kupitiliza.
Sitaki mabinti wadogo walioko umri wa kujaribujaribu vitu.
Kazi:- mimi ni mtafutaji,nafanya kazi yeyote ilimradi tusilale njaa.
Ningekua mporaji mpaka sasa nisingekuwa uraianiHata uporaji au siyo?!!
Niko hapa napumulia mashine,njoo tuyajengeNahitaji yoyote anaepumua
Niko hapa napumulia mashine,njoo tuyajenge
Nakusubir mamiiAya mkuu nakuja.
Nakusubir mamii
Mi napumua aseNahitaji yoyote anaepumua
AiseeNahitaji yoyote anaepumua
Yupo mkoa ganinawasogoezea single mother mmoja, πππ ππ₯π π₯π , π¨π ππππ πππ ππ π₯π¦
young and beautiful
age yake 27 yrs old
kabila msukuma
πππππππππ
οΏ½πππππ’, ππ€ππ’ππ... π ππ πππππ
πππππ: πππ πππ πππ 4
πππππππππ ππππππ, ππππ πππππππ πππππ 40 ππ 45
anapenda zaidi mwenza wake awe mwanajeshi.
nichek 0683011003 nikuunganishe
Keshapata mwana JF mmoja humu wanakula maisha.Yupo mkoa gani
Hongera kwakeKeshapata mwana JF mmoja humu wanakula maisha.
thanks for asking
Karibu mamyNahitaji yoyote anaepumua
Hivi umu Kuna watu ambao wamefanikiwa kabisa kuoana? Au porojo tuu?Dini: mkristo
Elimu: degree
Urefu 172cm
Kazi: mlinzi wa taifa..
Sina mtoto wala sijwahi kuoa..
Umri miaka 30
Mwanamke ninae mtaka awe na..
Umri: wowote
Hata kama ana mtoto basi awe mmoja
Rangi yoyote..
Awe na shughuli yoyote..
Kwa ulio serious njoo pm tujenge maisha mke wangu
Hata mimi najiuliza hilo swali hivo hivo kama wewe..Hivi umu Kuna watu ambao wamefanikiwa kabisa kuoana? Au porojo tuu?
Watu wengi tu wamefanikiwa kupitia JF wengine walikuwa ni maarufu hapaHata mimi najiuliza hilo swali hivo hivo kama wewe..