Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

Hebu turudi kwenye mada, hivi utakuwa bachelor sugu mpaka lini eti
Upweke mbaya sana Khantwe yaani imagine mm na ww tunawanga na usiku huu mnene tukipeana kampani.Amini kabisa sio mm wala ww aliyekula chakula cha usiku leo hii maana mijicho yetu mikavuuu..

Hili la mpaka lini tuulizane wote maana tunaugua ugonjwa mmoja ila shida zaidi ni kutokuwa seriois lakini kuchagua chagua sana na zaidi ya yote wengine humu kubebishana na watu wasiokuwepo au wasio halisi..Mi ndo maana sitaki kumbebisha mtu humu maana tunatiana magundu tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utaisha pale tu tutakapoamua kuwa uishe,ila shida ni hii bahari nyeusi ya JF haki ya nani yaana unaweza kukomaa na mtu ukaja mkibia kimyakimya ukawa umemuumiza kisaikolojia na poa unaweza mkwepakwepa mtu ukawa umekwepa fuko la dhahabu hii ndio shida zaidi..

Lakini mbaya zaidi kuna hawa wapinga kristo kuwa huwezi pata mke/mume huku mitandaoni ss sijui hawa waliomo humu wanaishi Mars!!!basi na sie wafata mkumbo tunameza tu ideology zao na kuanza kufanya mizaha wakati wengi tu tuna shida hiii kidhat kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: amu
Upweke mbaya sana Khantwe yaani imagine mm na ww tunawanga na usiku huu mnene tukipeana kampani.Amini kabisa sio mm wala ww aliyekula chakula cha usiku leo hii maana mijicho yetu mikavuuu..

Hili la mpaka lini tuulizane wote maana tunaugua ugonjwa mmoja ila shida zaidi ni kutokuwa seriois lakini kuchagua chagua sana na zaidi ya yote wengine humu kubebishana na watu wasiokuwepo au wasio halisi..Mi ndo maana sitaki kumbebisha mtu humu maana tunatiana magundu tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha aisee, kubebishana ni njiaojawapo ya kuondoa upweke you know. Usijione kama unafanya makosa kwa kuwa mchaguaji, of course ni lazima uchague...kumbuka unatafuta mtu ambae utashea nae kitanda for the rest of your life, ni lazima uwe makini eti...usije ukajikuta umekaribisha kapepo nyumbani matokeo yake ukaishi maisha mafupi au marefu yenye majuto
 
Kuchagua hilo ht mm naliunga mkono halijwepeki sema humu shida ni kutofahamiana yaani naamini km kungekuwa kunawekwa picha halisi kwenye kutoa haya matangazo yetu haki ya mama yaani kuna watu wangegombaniwa mpaka kwa waganga humu watu wangeenda[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umri - 29-34
Elimu -Degree ya mtaani
Dini - Mkristo
Rangi - Mweusi tii
Umbo - Miraba minne
Kazi - Kujiajiri na kuajiriwa

NINAYEMUHITAJI

umri - 22-27
Elimu - ajue kusoma na kuandika
Dini - mkristo atapendeza zaidi
Rangi - nyeusi tii narudia tena nyeusi tii
Umbo - awe mfupi kipotabo
Kazi - asiye na ajira

Kigezo cha muhimu kuliko vyote awe ametokea ukanda wa pwani..mwenye sifa hii atapata kipaumbele cha kuweka ndani mapema..pia aliyeshindikana mtaani yaani wale wanawake wajeuri, watukutu kila aina ya balaa wameshapitia

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahaha dah, vigezo vizuri ivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuchagua hilo ht mm naliunga mkono halijwepeki sema humu shida ni kutofahamiana yaani naamini km kungekuwa kunawekwa picha halisi kwenye kutoa haya matangazo yetu haki ya mama yaani kuna watu wangegombaniwa mpaka kwa waganga humu watu wangeenda[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha ni kweli
 
Mida yangu ya kulala inefika na kuamka ni saa7 mchana,ningependa kuendelea na mada na ww sema kuna kufuli kubwa mlangoni kwako sijui kuna wezi wanakusumbua!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya boss usingizi mwema, ukiamka urudi hapahapa tuendelee. Mlango wangu umeharibika ndio maana nimeamua kuutia kufuli
 
Umri: 25
Elimu: form six nilifeli
Kazi: mtumishi serikalin
Dini: muslim
Urefu: 5'7ft
Uzito: 70
Mwembamba
Hela ipo
Mahitaji:
Baby mama
Asiwe mnene
Awe mweupe
Awe anatazamika
Hela iwepo
Awe mikoa mmojawapo mwanza,kigoma,kagera,shinyanga na katavi
Uwezo wa bao tano kwa day
Wenye pesa watapewa kipaumbele

Sent using Jamii Forums mobile app
We unataka kulelewa au[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umri :28
Kazi: Mfugaji
Mahara:Tarime
Elimu :tangu mvua iliponyesha kubwa nikawa nimemariza hivyo
Sababu: Nirie kuwa naye alikuwa ananipikia dagaa Mimi naacha era ya nyama Nika mgecha na taraka juu nataka mwingine g'ombe za mahari zipo nyingi masharti ajue kupika nyama asiziunguze na nisirare njaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah kazi ipo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatimaye wafupi weusi tumepata mkombozi.
Umri - 29-34
Elimu -Degree ya mtaani
Dini - Mkristo
Rangi - Mweusi tii
Umbo - Miraba minne
Kazi - Kujiajiri na kuajiriwa

NINAYEMUHITAJI

umri - 22-27
Elimu - ajue kusoma na kuandika
Dini - mkristo atapendeza zaidi
Rangi - nyeusi tii narudia tena nyeusi tii
Umbo - awe mfupi kipotabo
Kazi - asiye na ajira

Kigezo cha muhimu kuliko vyote awe ametokea ukanda wa pwani..mwenye sifa hii atapata kipaumbele cha kuweka ndani mapema..pia aliyeshindikana mtaani yaani wale wanawake wajeuri, watukutu kila aina ya balaa wameshapitia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom