Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

Mimi

Jinsia- Me
Umri- miaka 30
Elimu- Niliishia Form six
Dini- mkristo (ni mcha Mungu)
Kazi- nimejiajiri( biashara & Kilimo)
Makazi- Dar
Sina mtoto
Hobbies:
-Napenda mno kuskiliza miziki mbalimbali -Napenda mpira wa ulaya (Chelsea fc fan)
-Napenda movies

Mke mtarajiwa

Umri- 20-30
Dini- Mkristo
Elimu- Angalau kuanzia form4( ukiwa unajua kuskia na kuongea kiingereza itapendeza zaidi)
Kazi- Yoyote au Uwe tayari kujishughulisha(biashara au kilimo)
Rangi sichagui
Ukiwa na mtoto haina shida ila asizidi 1 tu

Ukiwa tayari fanya kuni PM
Miaka yote hiyo 30 huna mtoto?? Umezingua brow!
 
Umri : 30
Kazi: nimejiajiri
Elimu: chuo
Makazi : Dar
Dini: mkristo
Nyumba : ipo
Gari : lipo la maana tu!
Mahusiano: sijaoa

Nimtakae

Umri 18- 25

Umbo awe mfupi na asiwe mnene
Dini: mkristo
Elimu angalau: chuo
Awe ana kazi za kufanya
Hapo kwenye umbo umepata wengi mno tatizo hiyo elimu ndo msala ulipo
 
Umri:25+
Jinsia :Me
Makazi:Central zone Dodoma
Kazi:Enterpenuer
Wealth:$1.5+M
Uhusiano: Single

Mahitaji
Umri:below 30
Rangi😛artial black
Location: central zone
Hebu usiaibishe zone nzima na hiyo "wealth" yako

Ome quick question: can you compare and differentiate wealth and income?
 
Umri 39
Jinsia Me
Kazi: Legal adviser
Location: Dar es Salaam

Natafuta Mke
Umri 40 and above
Elimu any
Dini any
 
Mimi

Jinsia- Me
Umri- miaka 30
Elimu- Niliishia Form six
Dini- mkristo (ni mcha Mungu)
Kazi- nimejiajiri( biashara & Kilimo)
Makazi- Dar
Sina mtoto
Hobbies:
-Napenda mno kuskiliza miziki mbalimbali -Napenda mpira wa ulaya (Chelsea fc fan)
-Napenda movies

Mke mtarajiwa

Umri- 20-30
Dini- Mkristo
Elimu- Angalau kuanzia form4( ukiwa unajua kuskia na kuongea kiingereza itapendeza zaidi)
Kazi- Yoyote au Uwe tayari kujishughulisha(biashara au kilimo)
Rangi sichagui
Ukiwa na mtoto haina shida ila asizidi 1 tu

Ukiwa tayari fanya kuni PM
Kuna wanaume machaguzi yenu vere simpo..hamtaki kabisa mambo mengi
 
Mwaka unaisha Jamani...hakuna yeyote aliyepata mwenza?
 
View attachment 1395771

Watu wengi wapo tayari kuanzia maisha na wenza wao Ila kuna mmoja bado anasuasua; ili kuwezesha kukutana Kwa watu ambao wapo tayari kuvutana muanze maisha muendele Kula mema ya nchi pamoja Kwa kuishi pamoja, kwani kuishi peke yako Kwa vijana kuna changamoto nyingi na wengi wetu hatupendi Ila wenza wetu hawapo tayari Kwa sababu zisizokuwa na maana

Hapa tunatoa wasifu mfupi na wapi tunaweza kupata Mambo mengine mnamalizia pm.

Naanza mwenyewe Mimi ni mwanamme mfanyabiashara umri 26 elimu degree, naishi dar, Kwa aliyetari kuyajenga karibu Niko tayari tuanze maisha naishi peke yangu.
Natafuta boyfriend awe na miaka kuanzia 28 mpk 34 awe mkristo anaejua kwenda kanisani sio kusubiri mpaka sikukuu awe anajali kwa mawasiliano ajue umuhimu wa kuwasiliana kila siku kama hujui kuwasiliana unakaa kimya siku nzima sitakueza upite kushoto ahsante
 
Jina;Magema jr

Age:20

Home place:kahama town

Education level:diploma of primary teacher

Assets:kiwanja, stock ya gunia 18 za mpunga, heka moja na nusu ya mahindi, account bank ya tsh 2 million na kama laki tatu ivi

Plan:kupata mwanamke mrembo kutoka hapa jukwaani au nje ta jukwaa

Vigezo:awe mcha mungu na mwenye nia ya dhati kuolewa

Dini:RC

EMAIL ADDRESS:MARTINE17WILI@GMAIL. COM

CONTACT:0746055137

(Sitaki usumbufu)
 
Jina;Magema jr

Age:20

Home place:kahama town

Education level:diploma of primary teacher

Assets:kiwanja, stock ya gunia 18 za mpunga, heka moja na nusu ya mahindi, account bank ya tsh 2 million na kama laki tatu ivi

Plan:kupata mwanamke mrembo kutoka hapa jukwaani au nje ta jukwaa

Vigezo:awe mcha mungu na mwenye nia ya dhati kuolewa

Dini:RC

EMAIL ADDRESS:MARTINE17WILI@GMAIL. COM

CONTACT:0746055137

(Sitaki usumbufu)
Wakimaliza hiyo bank amount na hizo gunia za mpunga huwaoni tena[emoji23][emoji23]
 
Umri 25
Jinsia : ke
Elimu:University degree
Kazi: private lawyer
Location: Dar es Salaam

Natafuta friends preferably wa kiume, elimu kuanzia form 6, positive minded na mchangamfu.
Tupo karibu
 
Umri: 35
Jinsia: me
Dini : islam
Kazi : mtumishi mawasiliano
Makazi : sinza
Hobby : playing piano and violin

Mke ninaemuhitaji

Umri : asinizidi kwasababu sipendi kuzidiwa na
Wanawake.
Umbo: awe mrefu futi nne na point tatu,
msambwanda uwepo wa uhakika
natural sio mchina.
Rangi: mweupe kiasi.
Lugha: kiswahili tu kinatosha.
Elimu: kuanzia form four.
Kazi : si muhim kwasababu atafanya zangu.
Dini : any
Hobby: ajue kuimba vizuri zaidi ya nandi.

Asanteni napenda kuwasilisha
 
Naitwa John,
umri 23,
Makazi: DSM
Kazi: self employed
Education: bachelor degree
Natafuta mke... awe charming, humble, sense of humor.. dm me
 
Natafuta boyfriend awe na miaka kuanzia 28 mpk 34 awe mkristo anaejua kwenda kanisani sio kusubiri mpaka sikukuu awe anajali kwa mawasiliano ajue umuhimu wa kuwasiliana kila siku kama hujui kuwasiliana unakaa kimya siku nzima sitakueza upite kushoto ahsante
Mimi mwenye 27 je?
 
Back
Top Bottom