Uzi maalumu kwa ajili nyimbo za injili za zamani(Old school Gospel songs) za Tanzania!

Uzi maalumu kwa ajili nyimbo za injili za zamani(Old school Gospel songs) za Tanzania!

Wakuu,
Ninawiwa Kuhuanzisha Uzi Huu Ili Kuwaleta Karibu Wapenzi wa Nyimbo Za Injili za Zamani!
From the 80s,90s and the Early 2000s!
Kuanzia Barabara 13,Aict Shinyanga,Kijitonyama Upendo Group,Na N.k!
Naoma Tubadlshane Audios,Videos na Picha Waimbaji wa Zamani!
Old is Gold!
Mkuu umenikumbusha mbali sana, barabara 13 hawa jamaa walikua kiboko. Daaah kitambo sana
 
Kwenye miaka ya 80 kulikuwa na wimbo mmoja wa dini ukiwa na maneno haya:
"...Nikaenda mpaka kwa waganga...Baba yangu akawa mbaya, mama pia akawa mbaya. Wote ndugu wakawa wabaya, Nilipata hasara (hasira? ) na chuki nyingi...... yesu nipe uzima....." Sijui uliimbwa na kwaya gani?!
Acha Nipekuepekue Mafaili Yangu,nikiipata nitaipandisha hapa!
 
Wakuu,
Ninawiwa Kuhuanzisha Uzi Huu Ili Kuwaleta Karibu Wapenzi wa Nyimbo Za Injili za Zamani!
From the 80s,90s and the Early 2000s!
Kuanzia Barabara 13,Aict Shinyanga,Kijitonyama Upendo Group,Na N.k!
Naoma Tubadlshane Audios,Videos na Picha Waimbaji wa Zamani!
Old is Gold!
Nisaidie kujua huyu mwimbaji yupo wapi na pia kupata audio au video zake.
Anaitwa Nathanael Hingi. Mojawapo ya kazi zake za miaka ya 90 ni hii hapa kaseti yake.

1479756713803.jpg
 
Kuna mwimbaji alikua anaitwa rose na Salome kati yao kuna alieimba wimbo wa Yule mwizi msalabani alimwambia bwana Yesu ukirudi ktk ufalme wako wa mbingu unakumbuka


Salome akaimba tena watakapokulaza chini na kusema ee bwana bwana mtu huyu tunamjua alikua mwalimu mwema je hayo matendo yako yatakua mema kwa Mungu ili ukipate kibali cha kukufikisha mbinguni
 
Back
Top Bottom