Kweli kabisa japo kuanza kumuamini mtu kwenye mtandao Inahitaji roho ngumu😀Kesho leo Ni mfano elewa hoja mapenzi hufa kilasiku pili jua mapenzi sio suala lako binafsi tunni suala la watu wawili wewe binafsi unaweza kuwa na mtu ukamjari kwa kilakitu still akakuacha, kukusariti, kwenda kwa mwengine, kufariki Dunia factors nyingi nyingi zinakufanya uwe single tena so Kama unaona jamaa Happ kaeleza Wana muda kadhaa amekuwa royal kwake wamefikia hatu za mwisho kufunga ndoa mwenzie kavunja penzi so ni jambo la kuomba Mungu tu kuendela kuwa na uliyenaye kutokuwa na mpenzi serious sio ujinga mapenzi sometimes nayafananisha na suala la Ajira
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], Kwa nini angalau C ya hesabu Mkuu ?Umri:35yrs
Kazi:Biashara
Chama:CCM
Hobby:Kusafiri nchi mbalimbali
Nisichopenda:CHADEMA
Mke nimtakaye:
i- awe mwanachama hai wa CCM mwenye umri kuanzia 35 - 45. Aliyejaliwa neema za Allah atapewa kipaumbele.
ii - awe angalau na C ya hesabu kidato cha nnne.
iii - awe msabato safi anayefuata taratibu za kanisa lake.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kulelewa nako ni kipaji.Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27
Kazi biashara nahitaji mmama 47-60
Wasichana wadogo wanachosha
Kiuchumi asijali nipo vizuri
Ila uwe seriously
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kulelewa nako ni kipaji.
Anatafuta muhasibu wa chama huyu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], Kwa nini angalau C ya hesabu Mkuu ?
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Duh!chap bac ukuje tusugue mbususu
DahNahitaji demu kwa ajili ya mizagamuano kuanzia umri wa miaka 35 mpaka 60 aliyeko Dar
Chikongola au mkanaledi😀Me 31 ,Mtwara
SHangani 😅😅Chikongola au mkanaledi😀