Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

Natafuta mwanamke kuoa sifa
awe mchapakazi,
awe amemaliza kidato cha sita na kuendelea, kabila lolote,

asiwe na mtoto

umri 22-29

awe na hofu ya Mungu

Sifa zangu
mimi ni 5.6 feet tall
nimeajiriwa serikalini
Sina mtoto
ni mweusi
ni mkristo
nina bachela
 
Natafuta mwanamke kuoa sifa
awe mchapakazi,
awe amemaliza kidato cha sita na kuendelea, kabila lolote,

asiwe na mtoto

umri 22-29

awe na hofu ya Mungu

Sifa zangu
mimi ni 5.6 feet tall
nimeajiriwa serikalini
Sina mtoto
ni mweusi
ni mkristo
nina bachela
SISI tulioishia std 7 tuende wapi 😭😭😭
 
Natafuta mchumba...
Awe anapenda kusoma vitabu sanaa.
Elimu kuanzia Form 4.
Kazi sijachagui
Kabila asiwe wa Kanda ya Ziwa.
Kipaombele Mchaga.
Umri kuanzia 35.
Asiwe na mtoto zaidi ya mmoja upendeleo awe mtoto wa kike akiwa wakiume sio mbaya japo wakiume akiwa sio mtoto wako akiwa mkubwa unawesa dundwa ukimzingua mama ake bahati mbaya.
Rangi yeyote japo mweupe napendelea.
Mimi nina kazi serikalini am Dervoced.
Umri wangu 34.
Mrefu pia mchaga.
Ninae ishi Morogoro
Ushampata ?
 
Natafuta mwanamke wa kumuoa
Mimi ni kijana wa miaka 29
Medical doctor
Mtumishi wa serikali
Nimejenga
Ninausafiri binafsi.
Mwanamke awe
Mpenda dini na ambae yupo tayari kwa maisha ya ndoa
 
Umri 52
Kazi Senior Dalali Mikocheni
Nahitaji mwanamke umri kuanzia 30_35 awe ana watoto wasizidi 2 Mimi wangu ni 2
Dini Yoyote
Awe mweupe hata mweusi
Awe tayari kuishi Ruangwa
 
Ngoja nitafute mume sasa 🤣🤣🤣
Ila vigezo vyangu vimekaa kigubu gubu sijui km mtaweza.!!
 
Wewe ni mtu wa hovyo sana na ukiendelea nitumie picha za uume wako inbox nitakudharirisha kwa kuscreen short na kukuweka wazi humu. Mi ni mtu mzima usiniletee upuuzi wako. Zile picha mtumie marehemu mama yako.
Kumekucha 🤣👆
 
Wewe ni mtu wa hovyo sana na ukiendelea nitumie picha za uume wako inbox nitakudharirisha kwa kuscreen short na kukuweka wazi humu. Mi ni mtu mzima usiniletee upuuzi wako. Zile picha mtumie marehemu mama yako.
😳Kimeumana😂
 
Back
Top Bottom