Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

Baada ya kuleta Uzi Huku WA kuvutana ndani, napendwa kutoa mrejesho kuwa nimepata nilichokuwa nahitaji na zaidi ya matarajio, nimepata mwanamke mzuri Kwa urembo na kichwani, anajua kujali, kupenda na kuheshimu...Kwa hakika jamii forum imejua kukifurahisha......Kwa wengine ambao MNA mrejesho mnaweza kuutoa pia, Kwa hakika jamii ni kiwanda cha kila kitu. Muwe na jumapili njema.
Hongera sana kiongozi muishi kwa upendo
 
Umri : 31
Elimu : shahada ( degree)
Kazi : Mwalimu
Dini : Muislam
Muonekano : Si mrefu Sana wala si mfupi, rangi ya maji ya kunde, Si mnene Wala si mwembamba
Mtoto/ watoto : Nina mtoto mmoja
Makazi : Tanga
Kilevi : situmii
Sigara : Sivuti

Nahitaji mke mwenye vigezo vifuatavyo ;

Umri : 25- 35
Dini : Muislam
Elimu : kuanzia kidato Cha nne
Kazi : Mwajiriwa au amejiajiri
Mtoto/ Watoto : Kama Ana mtoto sawa
Tabia : Mwenye kujiheshimu
Kilevi : Hapana
Muonekano : mweupe ama rangi ya chocolate
Kabila : lolote ila asiwe mzaramo

NB: Mambo mengine tutaongea
 
Umri : 31
Elimu : shahada ( degree)
Kazi : Mwalimu
Dini : Muislam
Muonekano : Si mrefu Sana wala si mfupi, rangi ya maji ya kunde, Si mnene Wala si mwembamba
Mtoto/ watoto : Nina mtoto mmoja
Makazi : Tanga
Kilevi : situmii
Sigara : Sivuti

Nahitaji mke mwenye vigezo vifuatavyo ;

Umri : 25- 35
Dini : Muislam
Elimu : kuanzia kidato Cha nne
Kazi : Mwajiriwa au amejiajiri
Mtoto/ Watoto : Kama Ana mtoto sawa
Tabia : Mwenye kujiheshimu
Kilevi : Hapana
Muonekano : mweupe ama rangi ya chocolate
Kabila : lolote ila asiwe mzaramo

NB: Mambo mengine tutaongea
Daah dini na rangi vimenikosesha mchumba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom