Uzi maalumu kwa single mothers: Single Mothers Special Thread

Uzi maalumu kwa single mothers: Single Mothers Special Thread

tpaul

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2008
Posts
24,225
Reaction score
22,632
Ndugu wanaMMU, naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha wala kuwapotezea muda.

Baada ya kuona idadi ya single mothers inazidi kuongezeka kila kukicha, nimeshawishika kufungua uzi maalumu kwa ajili yao ili kwa pamoja tuweze kutoa mawazo jinsi ya kuwasaidia na kuwashauri. Hii itasaidia kupunguza idadi ya single mothers na kuzuia wengine kutumbukia kwenye kundi hili.
1713417531066.png

Tusiwaone kama losers, chicken-headed, stubborn, hot heads and all bad names you call them bali tuanze kuwapa ushauri wa kisaikolojia pamoja na kuwatia moyo. Sambamba na hilo, pia tuwape mbinu ya kutoka kwenye usingle mama ili kusudi waanze kuishi maisha ya kawaida kama wanawake wengine.

inasikitisha kuona baadhi ya wanawake nao wakiwasimanga hawa single mothers. Haipendezi hata kidogo. Waelewe kuwa nao wasipochukua hatua madhubiti, wanaweza kutumbukia kwenye usingle mothers wakati wowote.

Tunafahamu kuwa hili ni kundi la watu ambalo wengi wao wapo stressed na wamekata tamaa ya maisha baada ya kukimbiwa au kutendwa na wenza wao waliosababisha wafike hapa walipo. Kwa hiyo, tusiwanyanyapae wala kuwatenga kwa namna yoyote ile.

Naomba nisiseme sana. Kwa kuwa tupo wengi humu na kwa kuwa penye wengi hakiharibiki kitu, kila mwenye nia njema asogee hapa atoe ushauri namna ya kupunguza idadi yao na jinsi ya kuwazuia wanawake wengine wasitumbukie kwenye kundi hili.

Nawasilisha.
 
Walikwambia wanataka msaada? Na una msaada gani hasa ambao unaweza kuwapa kama siyo yale yale ya kuwabagaza na kuwasimanga tu?

Single mothers ndiyo kundi linaloongoza kwa kuandamwa na kusimangwa hapa JF. Tatizo hasa ni nini? Why so much hatred towards single mothers?
 
Walikwambia wanataka msaada? Kwa nini huwa mnapenda kuingilia maisha ya watu? Africans!
Kwanini sasa kila siku mnawanyanyapaa? Unyanyapaa na kutengwa wewe huoni kuwa ni tatizo? Usipende kurahisisha matatizo ta wenzako mkuu.
 
Kwa hiyo wewe kuanzisha uzi huu ndiyo unawasaidia au ni yale yale tu? Mbona kama lengo lako HASA ni lile lile la kuwasimanga japo umejaribu kujificha ficha?
Lengo langu ni kuwaalika watu wenye nia njema waje kutoa mawazo yatakayowasaidia single mothers na kuzuia wengine kuingia kundini. Wewe lengo lako ni lipi mkuu?
CC Zemanda
 
Tatizo ni serikali kushindwa kutoa elimu plus kuboresha mazingira ya utafutaji .

How the hell jobless mwenye mtoto asikimbie majukum wakati uwezo wa kuhudumia Hana, japo sometime pia wapo single mothers wanalaumiw bila kuonewa

Itoshe kusema kila mtu kwenye hii dunia analaumiwa kwa namna moja au nyingine, maisha yaendelee
 
Tatizo ni serikali kushindwa kutoa elimu plus kuboresha mazingira ya utafutaji .

How the hell jobless mwenye mtoto asikimbie majukum wakati uwezo wa kuhudumia Hana, japo sometime pia wapo single mothers wanalaumiw bila kuonewa

Itoshe kusema kila mtu kwenye hii dunia analaumiwa kwa namna moja au nyingine, maisha yaendelee
Nimekupata mkuu. Sasa nini kifanyike kuwakwamua hawa single mothers waliokimbiwa na wenza wao?
 
Ndugu wanaMMU, naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha wala kuwapotezea muda.

Baada ya kuona idadi ya single mothers inazidi kuongezeka kila kukicha, nimeshawishika kufungua uzi maalumu kwa ajili yao ili kwa pamoja tuweze kutoa mawazo jinsi ya kuwasaidia na kuwashauri. Hii itasaidia kupunguza idadi ya single mothers na kuzuia wengine kutumbukia kwenye kundi hili.
View attachment 2967000
Tusiwaone kama losers, lchicken-headed, stubborn, hot heads and all bad names you call them bali tuanze kuwapa ushauri wa kisaikolojia pamoja na kuwatia moyo. Sambamba na hilo, pia tuwape mbinu ya kutoka kwenye usingle mama ili kusudi waanze kuishi maisha ya kawaida kama wanawake wengine.

inasikitisha kuona baadhi ya wanawake nao wakiwasimanga hawa single mothers. Haipendezi hata kidogo. Waelewe kuwa nao wasipochukua hatua madhubiti, wanaweza kutumbukia kwenye usingle mothers wakati wowote.

Tunafahamu kuwa hili ni kundi la watu ambalo wengi wao wapo stressed na wamekata tamaa ya maisha baada ya kukimbiwa au kutendwa na wenza wao waliosababisha wafike hapa walipo. Kwa hiyo, tusiwanyanyapae wala kuwatenga kwa namna yoyote ile.

Naomba nisiseme sana. Kwa kuwa tupo wengi humu na kwa kuwa penye wengi hakiharibiki kitu, kila mwenye nia njema asogee hapa atoe ushauri namna ya kupunguza idadi yao na jinsi ya kuwazuia wanawake wengine wasitumbukie kwenye kundi hili.

Nawasilisha.
Waunde umoja wao wajulikane kitaifa
 
Nimekupata mkuu. Sasa nini kifanyike kuwakwamua hawa single mothers waliokimbiwa na wenza wao?
Viongozi wa serikali si wanavimba hii nchi ni tajiri, then watengeneze mfumo utakao wa boost educated majobless na single mothers financial "sababu ukweli wengi wao wana asilimia ndogo sana za kuchomoa kwenye umaskini
 
Sababu za wanawake kuwa single Maza;

1. Kausha damu - anakuwa na mwanaume yeye anamgeuza kitega uchumi chake mwisho wa siku mwanaume anachoka na yeye anatumia may be kushika mimba unplanned au kuwa na mtoto ili iwe sababu ya kumkamata huyo mwanaume, mwisho wa siku mwanaume anasepa

2. Wanawake wengi walioajiriwa au kuwa na vibarua au biashara zinazowafanya wawe na kipato Cha kuwakimu kimaisha Wana tabia za kupandisha mabega juu na kujiona wapo successful na maisha na hali hiyo huwajengea kiburi na dharau kwa mwanaume aliye nae. WANAUME WENGI HAWAPENDI DHARAU HATA AMA MWANAMKE ATAKUWA MILIONEA MWANAUME ATASEPA....hapo mwanamke ataendelea kuwa single Maza tu

3. Kulingia uzuri.....unakuta mwanamke ameolewa yupo na familia yake lakini bado anaendekeza umalaya kisa kujiona yeye mzuri na anatongozwa na kila mwanaume. Hakuna mwanaume anavumilia kuishi na mwanamke anayetombeka hovyooo mwisho wa siku divorce na anaishia kuwa single Maza.

4. Wanawake wengi kabla ya ndoa wapo so obedient to their hubby to be, wakisha olewa wanafungua makucha yao na kuonyesha jeuri zao ....hasa hasa wanawake wa Kikristo maana wanajua ndoa ni moja na hivyo akishafunga ndoa mwanaume hana jeuri ya kumuacha ....hapo wanawake wengi imewa-cost , wanaume wanasepa kama kawa na kwenda kuanza maisha na wanawake wengine na wao wanaendelea kuwa single Maza.

5. Selfish - wanawake wengi wenye kipato ni selfish...wapo radhi waanzishe miradi kimya kimya au kwa kushirikisha ndugu zao pasipo mume wake kujua na hii ni kwa sababu kuwa na roho za kiumaskini - cha mwanaume ni chake na cha mwanamke ni chake yeye na ndugu zake.

Malejendary ongezeeni sababu zingine hapo
 
Waunde umoja wao wajulikane kitaifa
Wakishajulikana watawasaidiaje single mothers mkuu? Kwanini usishauri serikali ifumue sheria inayozuia mtu kuoa wake wengi ili wanaume wasaidie kuwaoa hao haosingle mothers kupunguza tatizo?
 
Viongozi wa serikali si wanavimba hii nchi ni tajiri, then watengeneze mfumo utakao wa boost educated majobless na single mothers financial "sababu ukweli wengi wao wana asilimia ndogo sana za kuchomoa kwenye umaskini
Mimi nafikiri serikali ingefanya jambo la maana kuwaingiza single mothers wote kwenye malipo ya kila mwezi ya TASAF ili kuwasaidia kujikimu. Wewe hili unalionaje?
 
Mkuu tuache ngenga hakuna jipya la kushauriwa humu, yooote yashasemwa! Me natamani take ya Mheshimiwa kwenye picha si tunae ndani humu.. nimejaribu kum tag sijaona jina ila nshawahi kuona ka reply mtu humu
 
Back
Top Bottom