[emoji23][emoji23][emoji23]kwendraaa dah sema hio sentesi bdo inanichekesha
Hahaha hv kirima bado ipo?!Huyo muhitimu wa digrii domo zege acha aokote embe chini ya mupapai[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji8]
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu mkuu
Ukija dar tuonane mkuu, au njoo pmNashukuru sana tena kwa mara nyingine
Lakin mkuu ngoja nione watakaponipangia, nitakuja tena tuongee!
Kuhusu cost comparison, nitalifanyia kazi hili suala maana Dar kuna kupanda gari hata mara 2 mpaka ufike site
Umenifadhili sana boss wangu!
Mungu azidi kukupa moyo wa kusaidia!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
kama vp madam?Vingine tu ndugu
asante sana mkuuUkija dar tuonane mkuu, au njoo pm
Wow!,congratulations na mufike mbali amin.Baada ya kuleta Uzi Huku WA kuvutana ndani, napendwa kutoa mrejesho kuwa nimepata nilichokuwa nahitaji na zaidi ya matarajio, nimepata mwanamke mzuri Kwa urembo na kichwani, anajua kujali, kupenda na kuheshimu...Kwa hakika jamii forum imejua kukifurahisha......Kwa wengine ambao MNA mrejesho mnaweza kuutoa pia, Kwa hakika jamii ni kiwanda cha kila kitu. Muwe na jumapili njema.
Hizi sifa labda ukienda Sayari ya Mars mlevi, afu pombe mixer mibange siyo mizuri,yaani nimekuja speed kumbe unazingua[emoji850]Umri:27-30
Rangi:mweupe
Kazi:nimejiajiri
Elimu:degree holder/agriculture engineer by professional
Assets: nyumba tatu za kisasa nimezipangisha, hotel moja mwisho wa reli kigoma,bar kubwa tatu moja dar mbili Moro ambapo nalewa Mimi na kuwapa watu ofa
Mashamba matatu nalima na trekta mbili za kazi nakodisha
Gari zpo ila hautatumia hata kimoja nilichotaja sababu natafuta mmoja for breeding purpose tu [emoji3][emoji16]na Mimi nipate ka offspring maana sina hata wa kusingiziwa
Anaetafutwa
Awe na bonge moja la chura kama sanchi au kama hana awe nalo la kawaida kama mbunge poshy queen
Umbo size 8 kama model corazona wa Kenya black beauty flani kama warembo wa Sudan kusini atapewa kipaumbele mweupe sawa
Elimu :kidato cha nne kuna possibility ya kuendelezwa kama utaenda sawa na mkataba
Dini yeyote coz sina mpango na wewe Nina mpango na mtoto nikipata a beautiful daughter utapata a half of my unknown property according to mkataba na sahau kuhusu mtoto atakuwa sio wako tena ni wangu
Bila shaka utakuwa umejichosha kweli kusoma nilichoandika mwenzako siko serious na nilichoandika hapo juu nilikuwa najaza komenti tuu huu Uzi umepoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ubarikiwe kwa moyo huo mkuu.uko vizuriNahisi nikikupatia sehemu ya kukaa itakuwa mbali na eneo lako la kazi,mbezi msumi.
Mkuu, huyo umempata humu humu jf? Hongera sana kumbe wapo eeh, ngoja niandae CV piaAsante, Mkuu Kwa hakika mdada amejua kunipenda na anajali Ile mbaya, watu wazuri bado wapo
kawaida tu mkuu,najua kwa anayeanza kujipanga changamoto ni nyingi
Eti mi huwa naimagine, utakua na karangi flani hivi kama hiyo avatar, so am I wrong?
Tufikirie basi na siye K.K.K.T ,afu punguza na hiyo chura as added advantage sasa[emoji19]Umri : 31
Kazi : Mwajiliwa serikalini
Elimu : Degree holder
Dini : Roman Catholic
Wasifu wangu: Mrefu,Mtanashati.
Jinsi:Me
Anayetafutwa:
Umri:23-27
Kazi:Mwajiliwa/ Mjasiliamali
Elimu:Kuanzia kidato cha 6 mpk University
Dini:R.C
Wasifu:Awe mrefu,rangi yeyote,anayejipenda,chura itakuwa (added advantage), awe mwelewa mwenye akili ya maisha.
Awe tayari kupima magonjwa yote hatarishi.
Kama uko tayari karibu Inbox
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha daah acha nikae kimyaEti mi huwa naimagine, utakua na karangi flani hivi kama hiyo avatar, so am I wrong?
Sent using Jamii Forums mobile app
Vp Rafiki unatafuta? Mchumba.Tufikirie basi na siye K.K.K.T ,afu punguza na hiyo chura as added advantage sasa[emoji19]
Sent using Jamii Forums mobile app
Simu unayo!!Come we stay.
Elimu: fomu twu
Hela: sina
Gari: sina
Nyumba: sina
Kiwanja: sina
Location: DarSlum.
Nipo nipo tu. Namiliki moyo tu na geto uswazini.
Come we stay. You just come...
-Kaveli-