Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

Mimi

Jinsia- Me
Umri- miaka 30
Elimu- Niliishia Form six
Dini- mkristo (ni mcha Mungu)
Kazi- nimejiajiri( biashara & Kilimo)
Makazi- Dar
Sina mtoto
Hobbies:
-Napenda mno kuskiliza miziki mbalimbali -Napenda mpira wa ulaya (Chelsea fc fan)
-Napenda movies

Mke mtarajiwa

Umri- 20-30
Dini- Mkristo
Elimu- Angalau kuanzia form4( ukiwa unajua kuskia na kuongea kiingereza itapendeza zaidi)
Kazi- Yoyote au Uwe tayari kujishughulisha(biashara au kilimo)
Rangi sichagui
Ukiwa na mtoto haina shida ila asizidi 1 tu

Ukiwa tayari fanya kuni PM
Mzee naona uko tayari kuanza mechi 1:0,muda wowote utasawazisha[emoji23][emoji23]
 
Mliosema mtaoa/kuolewa before mwaka uishe changamkeni..kipindi Cha lala salama hiki
 
Kwa mdada aliye serious miaka 22 - 32 , dini awe mkistro asiwe na mtoto
Kuhusu mimi jinsia : ME, umri miaka: 30, urefu :ft 6+, rangi:Mweusi, kazi :mtumishi wa umma , makazi: mbeya town
Haiba yangu ni mimi ni mpole, sio mtu wa kujichanganya kisana, nina marafiki wachache na pia sio muongeaji sana
Mdada aliye interested karibu DM..
 
Back
Top Bottom