Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitumie yako basi PMMnapotafuta wachumba umu wekeni na picha zenu Basi[emoji3526][emoji3526]
Umenpenda mieNitumie yako basi PM
Ndio nimekupenda mamsapuUmenpenda mie
Miaka yote hiyo 30 huna mtoto?? Umezingua brow!Mimi
Jinsia- Me
Umri- miaka 30
Elimu- Niliishia Form six
Dini- mkristo (ni mcha Mungu)
Kazi- nimejiajiri( biashara & Kilimo)
Makazi- Dar
Sina mtoto
Hobbies:
-Napenda mno kuskiliza miziki mbalimbali -Napenda mpira wa ulaya (Chelsea fc fan)
-Napenda movies
Mke mtarajiwa
Umri- 20-30
Dini- Mkristo
Elimu- Angalau kuanzia form4( ukiwa unajua kuskia na kuongea kiingereza itapendeza zaidi)
Kazi- Yoyote au Uwe tayari kujishughulisha(biashara au kilimo)
Rangi sichagui
Ukiwa na mtoto haina shida ila asizidi 1 tu
Ukiwa tayari fanya kuni PM
Hapo kwenye umbo umepata wengi mno tatizo hiyo elimu ndo msala ulipoUmri : 30
Kazi: nimejiajiri
Elimu: chuo
Makazi : Dar
Dini: mkristo
Nyumba : ipo
Gari : lipo la maana tu!
Mahusiano: sijaoa
Nimtakae
Umri 18- 25
Umbo awe mfupi na asiwe mnene
Dini: mkristo
Elimu angalau: chuo
Awe ana kazi za kufanya
Hebu usiaibishe zone nzima na hiyo "wealth" yakoUmri:25+
Jinsia :Me
Makazi:Central zone Dodoma
Kazi:Enterpenuer
Wealth:$1.5+M
Uhusiano: Single
Mahitaji
Umri:below 30
Rangi😛artial black
Location: central zone
Kuna wanaume machaguzi yenu vere simpo..hamtaki kabisa mambo mengiMimi
Jinsia- Me
Umri- miaka 30
Elimu- Niliishia Form six
Dini- mkristo (ni mcha Mungu)
Kazi- nimejiajiri( biashara & Kilimo)
Makazi- Dar
Sina mtoto
Hobbies:
-Napenda mno kuskiliza miziki mbalimbali -Napenda mpira wa ulaya (Chelsea fc fan)
-Napenda movies
Mke mtarajiwa
Umri- 20-30
Dini- Mkristo
Elimu- Angalau kuanzia form4( ukiwa unajua kuskia na kuongea kiingereza itapendeza zaidi)
Kazi- Yoyote au Uwe tayari kujishughulisha(biashara au kilimo)
Rangi sichagui
Ukiwa na mtoto haina shida ila asizidi 1 tu
Ukiwa tayari fanya kuni PM
Ni hii mvua ya dar(nakuelewa)Mwaka unaisha Jamani...hakuna yeyote aliyepata mwenza?
Natafuta boyfriend awe na miaka kuanzia 28 mpk 34 awe mkristo anaejua kwenda kanisani sio kusubiri mpaka sikukuu awe anajali kwa mawasiliano ajue umuhimu wa kuwasiliana kila siku kama hujui kuwasiliana unakaa kimya siku nzima sitakueza upite kushoto ahsanteView attachment 1395771
Watu wengi wapo tayari kuanzia maisha na wenza wao Ila kuna mmoja bado anasuasua; ili kuwezesha kukutana Kwa watu ambao wapo tayari kuvutana muanze maisha muendele Kula mema ya nchi pamoja Kwa kuishi pamoja, kwani kuishi peke yako Kwa vijana kuna changamoto nyingi na wengi wetu hatupendi Ila wenza wetu hawapo tayari Kwa sababu zisizokuwa na maana
Hapa tunatoa wasifu mfupi na wapi tunaweza kupata Mambo mengine mnamalizia pm.
Naanza mwenyewe Mimi ni mwanamme mfanyabiashara umri 26 elimu degree, naishi dar, Kwa aliyetari kuyajenga karibu Niko tayari tuanze maisha naishi peke yangu.
Wakimaliza hiyo bank amount na hizo gunia za mpunga huwaoni tena[emoji23][emoji23]Jina;Magema jr
Age:20
Home place:kahama town
Education level:diploma of primary teacher
Assets:kiwanja, stock ya gunia 18 za mpunga, heka moja na nusu ya mahindi, account bank ya tsh 2 million na kama laki tatu ivi
Plan:kupata mwanamke mrembo kutoka hapa jukwaani au nje ta jukwaa
Vigezo:awe mcha mungu na mwenye nia ya dhati kuolewa
Dini:RC
EMAIL ADDRESS:MARTINE17WILI@GMAIL. COM
CONTACT:0746055137
(Sitaki usumbufu)
😂😂😂Wakimaliza hiyo bank amount na hizo gunia za mpunga huwaoni tena[emoji23][emoji23]
Tupo karibuUmri 25
Jinsia : ke
Elimu:University degree
Kazi: private lawyer
Location: Dar es Salaam
Natafuta friends preferably wa kiume, elimu kuanzia form 6, positive minded na mchangamfu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakimaliza hiyo bank amount na hizo gunia za mpunga huwaoni tena[emoji23][emoji23]
Mimi mwenye 27 je?Natafuta boyfriend awe na miaka kuanzia 28 mpk 34 awe mkristo anaejua kwenda kanisani sio kusubiri mpaka sikukuu awe anajali kwa mawasiliano ajue umuhimu wa kuwasiliana kila siku kama hujui kuwasiliana unakaa kimya siku nzima sitakueza upite kushoto ahsante