Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

Kesho leo Ni mfano elewa hoja mapenzi hufa kilasiku pili jua mapenzi sio suala lako binafsi tunni suala la watu wawili wewe binafsi unaweza kuwa na mtu ukamjari kwa kilakitu still akakuacha, kukusariti, kwenda kwa mwengine, kufariki Dunia factors nyingi nyingi zinakufanya uwe single tena so Kama unaona jamaa Happ kaeleza Wana muda kadhaa amekuwa royal kwake wamefikia hatu za mwisho kufunga ndoa mwenzie kavunja penzi so ni jambo la kuomba Mungu tu kuendela kuwa na uliyenaye kutokuwa na mpenzi serious sio ujinga mapenzi sometimes nayafananisha na suala la Ajira
Kweli kabisa japo kuanza kumuamini mtu kwenye mtandao Inahitaji roho ngumu😀
 
Umri:35yrs
Kazi:Biashara
Chama:CCM
Hobby:Kusafiri nchi mbalimbali
Nisichopenda:CHADEMA
Mke nimtakaye:
i- awe mwanachama hai wa CCM mwenye umri kuanzia 35 - 45. Aliyejaliwa neema za Allah atapewa kipaumbele.
ii - awe angalau na C ya hesabu kidato cha nnne.
iii - awe msabato safi anayefuata taratibu za kanisa lake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], Kwa nini angalau C ya hesabu Mkuu ?

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27
Kazi biashara nahitaji mmama 47-60
Wasichana wadogo sio wanachosha
Kiuchumi asijali nipo vizuri
Ila uwe seriously
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27
Kazi biashara nahitaji mmama 47-60
Wasichana wadogo wanachosha
Kiuchumi asijali nipo vizuri
Ila uwe seriously
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kulelewa nako ni kipaji.
 
Ngoja nami niweke ndoana yangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mimi ni kijana mweusi tiii nahitaji mwanamama wa kupumzika nae weekend tu.

Kwa wakaazi wa Dar ty6
 
Extreme squirter and noise maker on rough riding, big boobs and twerking butts urgently needed. For marriage please!
 
Nipo hapa kwenye kibao walichoandika "TUNAUZA MTORI 1000/="
unapafaham chief
 
Natafuta mama mtu mzima wa kuspend nae mala moja moja ata akiwa zaidi ya miaka 60, ndo moja ya kitu nataka nitimize kwenye maisha ya mapenzi, niko Dar
 
Back
Top Bottom