Uzi maalumu kwa ajili nyimbo za injili za zamani(Old school Gospel songs) za Tanzania!

Uzi maalumu kwa ajili nyimbo za injili za zamani(Old school Gospel songs) za Tanzania!

1. Safari yao Wana Israel kutoka Misri kwenda Kanani,
Yafanana na safari yetu tuliyonayo kwenda mbinguni,
Tazama wengi hawakuweza kufika kwa sababu walivunja maagizo ya Mungu



2. Mahangaiko na Mahangaiko
Na shughuli za kila siku
Zimewafanya wanadamu, wamsahau Mungu wao
 
1. Safari yao Wana Israel kutoka Misri kwenda Kanani,
Yafanana na safari yetu tuliyonayo kwenda mbinguni,
Tazama wengi hawakuweza kufika kwa sababu walivunja maagizo ya Mungu



2. Mahangaiko na Mahangaiko
Na shughuli za kila siku
Zimewafanya wanadamu, wamsahau Mungu wao
Huo Namba 2 is My Best Song Ever....ahahaha
 
Huo Namba 2 is My Best Song Ever....ahahaha
Haha old is gold

Kuna wimbo najitahidi kuukumbuka hapa, unanigomea. Nakumbuka tu sehemu hii kidogo, ni story ya mwanamke Msamaria

"Basi yule mwanamke Msamaria akamwambia
Imekuwaje wewe Myahudi kutaka maji kwa Msamaria
Maana Wayahudi hawachangamani na Wasamaria"
 
Haha old is gold

Kuna wimbo najitahidi kuukumbuka hapa, unanigomea. Nakumbuka tu sehemu hii kidogo, ni story ya mwanamke Msamaria

"Basi yule mwanamke Msamaria akamwambia
Imekuwaje wewe Myahudi kutaka maji kwa Msamaria
Maana Wayahudi hawachangamani na Wasamaria"
Ahahaha,i know where to fork up that song,just a sec!
 
Back
Top Bottom