Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

Mweeeeeh kuwa na huruma wewe .
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Hizi ndo laana sasa...
Yaan around 70+ kweli jamni.hata kama πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
SI unataka kulelewa au 😁😁😁🀣🀣🀣
 
Umri: 29
Elimu: Degree ya pili
Dini: Freemason
Naishi: Dodoma
Kazi: Businessman/ Mtumishi Serikalinj
Pesa ipo ya kutosha

SIFA YA MCHUMBA ANAEHITAJIKA
Umri : 23-27
Elimu: kidatu cha nne na kuendelea
Asiwe kibonge wala mwembamba
Dini: Yoyote
Kabila: Lolote
Asiwe single mother
Karibu DM ipo wazi 24hrs
 
Connection nami nijiunge Freemason mkuu
Umri: 29
Elimu: Degree ya pili
Dini: Freemason
Naishi: Dodoma
Kazi: Businessman/ Mtumishi Serikalinj
Pesa ipo ya kutosha

SIFA YA MCHUMBA ANAEHITAJIKA
Umri : 23-27
Elimu: kidatu cha nne na kuendelea
Asiwe kibonge wala mwembamba
Dini: Yoyote
Kabila: Lolote
Asiwe single mother
Karibu DM ipo wazi 24hrs
 
Jina: Damaso Bingwa Mletwa
Uraia: Mtanzania
Kabila: Mhehe
Pesa: Ipo sio nyingi
Kazi: Mtaalamu wa Kanzi Data, Mifumo na Teknolojia
Dini: Christian (Flexible)
Makazi: Nyamagana, Mwanza
Elimu: Bachelor Degree
Umri: 30
Marital Status: Single
Tabia: Extrovert ila mdadisi kwa kiasi chake.
Why single: Mshua alitamani sana nione before 25 ila akakata moto sasa Bi Mkubwa anataka aone nikiwa na wajukuu. Kwa sasa room is open kwa wale single wasiozidi miaka 26.

Mahitaji: Kabila kati ya Mrangi, Msafwa, Mbulu, Nyaturu, Chagga, or makabila ya Pwani. Awe mweupe wa kutosha, kimo cha kawaida, mwili wa wastani au mwembamba. Dini: Sina kipingamizi hapo, awe Mkristo au Muislamu, safi tu.

DM Chap tuyajenge!
 
Natafuta mwanamke anaetaka nihamie kwake..

Nitakuja na nguo zangu na viatu tu
Kitanda tutalalia chake.
Awe na nyumba nzuri mengine kama gari ,
Mazaifu yangu
Napenda mashangazi hivo asiwe analeta au kunitambulisha kwa rafiki zake.
Akiwa na watoto poa tu ,mimi sina
Awe anaishi dar ila sio mbagala
 
Aje pm
Wa kiume mrefu mweusi kiasi asiwe mwembamba
Awe anashughuli halali
Mimi si mnene si mwembamba
Si mweupe si mweusi
Elimu ndogo tu lakini naweza kujikimu
Nb. Usiwe mchaga
Nipo mwanza, Kipato changu 2m per month .....Kama upo serious kuolewa njoo pm....
 
Natafuta mwanamke anaetaka nihamie kwake..

Nitakuja na nguo zangu na viatu tu
Kitanda tutalalia chake.
Awe na nyumba nzuri mengine kama gari ,
Mazaifu yangu
Napenda mashangazi hivo asiwe analeta au kunitambulisha kwa rafiki zake.
Akiwa na watoto poa tu ,mimi sina
Awe anaishi dar ila sio mbagala
Siku hizi watu wanajiuza kama njugu, nonsense.
 
Me nataka lishangazi au mwanamke mweupe ila akubali sharti la kufi-rwa πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Nahitaji mwanamke wa kuwa nae kwenye mahusiano na mungu akijalia tuingie kwenye ndoa ,,,itafaa sana kama atakuwa maeneo ya mwanza au mikoa jirani ,,,chek pm ,,sifa zang miaka 27 kazi: pharmacist
 
Nahitaji rafiki wa kike wa kubadilisha mawazo umri ni kuanzia miaka 20 Hadi 35 nipo Mwanza
 
Back
Top Bottom