Yohana Kilimba
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 8,105
- 5,629
- Thread starter
-
- #121
Bumper to Bumper hio mkuu!full kubarikiwa!Halafu unaruhdi huku Tumaini kwaya Arusha.
Nuhu mtu wa Mungu alitengeneza safina kubwa yakutosha wanyama wote ndege na hata watoto wake .....
Mkuu umenikumbusha mbali sana, barabara 13 hawa jamaa walikua kiboko. Daaah kitambo sanaWakuu,
Ninawiwa Kuhuanzisha Uzi Huu Ili Kuwaleta Karibu Wapenzi wa Nyimbo Za Injili za Zamani!
From the 80s,90s and the Early 2000s!
Kuanzia Barabara 13,Aict Shinyanga,Kijitonyama Upendo Group,Na N.k!
Naoma Tubadlshane Audios,Videos na Picha Waimbaji wa Zamani!
Old is Gold!
Acha Nipekuepekue Mafaili Yangu,nikiipata nitaipandisha hapa!Kwenye miaka ya 80 kulikuwa na wimbo mmoja wa dini ukiwa na maneno haya:
"...Nikaenda mpaka kwa waganga...Baba yangu akawa mbaya, mama pia akawa mbaya. Wote ndugu wakawa wabaya, Nilipata hasara (hasira? ) na chuki nyingi...... yesu nipe uzima....." Sijui uliimbwa na kwaya gani?!
Pamoja mkuu,kama na wewe unazo za zamani,ebu tupia humu wote tufaidike!Mkuu umenikumbusha mbali sana, barabara 13 hawa jamaa walikua kiboko. Daaah kitambo sana
Shukrani,mkuuKilimanjaro Revival choir
Mbona waogopa sasa
Usijali mkuu ngoja niku nikuwekee zote ambazoShukrani,mkuu
Asante sana kwa wimbo hakika nimebarikiwa
Nisaidie kujua huyu mwimbaji yupo wapi na pia kupata audio au video zake.Wakuu,
Ninawiwa Kuhuanzisha Uzi Huu Ili Kuwaleta Karibu Wapenzi wa Nyimbo Za Injili za Zamani!
From the 80s,90s and the Early 2000s!
Kuanzia Barabara 13,Aict Shinyanga,Kijitonyama Upendo Group,Na N.k!
Naoma Tubadlshane Audios,Videos na Picha Waimbaji wa Zamani!
Old is Gold!