Umri:27-30
Rangi:mweupe
Kazi:nimejiajiri
Elimu:degree holder/agriculture engineer by professional
Assets: nyumba tatu za kisasa nimezipangisha, hotel moja mwisho wa reli kigoma,bar kubwa tatu moja dar mbili Moro ambapo nalewa Mimi na kuwapa watu ofa
Mashamba matatu nalima na trekta mbili za kazi nakodisha
Gari zpo ila hautatumia hata kimoja nilichotaja sababu natafuta mmoja for breeding purpose tu [emoji3][emoji16]na Mimi nipate ka offspring maana sina hata wa kusingiziwa
Anaetafutwa
Awe na bonge moja la chura kama sanchi au kama hana awe nalo la kawaida kama mbunge poshy queen
Umbo size 8 kama model corazona wa Kenya black beauty flani kama warembo wa Sudan kusini atapewa kipaumbele mweupe sawa
Elimu :kidato cha nne kuna possibility ya kuendelezwa kama utaenda sawa na mkataba
Dini yeyote coz sina mpango na wewe Nina mpango na mtoto nikipata a beautiful daughter utapata a half of my unknown property according to mkataba na sahau kuhusu mtoto atakuwa sio wako tena ni wangu
Bila shaka utakuwa umejichosha kweli kusoma nilichoandika mwenzako siko serious na nilichoandika hapo juu nilikuwa najaza komenti tuu huu Uzi umepoa
Sent using
Jamii Forums mobile app