Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

Sina mpango wa kuoa kwa sasa,
Ndoa zenyewe za milele hapana kwa kweli...

Mimi nataka mapenzi ya kudumu,siyo ya kugandana kupitiliza.
Sitaki mabinti wadogo walioko umri wa kujaribujaribu vitu.

Kazi:- mimi ni mtafutaji,nafanya kazi yeyote ilimradi tusilale njaa.
 
Sina mpango wa kuoa kwa sasa,
Ndoa zenyewe za milele hapana kwa kweli...

Mimi nataka mapenzi ya kudumu,siyo ya kugandana kupitiliza.
Sitaki mabinti wadogo walioko umri wa kujaribujaribu vitu.

Kazi:- mimi ni mtafutaji,nafanya kazi yeyote ilimradi tusilale njaa.
Hata uporaji au siyo?!!
 
nawasogoezea single mother mmoja, 𝕒𝕟𝕒 𝕞𝕥𝕠𝕥𝕠, 𝕨𝕒 𝕜𝕚𝕜𝕖 𝕞𝕞𝕠𝕛𝕒 𝕥𝕦

young and beautiful

age yake 27 yrs old

kabila msukuma

𝒎𝒖𝒐𝒏𝒆𝒌𝒂𝒏𝒐
�𝑚𝑟𝑒𝑓𝑢, 𝑚𝑤𝑒𝑢𝑝𝑒... 𝑠𝑖𝑜 𝑚𝑛𝑒𝑛𝑒

𝒆𝒍𝒊𝒎𝒖: 𝒌𝒊𝒅𝒂𝒕𝒐 𝒄𝒉𝒂 4

𝒂𝒏𝒂𝒕𝒂𝒇𝒖𝒕𝒂 𝒎𝒘𝒆𝒏𝒛𝒂, 𝒖𝒎𝒓𝒊 𝒌𝒖𝒂𝒏𝒛𝒊𝒂 𝒎𝒊𝒂𝒌𝒂 40 𝒕𝒐 45
anapenda zaidi mwenza wake awe mwanajeshi.

nichek 0683011003 nikuunganishe
Yupo mkoa gani
 
Dini: mkristo
Elimu: degree
Urefu 172cm
Kazi: mlinzi wa taifa..
Sina mtoto wala sijwahi kuoa..
Umri miaka 30
Mwanamke ninae mtaka awe na..
Umri: wowote
Hata kama ana mtoto basi awe mmoja
Rangi yoyote..
Awe na shughuli yoyote..

Kwa ulio serious njoo pm tujenge maisha mke wangu
 
Dini: mkristo
Elimu: degree
Urefu 172cm
Kazi: mlinzi wa taifa..
Sina mtoto wala sijwahi kuoa..
Umri miaka 30
Mwanamke ninae mtaka awe na..
Umri: wowote
Hata kama ana mtoto basi awe mmoja
Rangi yoyote..
Awe na shughuli yoyote..

Kwa ulio serious njoo pm tujenge maisha mke wangu
Hivi umu Kuna watu ambao wamefanikiwa kabisa kuoana? Au porojo tuu?
 
Back
Top Bottom