Uzi maalumu: Kijiwe cha Soga kwa waliowahi na wanaoendelea kukaa nje ya Tanzania

Kabisa mkuu wabongo masnitch
 
mno vema mkuu ukakomaa kivyako
 
Ingawa sijawahi kufika Ulaya wala Amerika ,Ila hz nchi chache za ki Africa ,central ,east na north ,kitu ambacho sitaki na huwa sifanyi ni kujaribu kukutana au kujenga mazoea na mbongo ,sipotezi huo muda
 
safari yangu ya kwanza
ilikuwa kwenda Zambia kusaka life la kutimkia south
nilifika tunduma nilikaa siku zaidi ya 20 kutafuta pesa ya kumlaghai dereva wa malori anipakize (Home nilitoroka coz ya harakat za mzee sikuwa naziipenda )
nilifanikiwa kwenda Zambia asee huko niliungana na vijana mbali mbali (walioshindikana)
hapo nikaanza Ku experience Maisha mapya ya UHUNI(ganja,bhangi na pombe)
vijana wengi wa zambia walikuwa wanatimkia south na Botswana (hapa kupata urahisi wa kwenda majuu)
basi bwana sie kama kawa tukaunga na vijana wa kizambia hadi south&botswna (wote tukiwa na plan ya kukutana Scandinavian country after 10/5 yrs)
kundi letu yulitoroshewa south (kuna NyOka wa kusafirisha watu ki magendo)
kufika south tulifikia mji unaitwa Pretoria
kule kimbembe kikawa kazi hakuna Wala Fursa hakuna
mostly time vijana tukawa tuna chill kwenye majengo Makuu kuu.(vijana wengi wanaotimkia south wanakuta maisha ndivyo sivyo hapo ndipo ujiingiz kwenye makundi mabaya)
 
daah life lilitupiga Sanaa
nakumbuka kuna wenzetu wamalawi baada ya ugumu kuzidi wakajiingiza kwenye matendo ya ushoga
wale wazambia na Mimi tukajiingiza kwenye matendo ya uporaji,ubakaji etc (Mungu anisamehe sanaa kwa dhambi nilizofanya kipindi nasaka life)
daah kutokana na kuwa na CV mbovu ikatulazimu tutimke kwa makundi na kujigawa coz tulikuwa 10 wabongo wa 3 na wa zambia 5 na wamalawi wa 2 m1 Kati yao aliamua kuwa shoga
Mimi na mwenzangu kutoka hapa bongo na wa zambia wa 3 tukatimika sehemu moja inaitwa polokwane
 
Ni kweli ukienda sehemu kichwa kichwa lazima uangukie pua
 
Mkuu malizia mkuu ikawaje ngoja kwanza tupe storu
 
Lete mkuu utusaidie wenye mawazo ya kumkimbia jiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…