Asilimia 99% ya wabongo nje ya nchi never assimilate na wazawa, siku zote ni wao kwa wao tu na wanaendekeza ujinga ule ule wa kibongo huko majuu. Wanachukuliana mabwana na mademu, umbea, majungu yasiyo na tija kwao, kuchukiana, na kuchunguzana maisha ndiyo furaha yao. Asikudanganye mbongo yoyote kuhusu hili, wale wanao assimilate na wazawa ni wale wababishaji wauza nganda (sembe) na wanafanya hivi kwa sababu hawana jinsi ya kuishi. Changamoto kubwa ya wabongo waishio nje ni wabongo wenzao, wanauzana sana na kuchomeana immigration kwa ajili ya chuki zao za kijinga . Ndiyo maana nilipokuwa naishi majuu for 4 years (shule) sikutaka kujihusisha na wabongo hata siku moja mpaka nikarudi Bongo.